Ni maji ya mto Rufiji coz safari inaanzia kwenye mto rufiji maeneo ya nyamisati baadae ndio tunakuta bahari hadi kisiwani mafia.Hayo maji yabahari au mto
Ni matumizi mabaya ya madaraka, kiboti cha bagamoyo kingepewa masafa ya huko ingesaidia kidogo.
Baharesa hajawahi kuleta boti huku tangu azaliwe.bakhresa alileta boti mbili zimeishia wapi?
Baharesa hajawahi kuleta boti huku tangu azaliwe.
hizo boti mmoja ilikuwa na uwezo wa kubeba abiri 200, hii ilishndwa kupata abiri 200 kwa siku mmoja.
hiyo ya pili, ilikuwa na injini 2 za nje, hii ilipigwa fitina na majungu na wamiliki wa zile boti za mbao kisa injini zake kuwa nje.
hata wasingemchagua kusingekuwa na tofautiHuko nyie mlimchagua nani?
hayo ndio maeneo yako GT kibiti ikwiriri sijui unashamba hukoHizo boat hizo ziliondoka na rafiki yangu 1998... RIP NICK