Zaidi ya watoto mia mbili ambao wametimiza umri wa kuanza darasa la kwanza wanaoishi kisiwa cha Mvuna,ziwa Tanganyika wilaya ya Nkasi hawasomi,kwa sababu kisiwa hicho hakina shule tangu mwaka 1961.Inadaiwa kuwa kisiwa cha jirani ndicho chenye shule,lakini kama mwanafunzi anataka akasome kwenye kisiwa cha jirani atapaswa kupanda mtumbwi,nauli ya mtumbwi ni shilingi mia tano kwa mwanafunzi(kwenda na kurudi ni shilingi elfu1),
MIAKA 50 YA UHURU WAMETHUBUTU,WAMEWEZA NA WANASONGA
MIAKA 50 YA UHURU WAMETHUBUTU,WAMEWEZA NA WANASONGA