Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,570
Wanabodi,
Hii ni ya moto kabisa, nadhani JF ndio wa kwanza kuitoa rasmi!.
Kitivo cha Sheria ndio kitivo cha kwanza kabisa kuanzishwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Hivyo sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, maana yake halisi ni miaka 50 ya Kitivo cha Sheria, na wale wahitimu 14 wa kwanza wa Chuo Kikuu ni wahitimu wa kitivo hiki.
Kitivo hiki kilizinduliwa rasmi tarehe 25 October, 1961 na Waziri Mkuu wa Tanganyika, JK Nyerere na haya ndio maneno aliyoyasema wakati wa uzinduzi wa kitivo hiki.
50 YEARS OF PIONEERING SCHOLARSHIP AND LEGAL EDUCATION
...it is not by accident that we started with a law college. An essential part of our national philosophy must be a legal profession of great integrity which not only knows the formalities of law but also understands the basic philosophy which underlies our society....
Mwalimu J.K. Nyerere then, Prime Minister of Tanganyika, at the inauguration of the Faculty of Law, Dar es Salaam, 25th October ,1961.
Wakati chuo kikuu kinamaadhimisho yake, kitivo cha sheria pia kufanya maadhimisho yake kwa kufanya kongamano kubwa la mihadhara ya kisheria, katika mada zitakazowasilishwa na wanasheria nguli nchini.
Nawaombeni msome hizi attachments, muone nondo za kufa mtu kuhusiana na tasnia ya sheria.
Karibuni!
Hii ni ya moto kabisa, nadhani JF ndio wa kwanza kuitoa rasmi!.
Kitivo cha Sheria ndio kitivo cha kwanza kabisa kuanzishwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Hivyo sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, maana yake halisi ni miaka 50 ya Kitivo cha Sheria, na wale wahitimu 14 wa kwanza wa Chuo Kikuu ni wahitimu wa kitivo hiki.
Kitivo hiki kilizinduliwa rasmi tarehe 25 October, 1961 na Waziri Mkuu wa Tanganyika, JK Nyerere na haya ndio maneno aliyoyasema wakati wa uzinduzi wa kitivo hiki.
50 YEARS OF PIONEERING SCHOLARSHIP AND LEGAL EDUCATION
...it is not by accident that we started with a law college. An essential part of our national philosophy must be a legal profession of great integrity which not only knows the formalities of law but also understands the basic philosophy which underlies our society....
Mwalimu J.K. Nyerere then, Prime Minister of Tanganyika, at the inauguration of the Faculty of Law, Dar es Salaam, 25th October ,1961.
Wakati chuo kikuu kinamaadhimisho yake, kitivo cha sheria pia kufanya maadhimisho yake kwa kufanya kongamano kubwa la mihadhara ya kisheria, katika mada zitakazowasilishwa na wanasheria nguli nchini.
Nawaombeni msome hizi attachments, muone nondo za kufa mtu kuhusiana na tasnia ya sheria.
Karibuni!