Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1

Waarabu koko ni nyie wagunya mliokuwa watumwa wa kuchuma karafuu. Tatizo mmejifunza kiarabu kidogo na kujua kunywa kaawa na kashata alafu mnajifanya sio wafrika ni waarabu. Na usizani namaanisha machotara bali kunamijitu mingine myeusi kama mkaa alafu inajiona sio waafrica kama watu wa bara.

Wakuu,
Hiyo ndio maana ya waarabu koko.

Asante

cc Ritz,gombesugu
 
Kwa mantiki hiyo Watanzania wote ni Watumwa?

Kwa kukosa diniweye, ndo sawa na wengi pale ndani ya Bunge wanajinasabisha na dini ilhaal hawamo ndani ya dini,

Kwa hivo ndo tukaanzia hapo kukanusha ya nini kuita "TUKUFU' ilhaal pana waovu ndanimwe?

Hatutaki litumike hilo neno kwasababu wajuao dini wametanabahi kutezewa maneno kwa wasoyua maana,

Ila tosheka na hapo maana huna dini sasa bora mbuzi wangu ntamtinda na kumla pamoya na rafiki zangu kuliko weye uso faida,

Kama pana utata pahala, nakaribisha maulizo tena,

Fasi unayo ila NIDHWAAM ikutawali japo kwa muda utaodumu katika mada na baada ya hapo waezaregea katika Asli ya twabiayo.
Utukufu siyo lazima utokane na dini,acha ujinga wa kukariri na brainwashed!Cultures derived kutoka utumwa ziko,lugha ya Kiswahili ikiwa mojawapo.

Eti "kwakukosa dini",unaona mahali akili yako imefyatuka?si lazma kila mtu awe na dini yako,ama hata awe na dini!
 
Wanabodi,

Zanzibar inajiandaa kusheherekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya January 1964 yalioufuta ule uhuru bandia wa mwaka 1963 chini ya serikali ya vibaraka ya Sultani Jamseed. Hizi ni series za mada zangu zenye maswali yasiyo na majibu.

Hii ni Hotuba ya Waziri Mkuu Kibaraka Shamte kwenye Umoja wa Mataifa akiitambulisha rasmi Jamhuri ya Watu wa Zanzibar hivyo kuuingiza rasmi Zanzibar ndani ya UN kama taifa huru.


Accession of the Sultanate of Zanzibar to the United Nations in 1963

and

The speech given by Prime Minister of the Sultanate of Zanzibar in the United Nations in 1963





Footage hii ni hisani ya mwana jf aitwae Badir


Nchi kuingizwa ndani ya UN na kupata kiti cha UN is a process inafuata taratibu fulani.

Tanganyika na Zanzibar zilipoungana na kuunda Tanzania, kuna utaratibu pia uliopaswa kufanywa na SMZ na Jamhuri ya Tanganyika kwenda UN ili kuviunganisha viti vya iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar na Jamhuri ya Tanganyika ili kuvifuta rasmi na badala yake kuwekwa kiti kipya cha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Nani anajua ni nini kilichofanyika hapa hadi kukifuta kiti cha Zanzibar kule UN?!.

Utaratibu ni kwa Serikali ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, kumuandikia rasmi Katibu Mkuu wa UN Note Verbale, kumtaarifu kuhusu muungano na kueleza lile taifa huru lililojiunga hivi karibuni, ceased to exist anymore hivyo kiti chake kifutwe! na kupewa taifa jipya laTaifa la Zanzibar halipo tena!. Hili halikufanyika!.

Na Tanganyika pia ilipaswa kumuandikia Katibu Mkuu wa UN, Note Verbale kumtaarifu kuwa lile taifa la Tanganyika has seased to exist kufuatia muungano na Zanzibar hivyo kiti chake kifutwe na kukabidhiwa Taifa jipya la JMT. Hili pia halikufanyika!.

Kwa barua hizo mbili, viti vya Tanganyika na Zanzibar ndipo vingefutwa rasmi, na kisha kupelekwa Note Verbale ya 3 toka serikali ya JMT ikilitambulisha Taifa jipya la Tanzania na kupewa kiti cha taifa jipya!.

Kilichotokea ni kule UN ilipelekwa Note Verbale moja tuu toka serikali ya JMT kumtaarifu Katibu Mkuu kuwa Tanganyika na Zanzibar zimeungana kuunda JMT, hivyo kiti cha iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar na kile cha iliyokuwa Tanzanyika, sasa vitakaliwa na nchi moja ya Tanzania wakati utaratibu wa submition ya union documentations zikiwemo zile Articles of Union ungefuatia, kitu ambacho hakikutekelezwa mpaka leo!.

Jee kiti halali cha nchi moja huru ndani ya UN kinawezwa kufutwa kirahisi rahisi hivyo with just a Note Verbale kutoka taifa jingine?!.

Mfano ikitokea Tanzania tukaungana na Kenya, hivi kweli mwenye jukumu la kutoa taarifa kwa Katibu Mkuu wa UN ni Kenya tuu kumtaarifu kuwa tumeungana na Tanzania hivyo kuanzia sasa kiti cha Tanzania kifutwe?.

Nikiwa mwandishi nilibahatika kuutembelea ubalozi wetu wa UN pale NY, nikapokelewa na shemeji yetu (Mke wa mwana jf mwenzetu ndie alikuwa receptionist wakati huo), nikapeleka maswali yangu haya kwa balozi we enzi hiyo, sikupata majibu.

Pia nilitembelea jengo la UN ili angalau kuziona zile docu za muungano, kilichopo kule ni ile Note Verbale tuu, nothing more, nothing less!.

Wenye majibu naombeni msaada wenu!.

Pasco.
Update 1.
Note Verbale ilitoka kwa Balozi wa Tanganyika kwenye Umoja wa Mataifa, Chief Arasto Mang'enya na kuitambulisha United Republic of Tanganyika and Zanzibar, wakati huo jina la Tanzania halijaanza. Mwezi June aliteuliwa rasmi kuwa balozi wa kudumu wa Jamuhuri ya Tanganyika na Zanzibar, na mwezi September ndipo akawasilisha rasmi hati zake za utambulisho. Jina la Tanzania lilikuja kupelekwa Mwezi Septemba.

Game ilichezwa hivi
MERGER OF MEMBER STATES
29. During the period under review the issue of the merger of Member States arose in the United Nations in connexion with the formation of the United Republic of Tanganyika and Zanzibar, later called the United Republic of Tanzania. Tanganyika and Zanzibar, which had been admitted which in the United Nations since 14 December 1961 and 16 December 1963 respectively, informed the Secretary-General by a note verbale dated 6 May 1964 of the following:

" . . . the Republic of Tanganyika and the People's Republic of Zanzibar were united as one Sovereign State on 26 April 1964, under the name of the United Republic of Tanganyika and Zanzi- bar and under the presidency of Mwalimu Julius K. Nyerere. A copy of the said Articles of Union is enclosed herewith.

"The Secretary-General is asked to note that the United Republic of Tanganyika and Zanzibar declares that it is now a single Member of the United Nations bound by the provisions of the Charter, and that all international treaties and agreements in force between the Republic of Tanganyika or the People's Republic of Zanzibar and other States or international organizations will, to the extent that their implementation is con- sistent with the constitutional position established by the Articles of Union, remain in force within the regional limits prescribed on their conclusion and in accordance with the principles of interna- tional law."
On 14 M a y , the Secretary-General, at the request of the Government of the United Republic of Tan- ganyika and Zanzibar, communicated the note to all States Members of the United Nations, to the principal organs of the United Nations and to the subsiding organs of the United Nations to which Tanganyika or Zanzibar had been appointed or admitted, and to the specialized agencies and to the International Atomic Energy Agency, by a note verbale which included the following statement:
"The Secretary-General is taking action, within the limits of his administrative responsibilities, to give effect to the declaration in the attached note that the United Republic of Tanganyika and Zanzibar, is now a single Member of the United Na- tions bound by the provisions of the Charter. This action is undertaken without prejudice to and pending such action as other organs of the United Nations may take on the basis of the notification of the establishment of the United Republic of Tanganyika and Zanzibar."
Source ni UN.
NB. Kwa vile nilipokwenda UN, nilikwenda kwa mengine, hili nikafanya kuliulizia tuu, kuna uwezekano kuwa ni kweli ile NV ilikwenda na Mkataba wa muungano kama ilivyosema!, ila pia inawezekana kabisa kilichokwenda ni hiyo NV peke yake bila mkataba wowote, hivyo Tanzania japo ni nchi halali, imekalia kiti chake cha UN mpaka kesho with a lie!.

Kwa vile mwakani nitakuwa na safari ya huko, this time nitafanya juhudi za makusudi kupita tena Ubalozi wetu pale UN na kutembelea tena Maktaba ya UN kuziona hizo "Hati za Muungano!"

Mjadala umehitimishwa rasmi na facts zote.

Asanteni sana!.

Pasco.


Pasco mbona kila wakati mnaongelea Mapinduzi ya Zanzibar, kwani yamekuhusu nini?

Mbona huongelei hawa Wafalme wenu?


German Colonial Uniforms- Uniformed African Leaders and their Private Armies
 
Last edited by a moderator:
Huwa naongelea issues nyingi tuu, ila hii imekua moto kutokana na kuzongwa na kundi kubwa la mainzi ambao baadhi yao ni vizalia vya waliopinduliwa hivyo wana hasira na machungu ya Mapinduzi Matukufu yale, hivyo hapa jf wameona ndio mahali pa kupoozea machungu yao.

Happy New Year
Pasco


wewe unaona bora cha watu kuliko chako au ndio ulivyolelewa hivyo kupapatika na vya watu na kudharau vyako ???
 
wewe unaona bora cha watu kuliko chako au ndio ulivyolelewa hivyo kupapatika na vya watu na kudharau vyako ???
Mkuu Gavana, imekuwa tuu ni mazoea kwa mtu kudharau chake na kuthamini cha mwenzio!. Sio unajua jinsi "the forbiden fruit is the sweetest!" na ukiwa kwenye line utaona the other line moves faster!. Hivi huoni hata jinsi bara tunavyoithamini Zanzibar?!. Jumamosi naelekea huko for ten days kushrehekea Maadhimisho ya miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu!, sikumbuki ni sherehe gani hapa bara tuliiadhimisha kwa siku 10 mfululizo!, 2011, ile miaka 50 ya uhuru, tuliadhimisha kwa siku 9 tuu!.
Happy New Year
Pasco
 
mkuu gavana, imekuwa tuu ni mazoea kwa mtu kudharau chake na kuthamini cha mwenzio!. Sio unajua jinsi "the forbiden fruit is the sweetest!" na ukiwa kwenye line utaona the other line moves faster!. Hivi huoni hata jinsi bara tunavyoithamini zanzibar?!. Jumamosi naelekea huko for ten days kushrehekea maadhimisho ya miaka 50 ya mapinduzi matukufu!, sikumbuki ni sherehe gani hapa bara tuliiadhimisha kwa siku 10 mfululizo!, 2011, ile miaka 50 ya uhuru, tuliadhimisha kwa siku 9 tuu!.
Happy new year
pasco

tabia hizo ndio ni moja ya tabia za watu wa udaku, kuyaacha yake kushughulikia ya wenzake .


Ikifufuka tanganyika utasherehekea kuondoka wafalme wako wa kihaya ???
 
Kuna mengi sana ya kujiuliza lakin insh'Allah soon majibu yatapatikana. nafikiri maalim Seif, Mz nassor Moyo, Eddy Riyani na mansour Yousuf Himid na Mh Jusa wanasema bila kificho nini waZnz wanahitaji kwa wakti huu kujibu masuala yote yaliyoshindikana kwa miaka 50.

Tuvute subra
 
Back
Top Bottom