Miaka 50 inatosha kwa heri muungano kwa heri Zbz! Hata Putin kaachana na mkewe juzi seuze sie bwana! Tukutane EAC.. Baba wa taifa (off course Tanganyika), Mwalimu Nyerere aliyaona haya! Nasema hajatokea Afrika, mtu mwenye akili na busara kama Mwl. Julius Kambarage Nyerere. RIP