miaka 48 ya muungano, je kero za muungano zimatatuliwa...

Kero kuu ni kuzuia watu kuujadili kama wanautaka au la na uwe wa aina gani. Hapo Serikali yetu inafanya kosa kubwa sana maana hii naona ndio inaendeleza chuki kwa wenzetu Wazanzibar wakifikiri kuwa sisi Watanganyika tuna faidi sana na Muungano kuliko wao na ndio maana tunaupigia debe kwa gharama zote kitu ambacho si kweli.
 
Kero kuu ni kuzuia watu kuujadili kama wanautaka au la na uwe wa aina gani. Hapo Serikali yetu inafanya kosa kubwa sana maana hii naona ndio inaendeleza chuki kwa wenzetu Wazanzibar wakifikiri kuwa sisi Watanganyika tuna faidi sana na Muungano kuliko wao na ndio maana tunaupigia debe kwa gharama zote kitu ambacho si kweli.

usikariri mama, hebu jaribu kutueleza kinaga ubaga Watanganyika tunafaidika nini hasa katika huu Muungano hadi tukubali matusi kila siku?.
 
tuwaache hao wa zanzibar waende zao jaman hwatsaidii kwa lolote,kwanza ndoo anaoturudoisha nyma eee subirii 2015 ni full udini wakristu na mkristu wao na waislam nao mwezio maana serikali inayoongozwa na mustadhi balaa tupu
 
Back
Top Bottom