econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,761
- 21,750
Swali zuri sana!
Itakuwaje CHADEMA Safi umezaliwa CCM.
Swali zuri sana!
Kwa hiyo unataka kumaanisha chadema Safi lazima azaliwe humohumo akitokea ccm ni kirusi?
Kwani Chadema na CCM zilizaliwa siku moja?Itakuwaje CHADEMA Safi umezaliwa CCM.
Wakati tarehe 05/02/2022 CCM itasherehekea miaka 45 tangu kuasisiwa pia kitawashukuru wanachama wa Chadema waliouona mwanga na kuamua kujiunga na chama tawala.
Takwimu zinaonyesha kuwa wanachama na viongozi wa Chadema ndio wanaongoza kwa kuunga mkono juhudi za CCM katika kuwaletea wananchi maendeleo ukilinganisha na vyama vingine vya upinzani.
Mfano wa viongozi wa juu wa Chadema waliovutiwa zaidi na CCM ni pamoja na Amani Kabirou rip, Dr Slaa, Tambwe Hiza, Dr Mashinji, Mwita Waitara, Cecil Mwambe, Dr Gekui, Patrobas Katambi, Juliana Shonza, Dr Mollel, Dr Lijualikali, Dr Joshua Nassari, David Silinde nk...nk.
Viko vyama makini vya upinzani ambavyo vinaiunga mkono CCM bila wanachama wake kuhamia Lumumba kwa sababu ya kuendekeza njaa, vyama hivyo ni pamoja na TLP, NCCR, Cuf na ACT wazalendo.
Mungu wa mbinguni awabariki CCM.
Mungu wa mbinguni akibariki Chama Tawala.
Maendeleo hayana vyama!