Miaka 40 ya mapinduzi ya kiislam ya Iran:mamilioni wajitokeza jee marekani na israel zimefeli kuiangusha iran?

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,987
17,859
Mamilioni ya Wairani washiriki maandamano ya kuadhimisha miaka 40 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 11, 2019 08:06 UTC
Mamilioni ya wananchi Waislamu wa Iran wamejitokeza kwa wingi kushiriki katika maandamano ya kuadhimisha miaka 40 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Licha ya kibaridi, manyunyu na theluji kushuhudiwa nyakati za asubuhi katika baadhi ya miji ukiwemo mji mkuu Tehran, lakini Wairani wamejitokeza kwa wingi katika maandamano hayo, kudhihirisha utiifu wao kwa malengo ya Mwasisi Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Khamenei.
Katika mahojiano yaliyochapishwa leo na gazeti la New Yorker la Marekani, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Mohammad Javad Zarif alitoa ujumbe wake kwa mnasaba wa siku hii inayofahamika hapa nchini kama Siku ya Allah ya Bahman 22 na kusema kuwa, "Mafanikio makubwa ya Mapinduzi ya Kiislamu ni kuwapa sauti wananchi wa Iran kuhusiana na masuala ya ndani na nje ya nchi."
Maandamano ya leo ya maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya mwaka huu yanafanyika katika miji zaidi ya elfu moja na vijiji elfu kumi vya Iran ya Kiislamu.
Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalifikia kilele cha ushindi tarehe 11 mwezi Februari mwaka 1979 kwa uongozi wa Imam Khomeini (M.A), Mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Februari 11 miaka 40 iliyopita Iran ilikuwa katika siku ya kihistoria itakayokumbukwa siku zote, ambapo wananchi wanamapinduzi wa Iran, wanaume kwa wanawake, vijana kwa wazee na watu wa matabaka yote walisimama kidete wakipambana na mizinga na vifaru vya jeshi la Shah na kujisabilia kwa ajili ya Mapinduzi ya Kiislamu.
Viongozi na maafisa wa ngazi za juu serikalini wanatazamiwa kutoa hotuba mbalimbali kwa mnasaba wa siku hii.

Swali:Jee marekani na israel wameshindwa kuiangusha iran kwa miaka 40 sasa?Maana vikwazo vimefeli na hata kijeshi ni ngumu maana iran wamejiimarisha mno
4bsee1eee6166e1d0c9_800C450.jpg
4bse64d920e7621d0au_800C450.jpg
25fcc10d-51e1-49a1-b174-e12d745dcd73.jpg
4bse27ae1979c91d0cu_800C450.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mamilioni ya Wairani washiriki maandamano ya kuadhimisha miaka 40 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 11, 2019 08:06 UTC
Mamilioni ya wananchi Waislamu wa Iran wamejitokeza kwa wingi kushiriki katika maandamano ya kuadhimisha miaka 40 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Licha ya kibaridi, manyunyu na theluji kushuhudiwa nyakati za asubuhi katika baadhi ya miji ukiwemo mji mkuu Tehran, lakini Wairani wamejitokeza kwa wingi katika maandamano hayo, kudhihirisha utiifu wao kwa malengo ya Mwasisi Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Khamenei.
Katika mahojiano yaliyochapishwa leo na gazeti la New Yorker la Marekani, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Mohammad Javad Zarif alitoa ujumbe wake kwa mnasaba wa siku hii inayofahamika hapa nchini kama Siku ya Allah ya Bahman 22 na kusema kuwa, "Mafanikio makubwa ya Mapinduzi ya Kiislamu ni kuwapa sauti wananchi wa Iran kuhusiana na masuala ya ndani na nje ya nchi."
Maandamano ya leo ya maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya mwaka huu yanafanyika katika miji zaidi ya elfu moja na vijiji elfu kumi vya Iran ya Kiislamu.
Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalifikia kilele cha ushindi tarehe 11 mwezi Februari mwaka 1979 kwa uongozi wa Imam Khomeini (M.A), Mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Februari 11 miaka 40 iliyopita Iran ilikuwa katika siku ya kihistoria itakayokumbukwa siku zote, ambapo wananchi wanamapinduzi wa Iran, wanaume kwa wanawake, vijana kwa wazee na watu wa matabaka yote walisimama kidete wakipambana na mizinga na vifaru vya jeshi la Shah na kujisabilia kwa ajili ya Mapinduzi ya Kiislamu.
Viongozi na maafisa wa ngazi za juu serikalini wanatazamiwa kutoa hotuba mbalimbali kwa mnasaba wa siku hii.

Swali:Jee marekani na israel wameshindwa kuiangusha iran kwa miaka 40 sasa?Maana vikwazo vimefeli na hata kijeshi ni ngumu maana iran wamejiimarisha mno View attachment 1019669View attachment 1019670View attachment 1019671View attachment 1019672

Sent using Jamii Forums mobile app
Ubaya sio wenye kudumu
 
johnundefinedFeb 11, 2019 @ 20:36 at 20:36undefinedPermalinkundefinedThis is the first time I have seen a direct connection between oil and war. Russia’s Rosneft has been given 20% share of the oil and Gasoline fields of Lebanon and now they are saying that the Gasoline fields that Israel has is siphoning off Gasoline from the Lebanese Gasoline fields. That’s Russia’s extortion fee for ‘protecting’ Hizballah from Israel bringing Russia into direct confrontation with Israel. Now Russia is saying that Hizballah is a stabilizing force in the Middle East.undefined50 years ago I read a ‘prediction’ that WW3 would start in the Middle East and it would be between Iran and Israel. I looked at the map and thought: How? Why? Nonsense! WOW!!! Looks more and more possible. Now Iran and Hizballah will have protection against Israeli attacks in Syria and Lebanon bringing war ever closer to Israel. The only way to prevent things from progressing is for Israel to bomb Iran now and not wait until the Russians get their missiles in place, although I don’t think they actually need to do anything more than point their radars towards Lebanon or even just let the missiles react to targets above Lebanon in addition to those in Syria. So who knows what the solution is? Today’s new headline: “Moscow &Tehran prepare to arm Hizballah, including with Iranian air defense missiles.” So now Russia is helping Hizballah in addition to Iran. I guess oil wars have not stopped. Russia is now playing Big Daddy in the Middle East in addition to doing it in the rest of the world.
 
Back
Top Bottom