Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,810
Zilipendwa mpaka akina ccm wenyewe siku hizi wameishaiteka hii hoja! hakisaidii chama kwa muda huu!
sera za nyumba tano tano ziliishia wapi? na inatekelezwa vipi??
Next election tutasimamisha mgombea kila jimbo na tutawaweka mawakala kila sehemu? au itakuja hadithi ile ya 'tulishinda' huku tuna wabunge 23 na serikali za mitaa asilimia 8, na hatukuweka mawakala sehemu zingine...kisa ukata na huku fedha IKILIWA makao makuu! au haukusikia TRA wakilalamika hatutoi kodi..that was indicator of something big is going on!!
Zanzibar si umeona tulivyoaibika? tumejitayarishaje kuwa na mgombe amwenza au tutaenda chini sokoni kumchukua mkwezi asiyekuwa na lengo hilo!
Vipi tuhuma za udini na ukabila chadema inafanya nini kujinasua??
FYI ukabila ni tatizo kubwa hata kama hili hamtaki kulisema,
chadema kiwe na sura ya kitaifa...tangu imeanza kulalamikiwa mpaka wa leo hakuna kitu
Tell them to resolve these! upo??
Msidanganyane CDM inapaa hali haiko hivyo kwenye field...trust me! ukibisha unabisha tu
nimemaliza
Mkuu unavyoichambua CHADEMA!
Lakini nakumbuka Mwanakijiji alivyomchambua Magufuli ulihamaki mno!.... hadi hapa sijakuelewa...
Uhuru wa kuchambua kitu uwe nao wewe tu!! Na itakuwaje CCM 2015 wasipomteua Magufuli kugombea uraisi wakamteua Hussein Mwinyi .
Hata vivyo kama kweli unaamini CCM inapendwa na inashinda kwa sababu ya kupendwa, hebu washauri CCM na raisi wake waridhie kuunda tume huru ya uchaguzi then waingie kwenye uchaguzi hilo tu hata katiba ikibaki hihii yenye matege!