harder king
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 3,970
- 6,898
Basi ata wachina watatoweka china maana wamesambaa duniani kote...Ishara zote zinaonyesho miaka 30 ijayo kabila maarufu la kichaga litafutika kabisa mkoani Kilimanjaro.
Sababu kuu ni kama zifuatazo:
- Wachaga wengi wanaoa na kuolewa na makabila tofauti,wengi walio oa kabila tofauti wakifa wake zao ambao ni kabila tofauti wanarithi Mali za mume zao pamoja na shamba LA urithi alilopewa Mme wake.
- Watoto wengi Wachaga miaka ya sasa hivi wanazaliwa mijini na mikoani na wanakua na tatizo la kutokujua mila na desturi za kichaga sababu hiyo inafanya wawe waswahili.
- Wanawake wana olewa uchagani wanaleta ndugu zao pindi wenye mji wanapokufa kama kawaida mnajua wanaume wanatangulia kufa. Mfano mzuri ni Jirani yetu mwanamke wa kipare aliolewa kwenye ukoo wetu wa Lema baada ya mume wake kufa na wakwe zake alileta ndugu zake wengine wakaoa na kuolewa huku machame.
- Wachaga halisi waliorithi Mali na mashamba kutoka kwa wazee wetu hawakuthubutu kuuza ile ardhi kutokana na historian jinsi wazee wetu walivyoteseka kupata ardhi miaka ya 1700 mpaka 1900 mwanzoni.
- Wanaozaliwa nje ya Kilimanjaro na kurudi uchagani bila kujua historian na wale wanawake wanaoolewa uchagani wanauza na watauza ardhi kwani historian inafutika Wachaga wanajenga mbali na Kilimanjaro na wengine wanafia huko na kuzikwa huko.
Ama kweli kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho. Binafsi nasikia uchungu sana nikitafakari mambo haya,hakuna jinsi dunia inabadilika na hakuna wa kuzuia.
- Ukiwa uchagani sasa hivi kila ukikutana na watu kumi basi watano ni wageni
Wito kwa wachaga acheni Mara moja kuwadharau wazaramo kwa kuuza mashamba na kuikimbia Dar yaleyale yanakuja kwenu na nashauri mvumilie hakuna jinsi tena ndugu zangu.
My take..rudi kalale uote tena hyo ndoto yako then uje na uzi unaosema
WACHAGGA TUNAKARIBIA KUITAWALA DUNIA.