HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,552
- 48,148
Kiongozi,
Naomba nikuulize swali:-
Kwenye kutafuta kuna mawili, nikiwa na maana kuna kupata na kuna kukosa.
Swali ....
Je ikiwa Mtonyo unaoutaka haujapatikana na Umri unazidi kukutupa mkono ina maana utazidi kuendelea kusubiri?
Mbona asilimia kubwa Familia zetu tunazotoka Maisha ni ya kawaida sana, na tumelelewa hivyohivyo kwa kuunga unga mpaka tunakua, na kuanza kujitegemea wenyewe.
Mbona hatujawa Watoto wa mitaani!
Naomba nikuulize swali:-
Kwenye kutafuta kuna mawili, nikiwa na maana kuna kupata na kuna kukosa.
Swali ....
Je ikiwa Mtonyo unaoutaka haujapatikana na Umri unazidi kukutupa mkono ina maana utazidi kuendelea kusubiri?
Italeta raha kama umejpanga ila nowdayz watu wanatafta mtonyo kwanza kuzaa badae.
Na hii itapunguza street children.
Mbona asilimia kubwa Familia zetu tunazotoka Maisha ni ya kawaida sana, na tumelelewa hivyohivyo kwa kuunga unga mpaka tunakua, na kuanza kujitegemea wenyewe.
Mbona hatujawa Watoto wa mitaani!