positive is normal
JF-Expert Member
- Dec 25, 2017
- 520
- 978
Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kuonekana katika maisha yangu, Happy birthday to me positive is normal, Kuwa na virusi sio mwisho wa maisha cha msingi ni kufata tu masharti
Amen mkuu,usijali tupo pamojaMungu awe nawee na pongezi kwa kujikubali
Toa ushauri kwa sisi vijana wenzako ambao ukiona angaza unabadilisha njia
ha ha ha ha sawa mkuuKupima ni pressure ya hali ya juu mm ni bora nibaki hivi hivi sitakaa nipime
Mkuu kwa nini ulianza kutumia ARV hali umekaa miaka 23 bila kutumia!Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kuonekana katika maisha yangu, Happy birthday to me positive is normal, Kuwa na virusi sio mwisho wa maisha cha msingi ni kufata tu masharti
kwa nini mkuu, kuwa na Ukimwi sio mwisho wa maisha, cha msingi ni kufata tu mashartiWe jamaa una moyo wa kiyahudi sana.
Hizo ARV zitakupeleka haraka kaburini mkuu ungeachana nazo tuNamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kuonekana katika maisha yangu, Happy birthday to me positive is normal, Kuwa na virusi sio mwisho wa maisha cha msingi ni kufata tu masharti
Mkuu kwa faida ya wengi naomba tueleze ulipataje Ugonjwa?Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kuonekana katika maisha yangu, Happy birthday to me positive is normal, Kuwa na virusi sio mwisho wa maisha cha msingi ni kufata tu masharti
Mkuu kwa nini ulianza kutumia ARV hali umekaa miaka 23 bila kutumia!
Hongera sana, ARV za sasa ziko advanced na Mungu atakutangulia.
mkuu nilishaeleza mwaka jana, ila kwa faida yote unaweza soma tena uzi wangu huu hapa Nilizaliwa na Virusi vya UKIMWI - JamiiForumsMkuu kwa faida ya wengi naomba tueleze ulipataje Ugonjwa?
Kweli kabisa kiongozi, ubarikiwe mkuuMungu aendelee kukulinda mkuu.
Maisha ni zaidi ya afya ya mwili.
Cha muhimu sana ni uhai na peace of mind....
Ahsante sana, fundi bishoo , ubarikiwe sana