MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,425
Wakuu heshima mbele,
Tarehe 7/8/1998 balozi za Marekani nchini Tanzania na Kenya zilishambuliwa kwa wakati mmoja/wakati uliokaribiana na kwa ukanda huu huo ulikuwa ni kama utambulishi wa Al Qaeda katika EA.
Kwa Tanzania nadhani hilo lilikuwa tukio kubwa la ugaidi katika ardhi yetu huku wenzetu Kenya wao walipitia misukosuko kadhaa.
Binafsi sina kumbukumbu yoyote ya tukio hilo wakati linatokea lakini nilibahatika kusoma kitabu kinachoelezea vizuri Al Qaeda tokea kuanza kwake mpaka 2001 na matukio waliowahi kuyafanya kinaitwa "The Looming Tower,Al Qaeda and the road to 9/11".
Pia niliwahi kusoma uzi mmoja mujarabu sana unaitwa https://www.jamiiforums.com/threads...resheni-ya-kukamatwa-osama-bin-laden.1115962/ author alikuwa ni habibu BAnga ambao basically unaonesha nini kilitokea 2001, intelligence na mpaka kuuawa Osama bin Laden.
Mambo ni mengi sana na kwa kuwa JF ipo kila mahala tungependa angalau kujua mbili tatu za tukio lenyewe maana kuna watu walishudia huku tukiendea kuwaombea waliotangulia na faraja kwa majeruhi.
Nawasilisha
Tarehe 7/8/1998 balozi za Marekani nchini Tanzania na Kenya zilishambuliwa kwa wakati mmoja/wakati uliokaribiana na kwa ukanda huu huo ulikuwa ni kama utambulishi wa Al Qaeda katika EA.
Kwa Tanzania nadhani hilo lilikuwa tukio kubwa la ugaidi katika ardhi yetu huku wenzetu Kenya wao walipitia misukosuko kadhaa.
Binafsi sina kumbukumbu yoyote ya tukio hilo wakati linatokea lakini nilibahatika kusoma kitabu kinachoelezea vizuri Al Qaeda tokea kuanza kwake mpaka 2001 na matukio waliowahi kuyafanya kinaitwa "The Looming Tower,Al Qaeda and the road to 9/11".
Pia niliwahi kusoma uzi mmoja mujarabu sana unaitwa https://www.jamiiforums.com/threads...resheni-ya-kukamatwa-osama-bin-laden.1115962/ author alikuwa ni habibu BAnga ambao basically unaonesha nini kilitokea 2001, intelligence na mpaka kuuawa Osama bin Laden.
Mambo ni mengi sana na kwa kuwa JF ipo kila mahala tungependa angalau kujua mbili tatu za tukio lenyewe maana kuna watu walishudia huku tukiendea kuwaombea waliotangulia na faraja kwa majeruhi.
Nawasilisha