Miaka 20 bila promotion, Wanataka niwe mzalendo!

JERUSALEMU

JF-Expert Member
Sep 19, 2012
3,106
3,523
Habari wanajamvi!

Mimi ni mtumishi wa umma, huu ni mwaka wangu wa 27 kazini.Katika kipindi chote hicho nimekuwa nikifanya kazi kwa bidii na maarifa bila kujali mwajiri wangu hatimizi majukumu yake ipasavyo.

Miaka 10 ya mwanzo nilifanya kazi bila kupanda daraja,mpaka ikafikia muda watu walio ajiriwa nyuma yangu wakawa na mikubwa kuliko mimi.

Mwaka 2001 nikapanda daraja kwa mara ya kwanza. Mwaka 2003 nikapanda tena, na mwaka 2007 nikapanda tena. Baada ya hapo sikupanda daraja mpaka hii leo, yaani miaka 10 mingine bila kupanda daraja.Juzijuzi tulipanda madaraja watumishi wengi na mimi nikiwemo, Lakini tulipata mshahara mpya mwezi mmoja tu Rais akasitisha madaraja kwa kisingizio kuhakiki watumishi wa umma. Mpaka leo hii, miezi 7 baada ya uhakiki kwisha mishahara haijarudishwa.

Nimepanga kustaafu at 55. Nimechoka kutumika kama male sheath! Halafu mtu anaomba tumuombee wakati yeye hatutakii mema. Mungu ambariki aendelee kututawala apendavyo ! iko siku Mungu atatulipa na kutufariji.
 
mkuu kupanda madaraja na mshahara kunategemea na bajeti ambayo hairuhusu kwa sasa
 
Watumishi wa Umma kiukweli changamoto ni nyingi kuna Wachache ndio wananufaika mimi naona at 55 utakuwa umetumika Sana yani kama ni condom basi unataka kupigia nayo bao la pili
Hahahaha,daah vijana mmekengeuka,ndo mfano gan huo jameni
 
Hii ni hali ya watumishi wengi wa umma.
Kiukweli serikali lazima ijitathimini sana inavyoishi na watumishi wake. Unajua hata kama ingesitisha madaraja lakini kila mwezi wangekuwa wanatoa annual increments kwa watumishi ingepunguza machungu.

Mimi ni mwalimu kuna wakati unaingia darasani unafundisha ukikumbuka tu ni mwaka wa sita unaenda huna increment wala daraja chaki inakuanguka mkononi.
Huwa najifikiriaga sana, hivi ufanisi kwenye mazingira kama hayo wa nini? Ufanye kwa bidii ili ugundue nini?

Ila haichelewi utamsikia MTU analopoka kama huwezi 'acha kazi'. Hizi ni kati ya kauli za kishenzi kabisa kutolewa na muungwana.
Tunajua hatulipwi appropriately kwani you can buy human labour. Huwa nakumbuka neno moja hivi; kama na mwalimu wangu alienifundisha pale kilosa P/S baada kwiro S/S halafu Ilonga ttc baadae saut hadi mlimani (udsm) angekuwa amelegea ningeweza kufundisha?

Nikilikumbuka hilo na neno tulilofundishwa na baba askofu akisisitiza, ukristo ni kuwa, kamwe usitende jambo lolote kwa MTU ambalo wewe hutaki kutendewa na aliongeze kuwa, upendo hustiri wingi wa dhambi. Hapo mie huku kwisha kabisa unainama unaokota chaki.
Kwa kuwa upo class, inabidi uweke kichekesho cha methali kuzuga watoto wasielewe kuwa unafrastrutioni zako commonly; mzungu anachugulia dirishani........ Au;
akunyimae mbaazi anakupunguzia .......... wanafunzi wanacheka umeshaua sooo ila kwa mwalimu ni joki na mkuki wa moyo.

Serikali hasa hii inamausanii ya kishamba sana!!!
 
Habari wanajamvi!

Mimi ni mtumishi wa umma, huu ni mwaka wangu wa 27 kazini.Katika kipindi chote hicho nimekuwa nikifanya kazi kwa bidii na maarifa bila kujali mwajiri wangu hatimizi majukumu yake ipasavyo.

Miaka 10 ya mwanzo nilifanya kazi bila kupanda daraja,mpaka ikafikia muda watu walio ajiriwa nyuma yangu wakawa na mikubwa kuliko mimi.

Mwaka 2001 nikapanda daraja kwa mara ya kwanza. Mwaka 2003 nikapanda tena, na mwaka 2007 nikapanda tena. Baada ya hapo sikupanda daraja mpaka hii leo, yaani miaka 10 mingine bila kupanda daraja.Juzijuzi tulipanda madaraja watumishi wengi na mimi nikiwemo, Lakini tulipata mshahara mpya mwezi mmoja tu Rais akasitisha madaraja kwa kisingizio kuhakiki watumishi wa umma. Mpaka leo hii, miezi 7 baada ya uhakiki kwisha mishahara haijarudishwa.

Nimepanga kustaafu at 55. Nimechoka kutumika kama male sheath! Halafu mtu anaomba tumuombee wakati yeye hatutakii mema. Mungu ambariki aendelee kututawala apendavyo ! iko siku Mungu atatulipa na kutufariji.
Ungependa upande daraja lipi ? Maana hata kwetu yapo mengi hayo madaraja.
 
Mkuu umechelewa sana miaka yote hiyo ungejiajiri ungekuwa mbali sana wala usingekuja na uzi wako wa kulalamika hapa. Mimi nimeajiliwa mwaka 2015 na nina mpango wa kutoendelea na ajira baada ya miaka kumi.
 
Hii ni hali ya watumishi wengi wa umma.
Kiukweli serikali lazima ijitathimini sana inavyoishi na watumishi wake. Unajua hata kama ingesitisha madaraja lakini kila mwezi wangekuwa wanatoa annual increments kwa watumishi ingepunguza machungu.

Mimi ni mwalimu kuna wakati unaingia darasani unafundisha ukikumbuka tu ni mwaka wa sita unaenda huna increment wala daraja chaki inakuanguka mkononi.
Huwa najifikiriaga sana, hivi ufanisi kwenye mazingira kama hayo wa nini? Ufanye kwa bidii ili ugundue nini?

Ila haichelewi utamsikia MTU analopoka kama huwezi 'acha kazi'. Hizi ni kati ya kauli za kishenzi kabisa kutolewa na muungwana.
Tunajua hatulipwi appropriately kwani you can buy human labour. Huwa nakumbuka neno moja hivi; kama na mwalimu wangu alienifundisha pale kilosa P/S baada kwiro S/S halafu Ilonga ttc baadae saut hadi mlimani (udsm) angekuwa amelegea ningeweza kufundisha?

Nikilikumbuka hilo na neno tulilofundishwa na baba askofu akisisitiza, ukristo ni kuwa, kamwe usitende jambo lolote kwa MTU ambalo wewe hutaki kutendewa na aliongeze kuwa, upendo hustiri wingi wa dhambi. Hapo mie huku kwisha kabisa unainama unaokota chaki.
Kwa kuwa upo class, inabidi uweke kichekesho cha methali kuzuga watoto wasielewe kuwa unafrastrutioni zako commonly; mzungu anachugulia dirishani........ Au;
akunyimae mbaazi anakupunguzia .......... wanafunzi wanacheka umeshaua sooo ila kwa mwalimu ni joki na mkuki wa moyo.

Serikali hasa hii inamausanii ya kishamba sana!!!
Maneno yako yamenutia uchungu sana. Nikikumbuka maneno ya baadhi ya viongozi huwa natamani angekuwa karibu nimfanye kama Dokta Kileruu alivyo pigwa na Mwamwindi.
 
Maneno yako yamenutia uchungu sana. Nikikumbuka maneno ya baadhi ya viongozi huwa natamani angekuwa karibu nimfanye kama Dokta Kileruu alivyo pigwa na Mwamwindi.
Mimi huwa nawaonaga kama watu waliopungukiwa na hekima na ufahamu. Laiti wangeona walimu wanavyogalagala na darasa ambalo halina hata standard walizojiwekea wao wenyewe MF. 45 pupils per classroom walipaswa wafunge midomo yao
 
Habari wanajamvi!

Mimi ni mtumishi wa umma, huu ni mwaka wangu wa 27 kazini.Katika kipindi chote hicho nimekuwa nikifanya kazi kwa bidii na maarifa bila kujali mwajiri wangu hatimizi majukumu yake ipasavyo.

Miaka 10 ya mwanzo nilifanya kazi bila kupanda daraja,mpaka ikafikia muda watu walio ajiriwa nyuma yangu wakawa na mikubwa kuliko mimi.

Mwaka 2001 nikapanda daraja kwa mara ya kwanza. Mwaka 2003 nikapanda tena, na mwaka 2007 nikapanda tena. Baada ya hapo sikupanda daraja mpaka hii leo, yaani miaka 10 mingine bila kupanda daraja.Juzijuzi tulipanda madaraja watumishi wengi na mimi nikiwemo, Lakini tulipata mshahara mpya mwezi mmoja tu Rais akasitisha madaraja kwa kisingizio kuhakiki watumishi wa umma. Mpaka leo hii, miezi 7 baada ya uhakiki kwisha mishahara haijarudishwa.

Nimepanga kustaafu at 55. Nimechoka kutumika kama male sheath! Halafu mtu anaomba tumuombee wakati yeye hatutakii mema. Mungu ambariki aendelee kututawala apendavyo ! iko siku Mungu atatulipa na kutufariji.


Hakuna kilaza anapewa promotion!
 
Ni kweli kabisa, Kati ya awamu zote this is the worst. Hivi unawezaje kumpanfisha mtu daraja halafu ukampokonya? Halafu wana ahadi za uongo kweli.Mara madaraja yatarudishwa soon , mara mishahara itapanda! iko siku.
Tatizo la serikali hii ya awamu ya tano haina ule uwajibikaji wa pamoja, leo hii Waziri anasema hili, wiki ijayo rais anakuja kusema tofauti kwa jambo hilo hilo moja, sasa unajikuta matamko yanatoka mengi ambayo yanakinzana kinzana tu.
 
Habari wanajamvi!

Mimi ni mtumishi wa umma, huu ni mwaka wangu wa 27 kazini.Katika kipindi chote hicho nimekuwa nikifanya kazi kwa bidii na maarifa bila kujali mwajiri wangu hatimizi majukumu yake ipasavyo.

Miaka 10 ya mwanzo nilifanya kazi bila kupanda daraja,mpaka ikafikia muda watu walio ajiriwa nyuma yangu wakawa na mikubwa kuliko mimi.

Mwaka 2001 nikapanda daraja kwa mara ya kwanza. Mwaka 2003 nikapanda tena, na mwaka 2007 nikapanda tena. Baada ya hapo sikupanda daraja mpaka hii leo, yaani miaka 10 mingine bila kupanda daraja.Juzijuzi tulipanda madaraja watumishi wengi na mimi nikiwemo, Lakini tulipata mshahara mpya mwezi mmoja tu Rais akasitisha madaraja kwa kisingizio kuhakiki watumishi wa umma. Mpaka leo hii, miezi 7 baada ya uhakiki kwisha mishahara haijarudishwa.

Nimepanga kustaafu at 55. Nimechoka kutumika kama male sheath! Halafu mtu anaomba tumuombee wakati yeye hatutakii mema. Mungu ambariki aendelee kututawala apendavyo ! iko siku Mungu atatulipa na kutufariji.
Heading yako inapingana na maelezo yako. Pili kama umefanya kazi miaka 27 basi umepitia hopefully awamu tatu za uongozi. Kupandishwa madaraja kuna vigezo pia. Unesema ulipandishwa bila kutuambia uliajiriwa kwa daraja gani, ukapandishwa hadi daraja gani. Kuna fani kama wahasibu ukishafikia daraja fulani huwezi kupandishwa tena bila cpa. Sasa wewe kuwa wazi tu tujue. Kwa sasa kama opras inafanya kazi unapandishwa kazi kwa kuangalia sio kigezo cha miaka tu bali performance based. Sasa unaweza kujipima mwenyewe.
 
Back
Top Bottom