Miaka 2 inaisha Mwenyeti wa CCM na Mwenyekiti wa CHADEMA hawajakaa meza moja

lendila

JF-Expert Member
Sep 26, 2012
5,806
4,370
Miaka 3 imeisha mwenyekiti wa ccm,na mwenyekiti wa chadema hawajawai kukaa meza moja na kunywa hata soda
Alfu bado kuna watu wanahubiri umoja amani na mshikamano kweli?

Ccm ilipata kura milion 8,na chadema ilipata kura milion 6 na ushee, kwa wenye akili hivi vyama vinawafuasi wengi,wapumbavu pekee wenye tabia ya kushupaa!!

Shingo ndio watakaona kama hivi vyama havina wafuasi wengi,swali kwa mwenyekiti wa ccm anawafuasi wengi?Na mwenyekiti wa chadema anawafuasi wengi na hawajawai kukaa meza moja unaweza kuhubiri umoja amani na upendo kweli?labda upendo wa mungu n,gombe lkn sio mungu wa yakobo,daudi,na Abraham.

Swali mbona viongozi wa dini ya kisilamu na viongozi wa dini ya kikirstu huwa wanakaa pamoja?Kama wao huwa wanakaa pamoja kwanini wasimshauri mbowe wa chadema,na magufuli wa ccm wakae pamoja ili waweze kuunganisha wafuasi wa vyama vyote kwa upendo?

Je ni kweli tuko wamoja baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015? Je hakuna vidonda vya uchaguzi?
Je umoja wetu kweli ni imara?

Kwanini viongozi wa dini wasitumie busara ya kuandaa hata kasherehe kadogo alfu wamwalike mbowe,na magufuli?ili uwe angalao ni mwanzo mzuri wa kujenga umoja?Kama wao wanavyokaaga na watu wa dini zote kwa vitendo?
 
Miaka 3 imeisha mwenyekiti wa ccm,na mwenyekiti wa chadema hawajawai kukaa meza moja na kunywa hata soda
Alfu bado kuna watu wanahubiri umoja amani na mshikamano kweli?

Ccm ilipata kura milion 8,na chadema ilipata kura milion 6 na ushee, kwa wenye akili hivi vyama vinawafuasi wengi,wapumbavu pekee wenye tabia ya kushupaa!!

Shingo ndio watakaona kama hivi vyama havina wafuasi wengi,swali kwa mwenyekiti wa ccm anawafuasi wengi?Na mwenyekiti wa chadema anawafuasi wengi na hawajawai kukaa meza moja unaweza kuhubiri umoja amani na upendo kweli?labda upendo wa mungu n,gombe lkn sio mungu wa yakobo,daudi,na Abraham.

Swali mbona viongozi wa dini ya kisilamu na viongozi wa dini ya kikirstu huwa wanakaa pamoja?Kama wao huwa wanakaa pamoja kwanini wasimshauri mbowe wa chadema,na magufuli wa ccm wakae pamoja ili waweze kuunganisha wafuasi wa vyama vyote kwa upendo?

Je ni kweli tuko wamoja baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015? Je hakuna vidonda vya uchaguzi?
Je umoja wetu kweli ni imara?

Kwanini viongozi wa dini wasitumie busara ya kuandaa hata kasherehe kadogo alfu wamwalike mbowe,na magufuli?ili uwe angalao ni mwanzo mzuri wa kujenga umoja?Kama wao wanavyokaaga na watu wa dini zote kwa vitendo?
Mwenye kaya mwenyew wenzie wakiumwa hajishughulishi kuwaona zaidi ya kutoa maneno ya vitisho na kejeli.. ata mimi sikushobokei
 
Chadema walikua wanakunywa chai na Juice Ikulu mwisho wasiku walimtusi Kikwete na kumwita Dhaifu.
Sasa wamekutana na mziki mnene wanalia lia, sisi wananchi tunawasubiri kwenye boksi la kura tuwanyooshe kwa kukosa nidhamu.
 
Mkuu unategemea mtu mwenye chuki za kutisha, roho mbaya, visasi, vitisho ambaye hata Kikwete kaona chuki zake hadi kumwambia wapinzani si maadui atakuwa na muda kweli kukaa meza moja na maadui zake? Kumbuka hata MACCM waliotaka kwenda kumpa pole Lema baada ya kutoka lupango aliwapiga marufuku.



Miaka 3 imeisha mwenyekiti wa ccm,na mwenyekiti wa chadema hawajawai kukaa meza moja na kunywa hata soda
Alfu bado kuna watu wanahubiri umoja amani na mshikamano kweli?

Ccm ilipata kura milion 8,na chadema ilipata kura milion 6 na ushee, kwa wenye akili hivi vyama vinawafuasi wengi,wapumbavu pekee wenye tabia ya kushupaa!!

Shingo ndio watakaona kama hivi vyama havina wafuasi wengi,swali kwa mwenyekiti wa ccm anawafuasi wengi?Na mwenyekiti wa chadema anawafuasi wengi na hawajawai kukaa meza moja unaweza kuhubiri umoja amani na upendo kweli?labda upendo wa mungu n,gombe lkn sio mungu wa yakobo,daudi,na Abraham.

Swali mbona viongozi wa dini ya kisilamu na viongozi wa dini ya kikirstu huwa wanakaa pamoja?Kama wao huwa wanakaa pamoja kwanini wasimshauri mbowe wa chadema,na magufuli wa ccm wakae pamoja ili waweze kuunganisha wafuasi wa vyama vyote kwa upendo?

Je ni kweli tuko wamoja baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015? Je hakuna vidonda vya uchaguzi?
Je umoja wetu kweli ni imara?

Kwanini viongozi wa dini wasitumie busara ya kuandaa hata kasherehe kadogo alfu wamwalike mbowe,na magufuli?ili uwe angalao ni mwanzo mzuri wa kujenga umoja?Kama wao wanavyokaaga na watu wa dini zote kwa vitendo?
 
Wakutane? hakika CHADEMA mmezimisi juice na chai za Ikulu.
CDM6.jpg
 
Miaka 3 imeisha mwenyekiti wa ccm,na mwenyekiti wa chadema hawajawai kukaa meza moja na kunywa hata soda
Alfu bado kuna watu wanahubiri umoja amani na mshikamano kweli?

Ccm ilipata kura milion 8,na chadema ilipata kura milion 6 na ushee, kwa wenye akili hivi vyama vinawafuasi wengi,

Je ni kweli tuko wamoja baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015? Je hakuna vidonda vya uchaguzi?
Je umoja wetu kweli ni imara?
Mkuu Lendila, I understand your concern, lakini unauliza as if kuna sheria, taratibu au kanuni ya mwenyekiti mshinda kukutana na mwenyekiti mshindwa!.

Mfumo wetu wa uchaguzi, electoral system ni wa mtindo wa "the winner takes all, the loser standing small", hakuna utaratibu wowote wa viongozi hawa kukutana, Magufuli baada ya kushinda, ana haja gani kujipendekeza kwa Mbowe?. Na Chadema baada ya kushindwa, jee wana sababu yoyote ya kujikombakomba kwa CCM?.

Kiukweli kabisa, mfumo wetu wa uchaguzi hauko fair. Nchi yetu ina watu milioni 50. Mfumo wetu wa uchaguzi, hata wakijiandikisha watu milioni 30, halafu siku ya kupiga kura, wakajitokeza wapiga kura 3 tuu, kuwapigia kura wagombea wawili wa urais, mmoja akapata kura 2, mwingine akapata kura moja, yule mwenye kura 2 ndiye mshindi halali.
Vivyo hivyo kati ya hao milioni 30 waliojitokeza, na wote wakapiga kura, mmoja akapata kura milioni 15,000,001, na mwingine kura 14,999,000, wakapishana kwa kura moja, the winner takes all, aliyeshinda, ameshinda kura zote hata hizi za mshindwa na hakuna utaratibu wowote wa kuwa integrate washindwa!.

This is not fair. Demokrasia ya kweli inatumia fair integration, mshindi ili atawale mwenyewe, lazima ashinde kwa zaidi ya 51% majority, chama chochote kikipata less than 51% majority, then ni lazima viunde serikali kwa kushirikiana na chama kingine kitake kisitake.

Baada ya Magufuli kupata kura milioni 8 na Lowassa kupata kura milioni 6, ulikuwa ni ustaarabu, kwanza Lowassa kukubali kushindwa, hata kama lilikuwa ni bao la mkono!, kisha kumpongeza mshindi hata kwa shingo upande!, kisha Magufuli angelazimika kuwa integrate watu wa Lowassa, kura milioni 6 is not nothing, it is something, kura hizi ni nyingi kuliko zilizomuingiza Kikwete Madarakani.

Ili kudumisha umoja, upendo, amani na mshikamano, Tanzania lazima tubadili electral system yetu, lets do away with the simple majority formular, twende kwenye percentage, na kwa umasikini wetu, hatuna sababu ya kutumia uchaguzi wa marudio bali tutumie proportional representation, kama mshindi wa jimbo fulani ni Chadema, akipoteza uwakilishi kwa sababu yoyote, the second winner anaapishwa, au chama chake kinateua mwingine!, kutakuwa hakuna haja ya chama fulani kuwanunu madiwani wa mwenzake na kuwabebesha Watanzania masikini wa kutupwa, mzigo wa gharama za kugharimia uchaguzi wa marudio!.

Uchaguzi sio tuu unatakiwa kuwa free and fair, bali unapaswa kuwa ni uchaguzi wa haki!, huu utaratibu wa sasa wa mwenye milioni 8 tuu ndio mwenye haki zote, ikiwemo kukiuka katiba na kuzuia mwenye milioni 6 asifanye siasa, huku mwenyewe akigeuza shughuli za kiserikali kupiga siasa kwa advantage ya chama chama chake!.

Kama tumekubaliana uchaguzi umekwisha, sasa ni wakati wa kupiga kazi tuu kulijenga taifa, then sote tuache siasa, tufanye kazi, lakini hii ya wengine siasa hapana, lakini sisi tunaendeleza siasa tena kwenye matukio ya kiserikali, tena mengine very serious hayahitaji siasa, it is not fair, and it is not good at all!.

Paskali
 
Nimekuelewa sana Pasco. Sisi ngoja tuendelee kuitwa wapumbavu. (hapo kwenye figure zako 15,000,001 na 14,999,000 tofauti ni kura 1,001 na sio kura 1).
 
Mkuu Lendila, I understand your concern, lakini unauliza as if kuna sheria, taratibu au kanuni ya mwenyekiti mshinda kukutana na mwenyekiti mshindwa!.

Mfumo wetu wa uchaguzi, electoral system ni wa mtindo wa "the winner takes all, the loser standing small", hakuna utaratibu wowote wa viongozi hawa kukutana, Magufuli baada ya kushinda, ana haja gani kujipendekeza kwa Mbowe?. Na Chadema baada ya kushindwa, jee wana sababu yoyote ya kujikombakomba kwa CCM?.

Kiukweli kabisa, mfumo wetu wa uchaguzi hauko fair. Nchi yetu ina watu milioni 50. Mfumo wetu wa uchaguzi, hata wakijiandikisha watu milioni 30, halafu siku ya kupiga kura, wakajitokeza wapiga kura 3 tuu, kuwapigia kura wagombea wawili wa urais, mmoja akapata kura 2, mwingine akapata kura moja, yule mwenye kura 2 ndiye mshindi halali.
Vivyo hivyo kati ya hao milioni 30 waliojitokeza, na wote wakapiga kura, mmoja akapata kura milioni 15,000,001, na mwingine kura 14,999,000, wakapishana kwa kura moja, the winner takes all, aliyeshinda, ameshinda kura zote hata hizi za mshindwa na hakuna utaratibu wowote wa kuwa integrate washindwa!.

This is not fair. Demokrasia ya kweli inatumia fair integration, mshindi ili atawale mwenyewe, lazima ashinde kwa zaidi ya 51% majority, chama chochote kikipata less than 51% majority, then ni lazima viunde serikali kwa kushirikiana na chama kingine kitake kisitake.

Baada ya Magufuli kupata kura milioni 8 na Lowassa kupata kura milioni 6, ulikuwa ni ustaarabu, kwanza Lowassa kukubali kushindwa, hata kama lilikuwa ni bao la mkono!, kisha kumpongeza mshindi hata kwa shingo upande!, kisha Magufuli angelazimika kuwa integrate watu wa Lowassa, kura milioni 6 is not nothing, it is something, kura hizi ni nyingi kuliko zilizomuingiza Kikwete Madarakani.

Ili kudumisha umoja, upendo, amani na mshikamano, Tanzania lazima tubadili electral system yetu, lets do away with the simple majority formular, twende kwenye percentage, na kwa umasikini wetu, hatuna sababu ya kutumia uchaguzi wa marudio bali tutumie proportional representation, kama mshindi wa jimbo fulani ni Chadema, akipoteza uwakilishi kwa sababu yoyote, the second winner anaapishwa, au chama chake kinateua mwingine!, kutakuwa hakuna haja ya chama fulani kuwanunu madiwani wa mwenzake na kuwabebesha Watanzania masikini wa kutupwa, mzigo wa gharama za kugharimia uchaguzi wa marudio!.

Uchaguzi sio tuu unatakiwa kuwa free and fair, bali unapaswa kuwa ni uchaguzi wa haki!, huu utaratibu wa sasa wa mwenye milioni 8 tuu ndio mwenye haki zote, ikiwemo kukiuka katiba na kuzuia mwenye milioni 6 asifanye siasa, huku mwenyewe akigeuza shughuli za kiserikali kupiga siasa kwa advantage ya chama chama chake!.

Kama tumekubaliana uchaguzi umekwisha, sasa ni wakati wa kupiga kazi tuu kulijenga taifa, then sote tuache siasa, tufanye kazi, lakini hii ya wengine siasa hapana, lakini sisi tunaendeleza siasa tena kwenye matukio ya kiserikali, tena mengine very serious hayahitaji siasa, it is not fair, and it is not good at all!.

Paskali
Mkuu umenena vyema na ndivyo inavyotakiwa iwe,lkn mm nilikuwa namanisha akutane na wenzake wa chadema kama vile watangulizi wenzake walivyokuwa wanafanya,nyerere aliwai kuwasamehe hata wapinzake wake wa kisiasa waliyotaka kumpindua


Mkuu hiyo hatua uliyoieleza ww ni hatua nzuri sana lkn tuanze hata moja kwanza ya kunywa juis
Mkuu Lendila, I understand your concern, lakini unauliza as if kuna sheria, taratibu au kanuni ya mwenyekiti mshinda kukutana na mwenyekiti mshindwa!.

Mfumo wetu wa uchaguzi, electoral system ni wa mtindo wa "the winner takes all, the loser standing small", hakuna utaratibu wowote wa viongozi hawa kukutana, Magufuli baada ya kushinda, ana haja gani kujipendekeza kwa Mbowe?. Na Chadema baada ya kushindwa, jee wana sababu yoyote ya kujikombakomba kwa CCM?.

Kiukweli kabisa, mfumo wetu wa uchaguzi hauko fair. Nchi yetu ina watu milioni 50. Mfumo wetu wa uchaguzi, hata wakijiandikisha watu milioni 30, halafu siku ya kupiga kura, wakajitokeza wapiga kura 3 tuu, kuwapigia kura wagombea wawili wa urais, mmoja akapata kura 2, mwingine akapata kura moja, yule mwenye kura 2 ndiye mshindi halali.
Vivyo hivyo kati ya hao milioni 30 waliojitokeza, na wote wakapiga kura, mmoja akapata kura milioni 15,000,001, na mwingine kura 14,999,000, wakapishana kwa kura moja, the winner takes all, aliyeshinda, ameshinda kura zote hata hizi za mshindwa na hakuna utaratibu wowote wa kuwa integrate washindwa!.

This is not fair. Demokrasia ya kweli inatumia fair integration, mshindi ili atawale mwenyewe, lazima ashinde kwa zaidi ya 51% majority, chama chochote kikipata less than 51% majority, then ni lazima viunde serikali kwa kushirikiana na chama kingine kitake kisitake.

Baada ya Magufuli kupata kura milioni 8 na Lowassa kupata kura milioni 6, ulikuwa ni ustaarabu, kwanza Lowassa kukubali kushindwa, hata kama lilikuwa ni bao la mkono!, kisha kumpongeza mshindi hata kwa shingo upande!, kisha Magufuli angelazimika kuwa integrate watu wa Lowassa, kura milioni 6 is not nothing, it is something, kura hizi ni nyingi kuliko zilizomuingiza Kikwete Madarakani.

Ili kudumisha umoja, upendo, amani na mshikamano, Tanzania lazima tubadili electral system yetu, lets do away with the simple majority formular, twende kwenye percentage, na kwa umasikini wetu, hatuna sababu ya kutumia uchaguzi wa marudio bali tutumie proportional representation, kama mshindi wa jimbo fulani ni Chadema, akipoteza uwakilishi kwa sababu yoyote, the second winner anaapishwa, au chama chake kinateua mwingine!, kutakuwa hakuna haja ya chama fulani kuwanunu madiwani wa mwenzake na kuwabebesha Watanzania masikini wa kutupwa, mzigo wa gharama za kugharimia uchaguzi wa marudio!.

Uchaguzi sio tuu unatakiwa kuwa free and fair, bali unapaswa kuwa ni uchaguzi wa haki!, huu utaratibu wa sasa wa mwenye milioni 8 tuu ndio mwenye haki zote, ikiwemo kukiuka katiba na kuzuia mwenye milioni 6 asifanye siasa, huku mwenyewe akigeuza shughuli za kiserikali kupiga siasa kwa advantage ya chama chama chake!.

Kama tumekubaliana uchaguzi umekwisha, sasa ni wakati wa kupiga kazi tuu kulijenga taifa, then sote tuache siasa, tufanye kazi, lakini hii ya wengine siasa hapana, lakini sisi tunaendeleza siasa tena kwenye matukio ya kiserikali, tena mengine very serious hayahitaji siasa, it is not fair, and it is not good at all!.

Paskali
 
Mkuu Lendila, I understand your concern, lakini unauliza as if kuna sheria, taratibu au kanuni ya mwenyekiti mshinda kukutana na mwenyekiti mshindwa!.

Mfumo wetu wa uchaguzi, electoral system ni wa mtindo wa "the winner takes all, the loser standing small", hakuna utaratibu wowote wa viongozi hawa kukutana, Magufuli baada ya kushinda, ana haja gani kujipendekeza kwa Mbowe?. Na Chadema baada ya kushindwa, jee wana sababu yoyote ya kujikombakomba kwa CCM?.

Kiukweli kabisa, mfumo wetu wa uchaguzi hauko fair. Nchi yetu ina watu milioni 50. Mfumo wetu wa uchaguzi, hata wakijiandikisha watu milioni 30, halafu siku ya kupiga kura, wakajitokeza wapiga kura 3 tuu, kuwapigia kura wagombea wawili wa urais, mmoja akapata kura 2, mwingine akapata kura moja, yule mwenye kura 2 ndiye mshindi halali.
Vivyo hivyo kati ya hao milioni 30 waliojitokeza, na wote wakapiga kura, mmoja akapata kura milioni 15,000,001, na mwingine kura 14,999,000, wakapishana kwa kura moja, the winner takes all, aliyeshinda, ameshinda kura zote hata hizi za mshindwa na hakuna utaratibu wowote wa kuwa integrate washindwa!.

This is not fair. Demokrasia ya kweli inatumia fair integration, mshindi ili atawale mwenyewe, lazima ashinde kwa zaidi ya 51% majority, chama chochote kikipata less than 51% majority, then ni lazima viunde serikali kwa kushirikiana na chama kingine kitake kisitake.

Baada ya Magufuli kupata kura milioni 8 na Lowassa kupata kura milioni 6, ulikuwa ni ustaarabu, kwanza Lowassa kukubali kushindwa, hata kama lilikuwa ni bao la mkono!, kisha kumpongeza mshindi hata kwa shingo upande!, kisha Magufuli angelazimika kuwa integrate watu wa Lowassa, kura milioni 6 is not nothing, it is something, kura hizi ni nyingi kuliko zilizomuingiza Kikwete Madarakani.

Ili kudumisha umoja, upendo, amani na mshikamano, Tanzania lazima tubadili electral system yetu, lets do away with the simple majority formular, twende kwenye percentage, na kwa umasikini wetu, hatuna sababu ya kutumia uchaguzi wa marudio bali tutumie proportional representation, kama mshindi wa jimbo fulani ni Chadema, akipoteza uwakilishi kwa sababu yoyote, the second winner anaapishwa, au chama chake kinateua mwingine!, kutakuwa hakuna haja ya chama fulani kuwanunu madiwani wa mwenzake na kuwabebesha Watanzania masikini wa kutupwa, mzigo wa gharama za kugharimia uchaguzi wa marudio!.

Uchaguzi sio tuu unatakiwa kuwa free and fair, bali unapaswa kuwa ni uchaguzi wa haki!, huu utaratibu wa sasa wa mwenye milioni 8 tuu ndio mwenye haki zote, ikiwemo kukiuka katiba na kuzuia mwenye milioni 6 asifanye siasa, huku mwenyewe akigeuza shughuli za kiserikali kupiga siasa kwa advantage ya chama chama chake!.

Kama tumekubaliana uchaguzi umekwisha, sasa ni wakati wa kupiga kazi tuu kulijenga taifa, then sote tuache siasa, tufanye kazi, lakini hii ya wengine siasa hapana, lakini sisi tunaendeleza siasa tena kwenye matukio ya kiserikali, tena mengine very serious hayahitaji siasa, it is not fair, and it is not good at all!.

Paskali
Mkuu umenena vyema na ndivyo inavyotakiwa iwe,lkn mm nilikuwa namanisha akutane na wenzake wa chadema kama vile watangulizi wenzake walivyokuwa wanafanya,nyerere aliwai kuwasamehe hata wapinzake wake wa kisiasa waliyotaka kumpindua


Mkuu hiyo hatua uliyoieleza ww ni hatua nzuri sana lkn tuanze hata moja kwanza ya kunywa juis
 
Ila mwenyekiti wa ccm alikutana na mwenyekiti wa cuf lipumba ccm na jaji mutungi
 
Baada ya Magufuli kupata kura milioni 8 na Lowassa kupata kura milioni 6, ulikuwa ni ustaarabu, kwanza Lowassa kukubali kushindwa, hata kama lilikuwa ni bao la mkono!, kisha kumpongeza mshindi hata kwa shingo upande!, kisha Magufuli angelazimika kuwa integrate watu wa Lowassa, kura milioni 6 is not nothing, it is something, kura hizi ni nyingi kuliko zilizomuingiza Kikwete Madarakani.

Ili kudumisha umoja, upendo, amani na mshikamano, Tanzania lazima tubadili electral system yetu, lets do away with the simple majority formular, twende kwenye percentage, na kwa umasikini wetu, hatuna sababu ya kutumia uchaguzi wa marudio bali tutumie proportional representation, kama mshindi wa jimbo fulani ni Chadema, akipoteza uwakilishi kwa sababu yoyote, the second winner anaapishwa, au chama chake kinateua mwingine!, kutakuwa hakuna haja YA CHAMA FULANI KUNUNUA madiwani wa mwenzake na kuwabebesha Watanzania masikini wa kutupwa, mzigo wa gharama za kugharimia uchaguzi wa marudio!.

Uchaguzi sio tuu unatakiwa kuwa free and fair, bali unapaswa kuwa ni uchaguzi wa haki!, huu utaratibu wa sasa wa mwenye milioni 8 tuu ndio mwenye haki zote, ikiwemo kukiuka katiba na kuzuia mwenye milioni 6 asifanye siasa, huku mwenyewe akigeuza shughuli za kiserikali kupiga siasa kwa advantage ya chama chama chake!.

Kama tumekubaliana uchaguzi umekwisha, sasa ni wakati wa kupiga kazi tuu kulijenga taifa, then sote tuache siasa, tufanye kazi, lakini hii ya wengine siasa hapana, lakini sisi tunaendeleza siasa tena kwenye matukio ya kiserikali, tena mengine very serious hayahitaji siasa, it is not fair, and it is not good at all!.

Paskali
 
Tabu ni kuwa anayeambiwa hana haya wala aibu!!! Yeye anajiona ndiyo kila kitu nchini!!!
 
Miaka 3 imeisha mwenyekiti wa ccm,na mwenyekiti wa chadema hawajawai kukaa meza moja na kunywa hata soda
Alfu bado kuna watu wanahubiri umoja amani na mshikamano kweli?

Ccm ilipata kura milion 8,na chadema ilipata kura milion 6 na ushee, kwa wenye akili hivi vyama vinawafuasi wengi,wapumbavu pekee wenye tabia ya kushupaa!!

Shingo ndio watakaona kama hivi vyama havina wafuasi wengi,swali kwa mwenyekiti wa ccm anawafuasi wengi?Na mwenyekiti wa chadema anawafuasi wengi na hawajawai kukaa meza moja unaweza kuhubiri umoja amani na upendo kweli?labda upendo wa mungu n,gombe lkn sio mungu wa yakobo,daudi,na Abraham.

Swali mbona viongozi wa dini ya kisilamu na viongozi wa dini ya kikirstu huwa wanakaa pamoja?Kama wao huwa wanakaa pamoja kwanini wasimshauri mbowe wa chadema,na magufuli wa ccm wakae pamoja ili waweze kuunganisha wafuasi wa vyama vyote kwa upendo?

Je ni kweli tuko wamoja baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015? Je hakuna vidonda vya uchaguzi?
Je umoja wetu kweli ni imara?

Kwanini viongozi wa dini wasitumie busara ya kuandaa hata kasherehe kadogo alfu wamwalike mbowe,na magufuli?ili uwe angalao ni mwanzo mzuri wa kujenga umoja?Kama wao wanavyokaaga na watu wa dini zote kwa vitendo?
Hahaha!, zama za kikwete kwaheli, muda wa ngosha huyu, pambana na hali yako
 
Back
Top Bottom