BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,020
- 8,480
Zimebaki siku 11 akabidhiwe ballon d'Or ya 7......
Wa kawaida sana...
Humpendi tu😀😀Wa kawaida sana...
Huyu mchezaji ni overrated.Wa kawaida sana...
Ana kipaji,mzuri,Ila Yuko programmed,anafanya vitu vilevile kwa miaka 18,gaucho hakutabirikaHuyu mchezaji ni overrated.
Mkuu ni ukweli kabisa, kwa wachezaji niliwaona wakicheza, hakuna mchezaji anayemzidi Dinyo, ana ofa vitu vingi sana kwenye soka.Ana kipaji,mzuri,Ila Yuko programmed,anafanya vitu vilevile kwa miaka 18,gaucho hakutabirika
Ana kipaji,mzuri,Ila Yuko programmed,anafanya vitu vilevile kwa miaka 18,gaucho hakutabirika
Gaucho kaongea kisiasa tu,so wa hovyo Kama watoto wa siku hizi wanaojisifia na kimponda mwingi,gaucho aliikuta barce unataka teremka daraja,akaipa ubingwa la liga,uefa,akaipa Brazil world cup,akatoa burudani Hadi mashabiki wa timu pinzani walifurahi na kimshangiliaGaucho mwenyewe amekiri Messi is the best more than him, wewe nani ubishe!! Wabongo bwana!
Messi amedumu kwa ubora wake more than 10 years ago, may be kuliko mchezaji yeyote kuwahi kutokea, ameisaidia timu kuchukuwa ubingwa mara nyingi, La liga, Copa del rey, super cup, fifa club world cup, uefa champions, Copa America, world cup u20 n.k.
Ebu niwekee achievements za gaucho, na vipi ameisaidia timu yake kuchukuwa ubingwa mara nyingi, na siyo kusifia tu vyenga mara kupiga watu kanzu wakati mashabiki OG wanahitaji vyenga, kujituma, na kuipatia timu ushindi kama La pulga anavyotupatia + ladha ya soka.
Diego Armando Maradona na Lionel Messi ndiyo wamenifanya niupende zaidi mchezo wa soka. For me, bado sijaona wa kufikia uwezo wa wawili hawa.
Una tatizo la Xenophobia wwGaucho mwenyewe amekiri Messi is the best more than him, wewe nani ubishe!! Wabongo bwana!
Messi amedumu kwa ubora wake more than 10 years ago, may be kuliko mchezaji yeyote kuwahi kutokea, ameisaidia timu kuchukuwa ubingwa mara nyingi, La liga, Copa del rey, super cup, fifa club world cup, uefa champions, Copa America, world cup u20 n.k.
Ebu niwekee achievements za gaucho, na vipi ameisaidia timu yake kuchukuwa ubingwa mara nyingi, na siyo kusifia tu vyenga mara kupiga watu kanzu wakati mashabiki OG wanahitaji vyenga, kujituma, na kuipatia timu ushindi kama La pulga anavyotupatia + ladha ya soka.
Diego Armando Maradona na Lionel Messi ndiyo wamenifanya niupende zaidi mchezo wa soka. For me, bado sijaona wa kufikia uwezo wa wawili hawa.
Hamuna hoja za kubishana na mimi....wewe unachoangalia ni kupiga watu kanzu 🤣 wabongo bwana mnachekesha, huwa nawaenjoy sana,Una tatizo la Xenophobia ww
Gaucho kaongea kisiasa tu,so wa hovyo Kama watoto wa siku hizi wanaojisifia na kimponda mwingi,gaucho aliikuta barce unataka teremka daraja,akaipa ubingwa la liga,uefa,akaipa Brazil world cup,akatoa burudani Hadi mashabiki wa timu pinzani walifurahi na kimshangilia
Kizazi Cha akina gaucho hakikupenda kujisifia,Messi mwenyewe alimkubali gaucho akawa anampeleka club,barce wakaona atamuharibu,wakamuuzaHahhaaa eti kisiasa, Uliongeanae akakuelezea kama ni siasa?
Kama washamsoma mbona wanashindwa kumkaba, kumzuia asifnye yake?Ana kipaji,mzuri,Ila Yuko programmed,anafanya vitu vilevile kwa miaka 18,gaucho hakutabirika
Kizazi Cha akina gaucho hakikupenda kujisifia,Messi mwenyewe alimkubali gaucho akawa anampeleka club,barce wakaona atamuharibu,wakamuuza
Nimesoma wapi Messi kajisifu!!?...hapa nani ana mahaba!!?..Messi hamfikii gaucho kwa uwezo wa mpira,usihesabu makombe,sababu mchezaji mmoja hadaki,hawi beki,hawi kiungo...Kama wengine wakiwa hovyo utachukuaje makombe!!?..utafungaje na hutengenezewi nafasi!!?...Messi na chenga zake koni(cones) kila siku amfikie gaucho!!!..kamtazame Tena gauchoKwahiyo Messi anajisifu? Hoja dhaifu sana hizi mkuu, hazina maana 🤣 Messi na gaucho inajulikana kitambo ni maswahiba, na uswahiba wao haimaanishi eti amemkubali gaucho kuwa ni bora zaidi yake.
Aise, sometimes mahaba yanauwa
Messi siyo level ya gaucho tambua hilo, Messi anashindanishwa na akina Maradona na Pele, na siyo kagaucho kako kaliedumu 3 or 4 years kakaflop.
Washindanishe gaucho na Zinedine zidane zizo ndiyo level moja, but siyo kwa Messi. Messi is another level kamanda
Hata kante na mbape Kuna nyakati hawakabikiKama washamsoma mbona wanashindwa kumkaba, kumzuia asifnye yake?
fanya ufanyavyo,km una ufahamu was mpira huwezi andaa list ukamwacha CR7. Lazima dunia ikushangae, na kutilia shaka utmamu was ubongo wakoRonaldo de Lima ...
Pele ..
Maradona
Ronaldinho
Messi
Zidane.
Eusebio..
Romario..
Roberto Carlos..
Hiyo ndo top ten yangu best ya all the time