Miaka 150 mpaka 200 ijayo, lugha zetu za asili nyingi zitakuwa zimetoweka

Wapuuzi sana hao watu. Mtu hajui kuongea lugha yake ya asili,hajui kuimba wala kucheza ngoma zao za asili. Wana bahati sana tuko kwenye mfungo ningewatukanilia mbali
Nalog off
 
Ukichunguza kwa makini utagundua moja ya athari ya watu kuhamia mijini kutoka vijijini ni vijana wengi kuzaliwa na kukulia mijini kias kwamba wengi hawapati fursa ya kujifunza lugha zao za asili kama ilivyo kwa wale wanaozaliwa vijijini waliko wazee

Wazazi wengi huku mijini wanaacha ule utamaduni wa kuwaongelesha kilugha watoto wao tangu utotoni na badala yake wakuwa wakijifunza kiswahili na wengine kingereza kwa wale wanaosoma shule hizi za kisasa.

Baadhi ya watoto hawa wengine hata kiswahili hawakijui bali wanajua zaidi kingereza kutokana na muda wote kuongea kingereza shuleni na hata wakirudi nyumbani ni ndani ya mageti huku wakiongea kingereza na wazazi wao.


Sasa hawa lugha zetu za asili(makabila) ndio kabisa hawataka wayajue kwani hata salamu ni mtihani.

Siku hizi hata ule utamaduni wa kuwapeleka watoto vijijini kwa babu na bibi zao haupo acha ule wa kuacha watoto kulelewa na babu/bibi, utamaduni uliosaidia watoto kujifunza lugha za makabila yao kwa kuongea kilugha na babu,bibi, wajomba, mashangazi na ndugu na jamaa wengine waliko vijijini.

Ukichunguza utagundua hali hii ilianza kujitokeza kidogo kidogo kwa wale waliozaliwa miaka ya 70 na kuendelea watu walipoanza kuishi katika nyumba (kota) za serikali, watu kuhamia na kujenga mijini kutoka vijijini.

Kwahiyo, katika kipindi hiki cha miaka 50, utagundua hali hii inazidi kuongezeka na hivyo ndani ya miaka 150 mpaka 200 ijayo, idadi ya watu wasiojua lugha zao za asili inaweza kuongezeka mara tatu mpaka mara nne ya hali ilivyo sasa na kuziweka lugha zetu za asili katika hatari ya kuanza kutoweka kabisa na tukabaki na kiswahili na kingereza.

Mwisho, kama ambayo leo hii tunalaumu wazungu kwa kudhoofisha mila na desturi zetu, ndivyo hivyo hivyo tutakuja kulaumu wazungu kwa kuua lugha za makabila yetu wakati chanzo ni sisi wenyewe.

Kuna uwezekano identify ya mtu mweusi itabaki kuwa ni rangi yake ya asili na pengine akili yake ikilinganishwa na akili za wenzetu.

Tatizo hili linakwenda na linaoongezeka mithili ya tatizo la climate change linaoongezeka huku jamii ikilipuuza kwasababu tu linaongezeka kidogo kidogo lakini madhara yake teyari yapo na sasa yanaanza kuwa dhahiri .


Muda utaongea.
Lengo la hizi lugha ni kuelewana.

Na wala sio lengo kuwa na lugha nyingi

Zamani ilikuwa ule mukngiliano baina ya watu wa sehemu fulani na fulani haukuwepo,hii ikapelekea kila kikundi kuwa na lugha yake ambayo itaelewana na watu wa hapo hapo kwao.

Watu walipotembea wakaingiliana ndipo zikazaliwa lugha ambazo wangeweza kuelewana kinyume na lugha zao za asili.

Sasa kama sasa hivi hizo lugha zina maana gani wakati tuna lugha ya kiswahili ambayo inakidhi vigezo vyote ?

Ikiwemo kuelewana baina ya watanzania kuliko lugha zingine na kurahisisha mawasiliano.

Leo mtu ukienda kariakoo ukaongea kimakonde kutaka msaada watakaokusaidia ni wamakonde tu)lakini ukiongea kiswahili watanzania wote wa pale watakuelewa.

Hivyo hata hizo lugha za asili zikipotea ni ishara ya maendeleo
 
I agree. Na tena inawezekana tukawa na lugha moja dunia nzima huko mbeleni...
Umefikiri vizuri mno!

Ninakubaliana na wewe kwamba huko mbeleni,kwa kusaidiwa na maendeleo na mapinduzi makubwa katika teknolojia ya habari,to be specific, kiingereza itakuwa lugha ya Dunia.

Najua kuna watu hawapendi kiingereza,lakini hiyo haibadilishi kitu! Lugha hii adhimu inazidi kukua na kusambaa kote duniani. Leo wachina wanalazimika kujibatiza majina ya kizungu ili waweze kuuza bidhaa zao duniani.
 
Umefikiri vizuri mno!

Ninakubaliana na wewe kwamba huko mbeleni,kwa kusaidiwa na maendeleo na mapinduzi makubwa katika teknolojia ya habari,to be specific, kiingereza itakuwa lugha ya Dunia.

Najua kuna watu hawapendi kiingereza,lakini hiyo haibadilishi kitu! Lugha hii adhimu inazidi kukua na kusambaa kote duniani. Leo wachina wanalazimika kujibatiza majina ya kizungu ili waweze kuuza bidhaa zao duniani.
Na pia lugha ya Alama itachukua hatamu sana yaani emojies
 
Bado sana. Nenda umasaini kaongee nao kiswahili na kizungu.
Hata hivyo mabadiliko ni lazima. Dunia inaenda kuwa kijiji, na watakaokuwepo watazungumza lugha chache sana.
 
Lugha ya kisukuma kufutika labda miaka elfu 4 ijayo.
Ukichunguza vizuri historia ya wasukuma,kabila hilo halijafikisha hata miaka 800!

Kwa kabila ambalo umri wake ni huo,unadhani kitu gani kitazuia lugha yao kupotea?

Utabiri wangu,miaka 100 mbele hakuna binadamu atakuwa anazungumza kisukuma!. Ukitaka kusikia kisukuma,wakati huo,utalazimika kwenda Bujora Sukuma Museum!
 
Ukichunguza kwa makini utagundua moja ya athari ya watu kuhamia mijini kutoka vijijini ni vijana wengi kuzaliwa na kukulia mijini kias kwamba wengi hawapati fursa ya kujifunza lugha zao za asili kama ilivyo kwa wale wanaozaliwa vijijini waliko wazee

Wazazi wengi huku mijini wanaacha ule utamaduni wa kuwaongelesha kilugha watoto wao tangu utotoni na badala yake wakuwa wakijifunza kiswahili na wengine kingereza kwa wale wanaosoma shule hizi za kisasa.

Baadhi ya watoto hawa wengine hata kiswahili hawakijui bali wanajua zaidi kingereza kutokana na muda wote kuongea kingereza shuleni na hata wakirudi nyumbani ni ndani ya mageti huku wakiongea kingereza na wazazi wao.


Sasa hawa lugha zetu za asili(makabila) ndio kabisa hawataka wayajue kwani hata salamu ni mtihani.

Siku hizi hata ule utamaduni wa kuwapeleka watoto vijijini kwa babu na bibi zao haupo acha ule wa kuacha watoto kulelewa na babu/bibi, utamaduni uliosaidia watoto kujifunza lugha za makabila yao kwa kuongea kilugha na babu,bibi, wajomba, mashangazi na ndugu na jamaa wengine waliko vijijini.

Ukichunguza utagundua hali hii ilianza kujitokeza kidogo kidogo kwa wale waliozaliwa miaka ya 70 na kuendelea watu walipoanza kuishi katika nyumba (kota) za serikali, watu kuhamia na kujenga mijini kutoka vijijini.

Kwahiyo, katika kipindi hiki cha miaka 50, utagundua hali hii inazidi kuongezeka na hivyo ndani ya miaka 150 mpaka 200 ijayo, idadi ya watu wasiojua lugha zao za asili inaweza kuongezeka mara tatu mpaka mara nne ya hali ilivyo sasa na kuziweka lugha zetu za asili katika hatari ya kuanza kutoweka kabisa na tukabaki na kiswahili na kingereza.

Mwisho, kama ambayo leo hii tunalaumu wazungu kwa kudhoofisha mila na desturi zetu, ndivyo hivyo hivyo tutakuja kulaumu wazungu kwa kuua lugha za makabila yetu wakati chanzo ni sisi wenyewe.

Kuna uwezekano identify ya mtu mweusi itabaki kuwa ni rangi yake ya asili na pengine akili yake ikilinganishwa na akili za wenzetu.

Tatizo hili linakwenda na linaoongezeka mithili ya tatizo la climate change linaoongezeka huku jamii ikilipuuza kwasababu tu linaongezeka kidogo kidogo lakini madhara yake teyari yapo na sasa yanaanza kuwa dhahiri .

Mimi kuongelea jambo hili sasa, kutapokelewa mithili ya watu walivyopokea tatizo la climate change katika karne ya 20 wakiona ni kitu ambacho hakipo.


Muda utaongea.
Nilifungua uzi huu hapa chini lakini nikaishia kushambuliwa. Wazungu wameona umuhimu na wanatunza lugha za mataifa na makabila mbalimbali.

Unaweza ku promote makabila bila ukabila
 
Ukichunguza vizuri historia ya wasukuma,kabila hilo halijafikisha hata miaka 800!

Kwa kabila ambalo umri wake ni huo,unadhani kitu gani kitazuia lugha yao kupotea?

Utabiri wangu,miaka 100 mbele hakuna binadamu atakuwa anazungumza kisukuma!. Ukitaka kusikia kisukuma,wakati huo,utalazimika kwenda Bujora Sukuma Museum!
Hujielewi kabisa
 
Ukichunguza kwa makini utagundua moja ya athari ya watu kuhamia mijini kutoka vijijini ni vijana wengi kuzaliwa na kukulia mijini kias kwamba wengi hawapati fursa ya kujifunza lugha zao za asili kama ilivyo kwa wale wanaozaliwa vijijini waliko wazee

Wazazi wengi huku mijini wanaacha ule utamaduni wa kuwaongelesha kilugha watoto wao tangu utotoni na badala yake wanakuwa wakijifunza kiswahili na wengine kingereza kwa wale wanaosoma shule hizi za kisasa.

Baadhi ya watoto hawa wengine hata kiswahili hawakijui bali wanajua zaidi kingereza kutokana na muda wote kuongea kingereza shuleni, na hata wakirudi nyumbani ni ndani ya mageti huku wakiongea kingereza na wazazi wao.


Sasa hawa watoto lugha zetu za asili(makabila) ndio kabisa hawataka wayajue kwani hata salamu tu ni mtihani.

Siku hizi hata ule utamaduni wa kuwapeleka watoto vijijini kwa babu na bibi zao haupo acha ule wa kuacha watoto kulelewa na babu/bibi, utamaduni uliosaidia watoto kujifunza lugha za makabila yao kwa kuongea kilugha na babu,bibi, wajomba, mashangazi na ndugu na jamaa wengine waliko vijijini.

Ukichunguza utagundua hali hii ilianza kujitokeza kidogo kidogo kwa wale waliozaliwa miaka ya 70 na kuendelea watu walipoanza kuishi katika nyumba (kota) za serikali, watu kuhamia na kujenga mijini kutoka vijijini.

Kwahiyo, katika kipindi hiki cha miaka 50, utagundua hali hii inazidi kuongezeka na hivyo ndani ya miaka 150 mpaka 200 ijayo, idadi ya watu wasiojua lugha zao za asili inaweza kuongezeka mara tatu mpaka mara nne ya hali ilivyo sasa na kuziweka lugha zetu za asili katika hatari ya kuanza kutoweka kabisa na tukabaki na kiswahili na kingereza.

Mwisho, kama ambayo leo hii tunalaumu wazungu kwa kudhoofisha mila na desturi zetu, ndivyo hivyo hivyo tutakuja kulaumu wazungu kwa kuua lugha za makabila yetu wakati chanzo ni sisi wenyewe.

Kuna uwezekano identify ya mtu mweusi itabaki kuwa ni rangi yake ya asili na pengine akili yake ikilinganishwa na akili za wenzetu.

Tatizo hili linakwenda na linaoongezeka mithili ya tatizo la climate change linaoongezeka huku jamii ikilipuuza kwasababu tu linaongezeka kidogo kidogo lakini madhara yake teyari yapo na sasa yanaanza kuwa dhahiri .

Mimi kuongelea jambo hili sasa, kutapokelewa mithili ya watu walivyopokea tatizo la climate change katika karne ya 20 wakiona ni kitu ambacho hakipo.


Muda utaongea.
Mimi nadhani hakuna haja ya kupigania vitu vingine...

Kama kitaishi kiache kiishi. Ikishibdikana poa. Kwani vingapi vilikuweko kitambo leo havipo..?
 
Ukichunguza kwa makini utagundua moja ya athari ya watu kuhamia mijini kutoka vijijini ni vijana wengi kuzaliwa na kukulia mijini kias kwamba wengi hawapati fursa ya kujifunza lugha zao za asili kama ilivyo kwa wale wanaozaliwa vijijini waliko wazee

Wazazi wengi huku mijini wanaacha ule utamaduni wa kuwaongelesha kilugha watoto wao tangu utotoni na badala yake wanakuwa wakijifunza kiswahili na wengine kingereza kwa wale wanaosoma shule hizi za kisasa.

Baadhi ya watoto hawa wengine hata kiswahili hawakijui bali wanajua zaidi kingereza kutokana na muda wote kuongea kingereza shuleni, na hata wakirudi nyumbani ni ndani ya mageti huku wakiongea kingereza na wazazi wao.


Sasa hawa watoto lugha zetu za asili(makabila) ndio kabisa hawataka wayajue kwani hata salamu tu ni mtihani.

Siku hizi hata ule utamaduni wa kuwapeleka watoto vijijini kwa babu na bibi zao haupo acha ule wa kuacha watoto kulelewa na babu/bibi, utamaduni uliosaidia watoto kujifunza lugha za makabila yao kwa kuongea kilugha na babu,bibi, wajomba, mashangazi na ndugu na jamaa wengine waliko vijijini.

Ukichunguza utagundua hali hii ilianza kujitokeza kidogo kidogo kwa wale waliozaliwa miaka ya 70 na kuendelea watu walipoanza kuishi katika nyumba (kota) za serikali, watu kuhamia na kujenga mijini kutoka vijijini.

Kwahiyo, katika kipindi hiki cha miaka 50, utagundua hali hii inazidi kuongezeka na hivyo ndani ya miaka 150 mpaka 200 ijayo, idadi ya watu wasiojua lugha zao za asili inaweza kuongezeka mara tatu mpaka mara nne ya hali ilivyo sasa na kuziweka lugha zetu za asili katika hatari ya kuanza kutoweka kabisa na tukabaki na kiswahili na kingereza.

Mwisho, kama ambayo leo hii tunalaumu wazungu kwa kudhoofisha mila na desturi zetu, ndivyo hivyo hivyo tutakuja kulaumu wazungu kwa kuua lugha za makabila yetu wakati chanzo ni sisi wenyewe.

Kuna uwezekano identify ya mtu mweusi itabaki kuwa ni rangi yake ya asili na pengine akili yake ikilinganishwa na akili za wenzetu.

Tatizo hili linakwenda na linaoongezeka mithili ya tatizo la climate change linaoongezeka huku jamii ikilipuuza kwasababu tu linaongezeka kidogo kidogo lakini madhara yake teyari yapo na sasa yanaanza kuwa dhahiri .

Mimi kuongelea jambo hili sasa, kutapokelewa mithili ya watu walivyopokea tatizo la climate change katika karne ya 20 wakiona ni kitu ambacho hakipo.


Muda utaongea.
Watoto wa Lissu hawajui kinyiramba kama ambavyo watoto wa Mbowe wasivyojua kichaga. Uko sahihi kamanda
 
Mimi nadhani hakuna haja ya kupigania vitu vingine...

Kama kitaishi kiache kiishi. Ikishibdikana poa. Kwani vingapi vilikuweko kitambo leo havipo..?
Mimi nimeamua kulisema hili mapema ili lika kutokea, tusianze kulaumu wasiohusika na pia lisitushangaze.

Jambo kama hili sio rahisi kulifikiria wala kuli-note na huu ndio udhaifu wa sisi binadamu na hata unapoliongea, wengi hawakuelewi kabisa.Hivyo the best way ni kuliweka katika maandishi(vitabu) kwa rejea ya vizazi vijavyo.
 
Ukichunguza kwa makini utagundua moja ya athari ya watu kuhamia mijini kutoka vijijini ni vijana wengi kuzaliwa na kukulia mijini kias kwamba wengi hawapati fursa ya kujifunza lugha zao za asili kama ilivyo kwa wale wanaozaliwa vijijini waliko wazee

Wazazi wengi huku mijini wanaacha ule utamaduni wa kuwaongelesha kilugha watoto wao tangu utotoni na badala yake wanakuwa wakijifunza kiswahili na wengine kingereza kwa wale wanaosoma shule hizi za kisasa.

Baadhi ya watoto hawa wengine hata kiswahili hawakijui bali wanajua zaidi kingereza kutokana na muda wote kuongea kingereza shuleni, na hata wakirudi nyumbani ni ndani ya mageti huku wakiongea kingereza na wazazi wao.


Sasa hawa watoto lugha zetu za asili(makabila) ndio kabisa hawataka wayajue kwani hata salamu tu ni mtihani.

Siku hizi hata ule utamaduni wa kuwapeleka watoto vijijini kwa babu na bibi zao haupo acha ule wa kuacha watoto kulelewa na babu/bibi, utamaduni uliosaidia watoto kujifunza lugha za makabila yao kwa kuongea kilugha na babu,bibi, wajomba, mashangazi na ndugu na jamaa wengine waliko vijijini.

Ukichunguza utagundua hali hii ilianza kujitokeza kidogo kidogo kwa wale waliozaliwa miaka ya 70 na kuendelea watu walipoanza kuishi katika nyumba (kota) za serikali, watu kuhamia na kujenga mijini kutoka vijijini.

Kwahiyo, katika kipindi hiki cha miaka 50, utagundua hali hii inazidi kuongezeka na hivyo ndani ya miaka 150 mpaka 200 ijayo, idadi ya watu wasiojua lugha zao za asili inaweza kuongezeka mara tatu mpaka mara nne ya hali ilivyo sasa na kuziweka lugha zetu za asili katika hatari ya kuanza kutoweka kabisa na tukabaki na kiswahili na kingereza.

Mwisho, kama ambayo leo hii tunalaumu wazungu kwa kudhoofisha mila na desturi zetu, ndivyo hivyo hivyo tutakuja kulaumu wazungu kwa kuua lugha za makabila yetu wakati chanzo ni sisi wenyewe.

Kuna uwezekano identify ya mtu mweusi itabaki kuwa ni rangi yake ya asili na pengine akili yake ikilinganishwa na akili za wenzetu.

Tatizo hili linakwenda na linaoongezeka mithili ya tatizo la climate change linaoongezeka huku jamii ikilipuuza kwasababu tu linaongezeka kidogo kidogo lakini ma

Ukichunguza kwa makini utagundua moja ya athari ya watu kuhamia mijini kutoka vijijini ni vijana wengi kuzaliwa na kukulia mijini kias kwamba wengi hawapati fursa ya kujifunza lugha zao za asili kama ilivyo kwa wale wanaozaliwa vijijini waliko wazee

Wazazi wengi huku mijini wanaacha ule utamaduni wa kuwaongelesha kilugha watoto wao tangu utotoni na badala yake wanakuwa wakijifunza kiswahili na wengine kingereza kwa wale wanaosoma shule hizi za kisasa.

Baadhi ya watoto hawa wengine hata kiswahili hawakijui bali wanajua zaidi kingereza kutokana na muda wote kuongea kingereza shuleni, na hata wakirudi nyumbani ni ndani ya mageti huku wakiongea kingereza na wazazi wao.

Sasa hawa watoto lugha zetu za asili(makabila) ndio kabisa hawataka wayajue kwani hata salamu tu ni mtihani.

Siku hizi hata ule utamaduni wa kuwapeleka watoto vijijini kwa babu na bibi zao haupo acha ule wa kuacha watoto kulelewa na babu/bibi, utamaduni uliosaidia watoto kujifunza lugha za makabila yao kwa kuongea kilugha na babu,bibi, wajomba, mashangazi na ndugu na jamaa wengine waliko vijijini.

Ukichunguza utagundua hali hii ilianza kujitokeza kidogo kidogo kwa wale waliozaliwa miaka ya 70 na kuendelea watu walipoanza kuishi katika nyumba (kota) za serikali, watu kuhamia na kujenga mijini kutoka vijijini.

Kwahiyo, katika kipindi hiki cha miaka 50, utagundua hali hii inazidi kuongezeka na hivyo ndani ya miaka 150 mpaka 200 ijayo, idadi ya watu wasiojua lugha zao za asili inaweza kuongezeka mara tatu mpaka mara nne ya hali ilivyo sasa na kuziweka lugha zetu za asili katika hatari ya kuanza kutoweka kabisa na tukabaki na kiswahili na kingereza.

Mwisho, kama ambayo leo hii tunalaumu wazungu kwa kudhoofisha mila na desturi zetu, ndivyo hivyo hivyo tutakuja kulaumu wazungu kwa kuua lugha za makabila yetu wakati chanzo ni sisi wenyewe.

Kuna uwezekano identify ya mtu mweusi itabaki kuwa ni rangi yake ya asili na pengine akili yake ikilinganishwa na akili za wenzetu.

Tatizo hili linakwenda na linaoongezeka mithili ya tatizo la climate change linaoongezeka huku jamii ikilipuuza kwasababu tu linaongezeka kidogo kidogo lakini madhara yake teyari yapo na sasa yanaanza kuwa dhahiri .

Mimi kuongelea jambo hili sasa, kutapokelewa mithili ya watu walivyopokea tatizo la climate change katika karne ya 20 wakiona ni kitu ambacho hakipo.

Muda utaongea.
Hizo lugha zitoweke tu tubaki na lugha moja ya Taifa. Nafikiri itasaidia kupunguza majivuno, dharau, chuki nk. Hivi hapa JF kama kila mtu angekuwa anaweka bandiko kwa lugha yake ya asili ingekuwaje?
 
ni ushamba tu wa watanzania nenda makabila ya kinigeria kama igbo,yoruba,hausa njoo kenya kama kikuyu,luo,kalenjin n.k nenda south africa kama zulu,khoxa n.k daima mtoto lazima aijue asili yake kwa vitendo ikiwa ni pamoja na kuiongea lugha yake ya asili fluently bila kigugumizi chochote na amesoma kweli kweli

hapa tanzania tu hasa kwa makabila ambayo hayajielewi ndio yatapoteza identity pakubwa sana pia baadhi nchi zisizojielewa kweli zitapoteza identity na ndio itakuwa mwanzo wa utumwa wa kiakili na identity nyingine kama kizungu kuziona ndio bora
Nakubaliana nawe kuhusu Utumwa wa fikra kiasi cha kutukuza ugeni. Lakini kwa Tz si suala la ushamba, bali ni utaifa. Tumetumia nguvu na muda mkubwa kutengeneza taifa moja. Sisi ni taifa. Hao wanaijeria hawana taifa, ni mkusanyiko wa nchi nyingi ndani ya mpaka mmoja.
 
Back
Top Bottom