sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 18,500
- 41,739
Usiwaaite wanaume mafurushi tafadhari shemejiMafurushi ndio yana shida, sio yeye.
Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
Usiwaaite wanaume mafurushi tafadhari shemejiMafurushi ndio yana shida, sio yeye.
Sijawaita wanaume mafurushi, nawaita wale ambao ni mafurushi. Hiyo haiwahusu wanaume wote ni wale tu ambao ni mafurushi.
Wala sishangai...kazi iendeleeHongera ulibahatika kupata mke mwema. Wala usijisifu kwa hilo. Tuliovutiwa na sura tukaoa tunajutia japo mm nna miaka 10 kwenye ndoa nimechepuka mara nyingi kuliko kipindi sijaoa. And sijutii na ninaona ni haki yangu. Nina mwaka na miezi kadhaa sijaona lango la shrmeji yenu, hatujagombana and yupo confotable wala haulizi
Ama kweli mafuniko na limbwata bado vipo!!
Hongera ulibahatika kupata mke mwema. Wala usijisifu kwa hilo. Tuliovutiwa na sura tukaoa tunajutia japo mm nna miaka 10 kwenye ndoa nimechepuka mara nyingi kuliko kipindi sijaoa. And sijutii na ninaona ni haki yangu. Nina mwaka na miezi kadhaa sijaona lango la shrmeji yenu, hatujagombana and yupo confotable wala haulizi
Sio njia rahisi hasa kwa mwanaume rijali , kuna wanawake wengi nimeksona nao, kuna mmoja amewah kunivulia bikini ofisini nikajifanya nimezimia , huyo mpaka leo hatusalimiani ikawa ugomvi , sio njia rahisi kutunza agano la ndoa
Na yy anachepuka kule...😀😀!Ana shida huyo we chepuka tu
una mzuga kwakuwa una jua yuko fb.Leo nimefikisha miaka 15 ya ndoa yangu mimi na mke wangu safari ilikuwa ya raha sana, ingawa mabonde pia yalikuepo.
Sijawahi kuchepuka nje ya ndoa, hakika kuna kipindi nilipata vikwazo vya wakwe maneno mengi yasiyoisha lakini nikawapuuzia.
Dawa ya mjinga mpuuze tu, sasa katika miaka 45 ya umri wangu nakiri ndoa ni tamu, nakupenda honey wangu Frontier Lungwicha, nakupenda sana bebe.
Ofisi yangu nimejiajiri na mimi ndio mkurugenzi wa kampuni, najua naongea niniIla jamani tuseme ukweli wanawake tunatwishwa sana mizigo .hiv kuna mwanamke tjmamu anayeweza vua kyupi ofisin iasbh na baridi na kichwan mzima kbs? .ungesema sehem za starehe sawa..ila ofisini?? Haya bwana
Dah...hy bwanaOfisi yangu nimejiajiri na mimi ndio mkurugenzi wa kampuni, najua naongea nini
Vyupi vina utamu wake mkuu.Inamaana hamuamini au
Mbona wasio na chura tumeoleka tu mkuuMkeo ana chura?
Nimeuliza tu mkuu..! Na ww mumeo hajawahi kukusaliti?Mbona wasio na chura tumeoleka tu
😀😀 sijaolewa bado mkuu nasubiria siku yangu na mm ifikeNimeuliza tu mkuu..! Na ww mumeo hajawahi kukusaliti?
Sema umeshasema ww hauna chura... Ningekunusuru mkuu! Au tutakupiga mapochopocho hadi ukidhi vigezo😀😀 sijaolewa bado mkuu nasubiria siku yangu na mm ifike
Mwaka na zaidi??Hongera ulibahatika kupata mke mwema. Wala usijisifu kwa hilo. Tuliovutiwa na sura tukaoa tunajutia japo mm nna miaka 10 kwenye ndoa nimechepuka mara nyingi kuliko kipindi sijaoa. And sijutii na ninaona ni haki yangu. Nina mwaka na miezi kadhaa sijaona lango la shrmeji yenu, hatujagombana and yupo confotable wala haulizi
Chura inakusaidia nn mkuu?hahahaa..ushindwe...legea shetwainSema umeshasema ww hauna chura... Ningekunusuru mkuu! Au tutakupiga mapochopocho hadi ukidhi vigezo
hahaha mkuuu upo sahihiSidanganyi mkuu, mie ni mwanaume. Utamu (raha) ya bao unaamua wewe mkuu japo na mwanamke anaweza ongezea kidogo.. mie sio junior kwenye hayo mambo 😀😀