Miaka 10 ya uongozi wa Rais Benjamini William Mkapa

lyinga

JF-Expert Member
Nov 18, 2013
2,496
1,035
Ndugu zangu naikumbuka sana miaka aliyoongoza rais Mh Benjamini Mkapa, maji, umeme, nauli, mchele , unga, sukari, kodi za nyumba alhamdullah walalahoi tuliona unafuu wa maisha mwenyezi Mungu ampe maisha marefu Mh Mkapa japo atakuwa na machache ambayo si mazuri yaliyofanywa chini ya uongozi wake binadamu hatujakamilika kwa yote.

Swali naomba kuuliza nini kilichomshinda Mh Rais wa awamu hii ya nne kututoa kwenye ahueni ya maisha mpaka kututupa huku kwenye pori lililojaa ndezi bila hata viatu?

Maisha Tanzania yamekuwa ya kuvizia kama chui na swala.

Hembu tuulizane wandugu ni nini kilichowashinda hawa viongozi wa sasa kutuacha wananchi tukitaabika namna hii au ndio tunaishi nchi ya kusadikika?
 
jk ni mtembezi,mtegemea misaada,msanii,hayupo serious na anachokitamka,anacheka holelaholela!kwa mambo hayo unategemea upate maendeleo yoyote,,?ben alijua anaongea nni na alkuwa anachukua hatua!tumsubiri el aje anyooshe nchi
 
Mkapa alifanya mema sana kwa nchi baada ya kuuza rasilimali za nchi na zingine kujiuzia na kuacha nchi ikiwa haina mali ila wenye mali ni wawekezaji kama yeye. JK no bora Mara elf ben ambae hata kwao hakujenga na barabara ya dar to mtwara inasubiri hisani ya jk
 
jk ni mtembezi,mtegemea misaada,msanii,hayupo serious na anachokitamka,anacheka holelaholela!kwa mambo hayo unategemea upate maendeleo yoyote,,?ben alijua anaongea nni na alkuwa anachukua hatua!tumsubiri el aje anyooshe nchi

Hakika Ben alikuwa jembe sio huyu handsome boy bishoo.
Tuache ushsbiki, meshamwona EL physically hivi karibuni? He is sick (nadhani ni Parkinson disease)
1. Anatetemeka mikono hata kutembea anaweweseka kiaina
2. Anasahausahau mambo, yuko very slow/dull
Hafai kupewa nchi, tutajuta!
 
Mkapa alifanya mema sana kwa nchi baada ya kuuza rasilimali za nchi na zingine kujiuzia na kuacha nchi ikiwa haina mali ila wenye mali ni wawekezaji kama yeye. JK no bora Mara elf ben ambae hata kwao hakujenga na barabara ya dar to mtwara inasubiri hisani ya jk

Duuu Kumlinganisha Ben na jk ni kama mbingu na ardhi mkapa alikulikuwa kichwa bwana potelea makande huwezi mlinganisha na wauza sura.
 
He was the best President ever,Yap he had some weaknesses as many human-beings do but he probably outshines Kikwete in terms of leadership qualities!
 
wengine tulifunga maduka kipindi cha mkapa, kama wewe ulifaidika au ulikuwa mdau wake wakati akijichukulia kiwira au kujianzishia benki yake ya anaben akiwa pale ikulu hiyo ni kivyako. kwani wewe sista umetoka mkoa gani? maana nijuavyo mpaka kule rombo/hai mmejengewa barabara za lami na Jk au wewe unatumia ungo? hivi umesoma chuo gani vile, nisishangae wewe ni graduate wa udom. utafikiri unakichwa juu ya shingo kumbe unakifuu cha nazi tu.

Ndugu zangu naikumbuka sana miaka aliyoongoza rais Mh Benjamini Mkapa, maji, umeme, nauli, mchele , unga, sukari, kodi za nyumba alhamdullah walalahoi tuliona unafuu wa maisha mwenyezi Mungu ampe maisha marefu Mh Mkapa japo atakuwa na machache ambayo si mazuri yaliyofanywa chini ya uongozi wake binadamu hatujakamilika kwa yote.

Swali naomba kuuliza nini kilichomshinda Mh Rais wa awamu hii ya nne kututoa kwenye ahueni ya maisha mpaka kututupa huku kwenye pori lililojaa ndezi bila hata viatu?

Maisha Tanzania yamekuwa ya kuvizia kama chui na swala.

Hembu tuulizane wandugu ni nini kilichowashinda hawa viongozi wa sasa kutuacha wananchi tukitaabika namna hii au ndio tunaishi nchi ya kusadikika?
 
Tatizo la wasiofwatilia mambo wanakuwa waropokaji ,hivi mnajuwa barabara zinazojengwa unajuwa ulikuwa ni mpango ulioachwa na JEMBE Benjamin mkapa,baada ya kukaa na kuita wasomi wa nchii hii akawaomba wajifungie waangalie ni kitu gani ambacho kitaisaidia Nchi kwa miaka zaidi ya Mia ijayo wakaja na mkakati ushauri huo Pamoja na mikakati ya upatikanaji wa Fedha za ujenzi na program zote zikawa zimeandikwa akakabiziwa ,hii inamaana huwezi kuwa acha wasomi ukakaa mwenyewe ukadhani utaweza ,jambo linalo mshinda huyu ndio Hilo ,hajawahii kaa na wasomi na mawazo Yao hata hayajali na hayataki ,ndio tulipo fika juweni tutamkumbuka huyu kutokana na kujaribu kuwatenga watanzania na shule alizozileta na hakuna cha kumkumbukia barabara ni mpango mkakati wa mkapa tusiwadanganye wananchi
 
Kila Mtu anamapungufu yake ,kosa alilolifanya ni ubinafsishaji ,ambalo kwa muda ule Dunia nzima ulikuwa hukwepi kuingia humo Maana yake ,ukikwepa kuingia utajitowa kwenye soko la Dunia ,na alisema nikosa lililofanyika akasema Anatamani apewe miaka mitatu arudishe Nchi inapotakiwa jiulize alimaanisha nini hApo ?
 
Ndugu zangu naikumbuka sana miaka aliyoongoza rais Mh Benjamini Mkapa, maji, umeme, nauli, mchele , unga, sukari, kodi za nyumba alhamdullah walalahoi tuliona unafuu wa maisha mwenyezi Mungu ampe maisha marefu Mh Mkapa japo atakuwa na machache ambayo si mazuri yaliyofanywa chini ya uongozi wake binadamu hatujakamilika kwa yote.

Swali naomba kuuliza nini kilichomshinda Mh Rais wa awamu hii ya nne kututoa kwenye ahueni ya maisha mpaka kututupa huku kwenye pori lililojaa ndezi bila hata viatu?

Maisha Tanzania yamekuwa ya kuvizia kama chui na swala.

Hembu tuulizane wandugu ni nini kilichowashinda hawa viongozi wa sasa kutuacha wananchi tukitaabika namna hii au ndio tunaishi nchi ya kusadikika?

Rekodi ya mjomba Ben bado iko juu jk haja ifikia hata robo,namkubaki sana BWM alikua serious haku endekeza ublaza men na kuuza sura kama jk.....HEKO ANKO CHE BEN.
 
Ndugu zangu naikumbuka sana miaka aliyoongoza rais Mh Benjamini Mkapa, maji, umeme, nauli, mchele , unga, sukari, kodi za nyumba alhamdullah walalahoi tuliona unafuu wa maisha mwenyezi Mungu ampe maisha marefu Mh Mkapa japo atakuwa na machache ambayo si mazuri yaliyofanywa chini ya uongozi wake binadamu hatujakamilika kwa yote.

Swali naomba kuuliza nini kilichomshinda Mh Rais wa awamu hii ya nne kututoa kwenye ahueni ya maisha mpaka kututupa huku kwenye pori lililojaa ndezi bila hata viatu?

Maisha Tanzania yamekuwa ya kuvizia kama chui na swala.

Hembu tuulizane wandugu ni nini kilichowashinda hawa viongozi wa sasa kutuacha wananchi tukitaabika namna hii au ndio tunaishi nchi ya kusadikika?

Hakuna Rais kama mkapa na yaweza asitokee kwa miaka 50 ijayo.
 
kimsingi,mimi namkumbuka sana,comrade,mkapa,kwa mengi kwa kweli mnyonge mnyongeni,akiyake mpeni,mkapa alikua kiongozi wa kujali wananchi wake,katika uongozi wake aliangalia sana vitu vinavyomgusa mwananchi,kama vile vyakula sekta ya ujenzi yaani malighafi,wakati wa mkapa mfuko 1 wa sementi ulikua sh 3500 bati1 sh 5000 tuje vyakula mchele kg1 sh 350 sukari kg1 600 maarage kg 300 petrol lt1 280 diesel lt1 240 maisha yalikua bwerere mimi nilikua nikiwa na 2000 nyumbani ni mboga 7 hakika mkapa atakumbukwa sana,
 
kimsingi,mimi namkumbuka sana,comrade,mkapa,kwa mengi kwa kweli mnyonge mnyongeni,akiyake mpeni,mkapa alikua kiongozi wa kujali wananchi wake,katika uongozi wake aliangalia sana vitu vinavyomgusa mwananchi,kama vile vyakula sekta ya ujenzi yaani malighafi,wakati wa mkapa mfuko 1 wa sementi ulikua sh 3500 bati1 sh 5000 tuje vyakula mchele kg1 sh 350 sukari kg1 600 maarage kg 300 petrol lt1 280 diesel lt1 240 maisha yalikua bwerere mimi nilikua nikiwa na 2000 nyumbani ni mboga 7 hakika mkapa atakumbukwa sana,

Mkapa hakuingia ikulu kwa kupitia mtandao wa mafisadi alijua anaenda kufanya nini,watz mnaona kabisa Kikwete kazungukwa na watu hatari akina Rostam,EL,na wengine mlitegemea nini.na washauri wapinzani watoe wagombea wenye uwezo wakuweza kuwangalia wananchi,leo ubungo hadi posta nauli sh.2000.ametukatisha tamaa Kikwete shusha kodi ya petrol ,dizel na mafuta ya kula japo tukupende hapa mwishoni
 
Mkapa ni msomi na mchambuzi wa hoja hawezi danganywa na waziri au mkurugenzi au chombo cha fedha cha kimataifa
 
kimsingi,mimi namkumbuka sana,comrade,mkapa,kwa mengi kwa kweli mnyonge mnyongeni,akiyake mpeni,mkapa alikua kiongozi wa kujali wananchi wake,katika uongozi wake aliangalia sana vitu vinavyomgusa mwananchi,kama vile vyakula sekta ya ujenzi yaani malighafi,wakati wa mkapa mfuko 1 wa sementi ulikua sh 3500 bati1 sh 5000 tuje vyakula mchele kg1 sh 350 sukari kg1 600 maarage kg 300 petrol lt1 280 diesel lt1 240 maisha yalikua bwerere mimi nilikua nikiwa na 2000 nyumbani ni mboga 7 hakika mkapa atakumbukwa sana,

Yaani we acha tu!!Hela ilikuwa na thamani aliyetuingiza kwenye haya majanga kweli alaaniwe.watu wanazungumza barabara ambazo asilimia kubwa zimejengwa kwa mikopo na chini ya viwango.Hivi ukiwa na njaa utakula barabara licha ya kwamba ni muhimu kwa maendeleo?
 
Rais alipokuwa Mkapa,.Hatukuwa na mgogoro na Rwanda wala Malawi,hakukuwa na udini,alikuwa serious kwa jambo akisema kitu inatekelezeka,ila huyo wa sasa anaongoza nchi kama kiranja wa zamu
 
wengine tulifunga maduka kipindi cha mkapa, kama wewe ulifaidika au ulikuwa mdau wake wakati akijichukulia kiwira au kujianzishia benki yake ya anaben akiwa pale ikulu hiyo ni kivyako. kwani wewe sista umetoka mkoa gani? maana nijuavyo mpaka kule rombo/hai mmejengewa barabara za lami na Jk au wewe unatumia ungo? hivi umesoma chuo gani vile, nisishangae wewe ni graduate wa udom. utafikiri unakichwa juu ya shingo kumbe unakifuu cha nazi tu.

Ulifunga duka kwa sababu ya kutegemea biashara za kihuni na wizi wizi tu(wenyewe mnaita dili).Hakuna kipya alicholeta JK katika barabara zaidi ya kutekeleza mipango ya BWM ambaya kwa mara ya kwanza alisababisha safari za mabasi kutoka Mwanza kwenda Dar zisipitie Nairobi tena!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kwa mara ya kwanza katika taifa la tanzania wakulima wanadai viwanda, wanajifunza ujasiriamali, wanadai ubora wa miundombinu (yote kwa sababu, kwa mara ya kwanza wengi kwa pamoja wameweza kujikwimu),

serikari zamitaa zimekuwa bunifu wengine wanamiradi yao na mambo luluki.

Hakuna mgodi ulioporwa wala ufisadi mpya uliotkea yanayoendelea ni yale yale tu aliyoyakuta na kushindwa kuyamaliza kwa mvutano wa nguvu za ndani yao.

Uhuru wa habari na ushindani wa siasa za kujuza jamii.

Kiketwe kaanzisha safari ya maendeleo ya kiuchumi na kupanua fikra za jamii, despite waharibifu wengi wao wakiwa watendaji wa wizarani na baraza tia maji maji aliloliweka in almost a decade, if only angechagua watu wenye maadili na creative kidogo, angebana mkanda wa matumizi ya mapato leo tungekuwa tunampa sifa nyengine sana.

Mkapa si nusu ya JK.
 
Back
Top Bottom