Miaka 10 ya Kikwete ilipotokea nikasikia hotuba yake, na miezi kadhaa ya Dr. Magufuli nlipomsikiliza

Sodoku

JF-Expert Member
Feb 3, 2016
1,095
2,429
Miaka 10 ya Kikwete moja ya vitu nlivyokuwa nakwepa visitokee kwangu kabisa ilikuwa isije ikatokea nikasikia hotuba yake nilijitahidi sana maana kiukweli hotuba zake zilikuwa hazina maana kwangu kabisa na siku moja ilitokea nikiwa natoka chuo nimepanda dala daladala humo wakaweka hotuba ya ndugu Kikwete nilipata kichefu chefu na tumbo la kuhara ghafla.

Nikawaza watu wanawezaje? Mi nilishindwa, nilishindwa kabisa kutokana na hali ilivyokuwa nikaomba nishushwe kituo kinachofuata. Nikashuka nikaenda kutapika nakumbuka ilikuwa ni karibu na hall 4 na pia nikaenda msalani. Nilijuta sana kwa hali ile nikiwa mwaka wa tatu nikakuta msichana mmoja ambaye nilikuwa nampenda akiwa amekaa bwenini anasikiliza hotuba ya Kikwete nilimwambia yule dada ata disco maskini.

Kweli mitihani iliyokuja aka disco alinipigia siku hiyo akinilaani sana na bahati mbaya zaidi nilikuwa nimeshaachana naye kwa kipindi hicho baada ya kuona ni msichana ambaye hana uelewa kabisa. Yule dada alikuwa jinga kabisa, nilishangaa sana mwanachuo kabisa anasikiliza hotuba kana kwamba hajui kuna UE? Ali disco akarudi kwao sijui nini kiliendelea.

Mungu saidia lile balaa likaisha tulilokuwa nalo miaka ile siku hazigandi ati walijisemea waswahili na hata zikiganda kidogo tu zinayayuka mwaka 2015 akachaguliwa mtukufu rais mh. Dr nikasema ngoja nisikilize hotuba zake. nikajikuta napata maumivu ya kichwa nilikuwa kama nachanganyikiwa hivi.

Naposikiliza maneno yake maana sielewi wakati mwingine kama yanavyosemwa ndivyo yalivyokusudiwa nikawa napotaka kusikiliza nakuwa na dawa za maumivu kichwa kinauma, kichwa kinauma lakini angalau namsikiliza hivyo hivyo kuwa humo ndani nitachagua yanayonifaa mengine niwaachie yanayowafaa mwenda bure si sawa na mkaa bure siku moja nikawaza kama ndo hivi wanavyosema hawa kuwa hivi anavyosema huyu si vile ilivyotakiwa kusemwa naye basi nimshauri nini?

Nikawaza labda awe anajinyamazia tu, kama leo akienda kufungua jambo flani si anatakiwa akate "utepe" aombe mkasi apige mkasi halafu apunge mikono tu huku akitabasamu au kama ana maneno awe anayasema kimoyomoyo ajiondokee zake akatulie home, aangalie tv au kucheza game, kama ni mpenzi wa game najiuliza lini nitatamani kusikiliza hotuba ya mh. wangu nikiwa na juice na pop corn? Ni lini? Badala ya miaka ile kuwa na mifuko ya kutapikia na miaka hii kuwa na dawa za kupunguza maumivu?

Nikakumbuka lile tangazo "maumivu ya kichwa huanza pole pole, na baadaye unayasikia maumivu makali kupita kiasi, maumivu si mzaha na matibabu yake ni lazima yawe ya haraka na yenye kufaa zaidi. Ndiyo maana wakavumbua halafu wanamalizia xxx maumivu yakizidi, kamwone daktari.
 
miaka 10 ya kikwete moja ya vitu nlivyokuwa nakwepa visitokee kwangu kabisa ilikuwa isije ikatokea nikasikia hotuba yake.nlijitahidi sana maana kiukweli hotuba zake zilikuwa hazina maana kwangu. kabisa. na siku moja ilitokea nikiwa natoka chuo nimepanda dala daladala humo wakaweka hotuba ya ndugu kikwete. nlipata kichefu chefu na tumbo la kuhara ghafla. nikawaza watu wanawezaje? mi nlishindwa , nlishindwa kabisa kutokana na hali ilivyokuwa nikaomba nishushwe kituo kinachofuata. nikashuka nikaenda kutapika nakumbuka ilikuwa ni karibu na hall 4 na pia nikaenda msalani. nilijuta sana kwa hali ile.

nikiwa mwaka wa tatu nikakuta msichana mmoja ambaye nlikuwa nampenda akiwa amekaa bwenini anasikiliza hotuba ya kikwete. nlimwambia yule dada ata disco. maskini..kweli mitihani iliyokuja aka disco. alinipigia siku hiyo akinilaani sana na bahati mbaya zaidi nlikuwa nimeshaachana naye kwa kipindi hicho baada ya kuona ni msichana ambaye hana uelewa kabisa.yule dada alikuwa jinga kabisa.nlishangaa sana mwanachuo kabisa anasikiliza hotuba kana kwamba hajui kuna UE?ali disco.akarudi kwao.sijui nini kiliendelea.

Mungu saidia lile balaa likaisha tulilokuwa nalo miaka ile siku hazigandi ati , walijisemea waswahili na hata zikiganda kidogo tu zinayayuka.

mwaka 2015 akachaguliwa mtukufu rais mh dr . nikasema ngoja nisikilize hotuba zake. nikajikuta napata maumivu ya kichwa. nilikuwa kama nachanganyikiwa hivi naposikiliza maneno yake maana sielew wakati mwingine kama yanavyosemwa ndivyo yalivyokusudiwa. nikawa napotaka kusikiliza nakuwa na dawa za maumivu. kichwa kinauma ,kichwa kinauma. lakini angalau namsikiliza hivyo hivyo kuwa humo ndani nitachagua yanayonifaa mengine niwaachie yanayowafaa... mwenda bure si sawa na mkaa bure. siku moja nikawaza kama ndo hivi wanavyosema hawa kuwa hivi anavyosema huyu si vile ilivyotakiwa kusemwa naye basi nimshauri nini?

nikawaza labda awe anajinyamazia tu. kama leo akienda kufungua jambo flan si anatakiwa akate
"utepe" aombe mkasi apige mkasi halafu apunge mikono tu huku akitabasamu au kama ana maneno awe anayasema kimoyomoyo ajiondokee zake akatulie home aangalie tv au kucheza game kama ni mpenzi wa game.

najiuliza lini nitatamani kusikiliza hotuba ya mh wangu nikiwa na juice na pop corn? ni lini? badala ya miaka ile kuwa na mifuko ya kutapikia na miaka hii kuwa na dawa za kupunguza maumivu? nikakumbuka lile tangazo "maumivu ya kichwa huanza pole pole, na baadaye unayasikia maumivu makali kupita kiasi. maumivu si mzaha na matibabu yake ni lazima yawe ya haraka na yenye kufaa zaidi. ndiyo maana ...........wakavumbua ....... halafu wanamalizia. xxx maumivu yakizidi, kamwone daktari.
Wewe possibly ndo wale waokwenda vyuoni kwa kupigiwa pande wakiwa hawana sifa. Na nadhani unahitaji consultant wewe
 
Don't just provoke urge. You can't set people with big minds under your poor and primitive scope of thinking young man
 
Mtoa mada ulisoma chuo gan? gan hicje kuwa umesoma vyuo vya computer koz ya miez mitatu ukasa ulikuwa chuo kwn mtu yyte yule ukimckiliza kwa njia zote za maongezi ( kuongea aukuandika) unajuwa capacity ya kupambanua mambo. Samahan napenda kujuwa ulisoma chuo gan
 
Wewe tafuta hotuba za lowasa utaburudika hasa ile ya kujiuzulu uwaziri mkuu kwa sababu ya wizi wake kwenye Richmond.
 
Kikwete angepigwa repatriation asikanyage nchi hii mpaka kifo chake kwa mambo aliyoyafanya kuhakikisha anabomoa nchi hii kwa mikono yake yeye mwenyewe alifanya nchi shamba la bibi akajineemesha yeye na wanawe na mkewe halafu akahakikisha anatuachia baba haambiliki ambaye ameamua kufilisi nchi kwa kutokuwa na mpango wowote wa maendeleo zaidi ya kutoa hadithi hadithi tu
 
kwa haya ambayo nime highlight kwa red unaonesha we ni mtu hatari sana. mbaya zaidi yaani wewe ndo unahoji elimu yangu? yaani haya maajabu yanatokea tanzania tu mtu kama wewe kuhoji elimu ya mtu kama mimi. NI TANZANIA TU KWA WENZETU, WASIO NA ELIMU WANA WAHESHIMU SANA WALIYO NAYO. huku kwetu unakuta darasa la saba ana shaka na elimu ya mtu mwenye degree au masters. halafu kidato cha nne au sita anahoji elimu ya mtu mwenye PHD. haya ndo yanayotia kichefu chefu. akili ndogo kuhoji akili kubwa.


Mtoa mada ulisoma chuo gan? gan hicje kuwa umesoma vyuo vya computer koz ya miez mitatu ukasa ulikuwa chuo kwn mtu yyte yule ukimckiliza kwa njia zote za maongezi ( kuongea aukuandika) unajuwa capacity ya kupambanua mambo. Samahan napenda kujuwa ulisoma chuo gan
 
haya yanatokea kwenye serikali ya chama gani? ni kweli sikuwa na sifa ila nilipigiwa pande kwa sababu baba yangu ni mwanachama hai wa chama. na ndo maana nashangaa kuwa hili jambo lilitusababishia hata tuwe na viongozi waliopigiwa pande. viongozi hewa.

Wewe possibly ndo wale waokwenda vyuoni kwa kupigiwa pande wakiwa hawana sifa. Na nadhani unahitaji consultant wewe
 
Yemeni kama mnashidwa kufukiria kwa kichwa basi fikirieni hata kwa tako eti hotuba nzuri ili iwe nini watzd bado sana chaaaa
 
ndo elimu yetu hii ya toka tumepata uhuru dada yangu. sasa unadhani ni kosa langu au mfumo wa elimu hii ambayo inakuwa ya majaribio kila siku? hii ndo inatusababishia tunapata hata viongozi hewa au wasio na uwezo.

mfano unapata kiongozi ambaye kwa elimu hii ana gentleman. huyu unadhan hata uelewa wake ukoje?

Kweli Tanzania tuna safari ndefu
Kama kuna msomi wa chuo kikuu mwenye uvivu wa kufikiri kama wewe
Ehee mwenyezi Mungu
Tusaidie
Hao ndio wananchi tulio nao
Tena eti msomi wa chuo kikuu
 
kama unadhan hotuba hazikuwa au hazina maana basi wagombea wasingekuwa wanazunguka wakati wa kampeni kuhutubia huko na huko.

Wewe hizo hotuba ulizowahi kuzisikia ulishiba? zilikupa maendeleo gani?

Kama unataka Hotuba nzuri, hutubia familia yako kila siku, au hutubia watoto wako kwako kila siku
 
Mtoa mada ulisoma chuo gan? gan hicje kuwa umesoma vyuo vya computer koz ya miez mitatu ukasa ulikuwa chuo kwn mtu yyte yule ukimckiliza kwa njia zote za maongezi ( kuongea aukuandika) unajuwa capacity ya kupambanua mambo. Samahan napenda kujuwa ulisoma chuo gan
Chuo? Hapana, hata darasa la saba hakumaliza.
Sasa narudi kwako, wewe ulisoma shule gani?

hicje=?
kwn=?
yyte=?
ukimckiliza=?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom