Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa JamiiForums...

Hiyo habari imenistua sana
ni vizuri Max na uongozi wa JF uwe unampa member taarifa iwapo polisi wanashinikiza atajwe
Mkuu ilipokuwa JamboForum niliwahi kupata hali tata, ikabidi nianze kuzunguka kama guest huko kwingine

Sina uhakika ilikuwa ''incident au coincidence'' sina jibu

Tunaposikia hizi habari za Polisi kutaka info, inatisha.

Unajua ule mswada wa mtandao haukulenga kitu kingine isipokuwa JF.
Na unajua JF ilihujumiwa wakati wa uchaguzi na wahujumu wengine wana vyeo vikubwa( sio vibarua 46)

Kinachoshangaza, wanatamani kutumbua majipu, wanaonyeshwa majipu yalipo, hawataki kusikia habari za majipu!

Viongozi waovu wanaichukia sana JF, viongozi wema wanaipenda sana kwasababu ina akisi nini jamii inafikiri au kusema kuhusu jamii hiyo hiyo!
 
Mkuu ilipokuwa JamboForum niliwahi kupata hali tata, ikabidi nianze kuzunguka kama guest huko kwingine

Sina uhakika ilikuwa ''incident au coincidence'' sina jibu

Tunaposikia hizi habari za Polisi kutaka info, inatisha.

Unajua ule mswada wa mtandao haukulenga kitu kingine isipokuwa JF.
Na unajua JF ilihujumiwa wakati wa uchaguzi na wahujumu wengine wana vyeo vikubwa( sio vibarua 46)

Kinachoshangaza, wanatamani kutumbua majipu, wanaonyeshwa majipu yalipo, hawataki kusikia habari za majipu!

Viongozi waovu wanaichukia sana JF, viongozi wema wanaipenda sana kwasababu ina akisi nini jamii inafikiri au kusema kuhusu jamii hiyo hiyo!

Mzee ulikuwepo enzi za JamboForums?
 

Aisee namkumbuka jamaa mmoja aliitwa Barcelona......na wengineo kwa kuleta habari za Kiitelijensia na mwingine mmoja hivi nimemsahau jina(nilipenda sana) pia hata jamaa mmoja akiitwa @Mgalanjuga kama sijakosea......duh si nae yuko wapi huyu,anyway.....
 
Mimi nilianza kusoma darhotwire 2005 nikiwa kidato chap pili.. lakini sikujua kitu chochote kuhus jamboforum.. hadi mwaka 2011 nilipoamua kugoogle CV ya Mbowe na January makamba ndipo google ikanidirect kuja JF tokea kipindi hicho mimi na JF..JF na mimi..
Jf imenifanya niwe makini..
majembe ni mengi lakini member aliyekuwa anaitwa KYOMA alikuwa kiboko kwa uandishi..kila sentensi ina reference.. jamaa alikuwa msomi wa ukweli.
 
Enzi hizo kabla ya Darhotwire tulikua busy sana na MSN na Yahoo chartrooms pia AOL.
Darhotwire ikaja kuzikwa na Darchat (Marafiki).
Siku niliootaka kujiunga Jamboforum sikuikuta hewani, nikai search kwa Yahoo nikawa napata tu headlines, nikamuuliza Yona Maro "vipi mbona Jambo forum siwapati?" Ndiyo akaniambia imeshabadirika na kuwa JamiiForums, nikajiambia kuwa sitajiunga mpaka kipindi cha uchaguzi wa 2010, na ndivyo ilivyokuwa.
Jamiiforums wanahitaji pongwzi sana kwakweli kuweza kudumu katika nyakati tofauti tofauti hadi sasa.
Kuna malalamiko mengi kuwa JF ya sasa siyo ile ya kipindi kile iliyokuwa na hoja na mijadala iliyoshiba hasa. Malalamiko hayo ni ya kweli ila yatupasa tukubaliane na ukweli kwamba vizazi vimebadirika sana na hata namna ya kufikiri na kuchangia kwenye mijadala na matukio ni tofauti sana kati ya vizazi na vizazi. Hivyo tutambue na kukubali tu kwamba zama hizi si zetu, hizi ni zama za mashabiki na watu wanaoongozwa na hisia, zama ambazo reasoning ni bidhaa adimu sana. Zama zile watu tulikua tukipingana hasa na kama kulikua na maslahi ya kijamii au ya taifa tulitafuta namna ya kukubaliana.

Viva JF.
Mkuu hii DarChat ya Marafiki nimeitumia sana miaka ya 2007 huko, nikaja JF miaka ya 2008/09 ila nilikuwa naitumia kama Guest... Nakumbuka kuna siku (2012) niko na jamaa mmoja nikawa namsimulia vituko vya humu JF kumbe yeye alikuwa member long ago akaniuliza "Hivi Nyani Ngabu bado yupo, yule jamaa alikuwa mbishi sana"... Huyu jamaa angu akani'inspire sana kufungua account humu.. Ndio usiku huo huo nikajiunga rasmi na JF...

Long live kwa Max, Mike na Moderators wote... Ila hili jambo la kusumbuliwa na vyombo vya usalama pale watu wanapotoa taharifa fulani litafanya watu wafunge midomo na nchi iendelee kuibiwa.. Tumeona serikali hii ya Magu ni kwa jinsi gani wanapata news muhimu humu JF kuanzia uteuzi wa Ndalichako mpaka yule mama aliyesimamishwa jana..
 
Nyani Ngabu those days nachungulia Jamboforums kama guest
nakumbuka yule mshikaji wako aliekuwa na signature inasema
'well behaved women never make history'

Wow...that's my 'big' sister-in-law.

I miss her something fierce.

Natamani arudi walau hata anipe 'Like' tu.

Hey Mwafrika wa Kike...wherever you are....what you did to me is unforgivable.

Hahahaaa.....yule alikuwa dakika tano mbele aisee.
 
Nyani Ngabu

Nakumbuka sana ubishi wako kwenye uchaguzi wa US 2008 ukawa unaitwa Nyani-Mcan na ile thread ya watoto wa mjini

Hahahaaa kumbe unakumbuka eeh?

Mimi nili-jump ship baada ya candidate wangu [Hillary Clinton] kushindwa.

Nilikuwa na hasira sana na Obama.

Lakini yalishapita hayo.
 
kila la heri jf , zipo taarifa kwamba sheria ya mtandao imeletwa kwa ajili ya kudhibiti jf tu , hayo mengine porojo tupu .
 
Mimi nilianza kusoma darhotwire 2005 nikiwa kidato chap pili.. lakini sikujua kitu chochote kuhus jamboforum.. hadi mwaka 2011 nilipoamua kugoogle CV ya Mbowe na January makamba ndipo google ikanidirect kuja JF tokea kipindi hicho mimi na JF..JF na mimi..
Jf imenifanya niwe makini..
majembe ni mengi lakini member aliyekuwa anaitwa KYOMA alikuwa kiboko kwa uandishi..kila sentensi ina reference.. jamaa alikuwa msomi wa ukweli.

Kyoma nilikuwa namkubali sana kwa kweli.

Ilikuwa akija na kuandika humu anamaliza kila kitu.
 
Kipindi hicho nilikua addict wa hii mitandao;darhotwire,darchat,bongo5 na JF.Nilipata marafiki wengi sana.Japo kwa kipindi hicho nilikua nikitumia IDs tofauti tofauti."Msema kweli ni mpenzi wa Mungu",since 2006 nimetumia IDs 3 tofauti.Sitasahau nilivotunishiana misuli na members kibao niki support Obama 2008.All in all, I'm a proud member. A very happy 10th anniversary kwa JF
 
Enzi hizo kabla ya Darhotwire tulikua busy sana na MSN na Yahoo chartrooms pia AOL.
Darhotwire ikaja kuzikwa na Darchat (Marafiki).
Siku niliootaka kujiunga Jamboforum sikuikuta hewani, nikai search kwa Yahoo nikawa napata tu headlines, nikamuuliza Yona Maro "vipi mbona Jambo forum siwapati?" Ndiyo akaniambia imeshabadirika na kuwa JamiiForums, nikajiambia kuwa sitajiunga mpaka kipindi cha uchaguzi wa 2010, na ndivyo ilivyokuwa.
Jamiiforums wanahitaji pongwzi sana kwakweli kuweza kudumu katika nyakati tofauti tofauti hadi sasa.
Kuna malalamiko mengi kuwa JF ya sasa siyo ile ya kipindi kile iliyokuwa na hoja na mijadala iliyoshiba hasa. Malalamiko hayo ni ya kweli ila yatupasa tukubaliane na ukweli kwamba vizazi vimebadirika sana na hata namna ya kufikiri na kuchangia kwenye mijadala na matukio ni tofauti sana kati ya vizazi na vizazi. Hivyo tutambue na kukubali tu kwamba zama hizi si zetu, hizi ni zama za mashabiki na watu wanaoongozwa na hisia, zama ambazo reasoning ni bidhaa adimu sana. Zama zile watu tulikua tukipingana hasa na kama kulikua na maslahi ya kijamii au ya taifa tulitafuta namna ya kukubaliana.

Viva JF.
Yona Maro aka Shy alikuwa mchangiaji jukwaa la IT akazinguana na Moderator akaamua kwenda kuanzisha Wanabidii
 
Nina mwaka mmoja na miezi 2 ndani ya JF...lakini lazima niungane na members Wa 2006 hadi Leo katika kisherekea.....


JF has widened My mind on politics, bussiness, technology and other things to make up one's life....

I have never get bored or stack on something as long as my phone has a JF app installed in.....


I suggest to meet somewhere on that day, just to congratulate one another for all the way we have moved.....


Live long JF and happy 10th anniversary jf
 
Mimi nilikuwa darhotwire....kule kulikuwa na jukwaa linaitwa 'mapenzi mahusiano na urafiki' 'MMU'

kipindi hiko hata Jamboforums ilikuwa inavuma kwa siasa

kule darhotwire mtu akileta siasa tu anaambiwa 'nenda jamboforums'
tuondolee siasa

ukiingia Jamboforums kulikuwa hakuna jukwaa la MMU bado

mtandao mwingine ulikuwa eastafrican.com kama sikosei...

ilipoanza kufa darhotwire ndo tukahamia huku wengine
na jukwaa la MMU huku likaanzishwa

Moja ya kitu nakumbuka ni jinsi 'wapwaz' walivyoilazimisha JF ianzishe jukwaa la chit chat
kwa tabia ya kuanzisha story hasa kwenye thread ya mtu MMU

nina memory nyingi sana JF....

it has been fun....a lot of fun.....na kujifunza mengi.....
 
Back
Top Bottom