Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa JamiiForums...

Mimi nilikuwa darhotwire....kule kulikuwa na jukwaa linaitwa 'mapenzi mahusiano na urafiki' 'MMU'

kipindi hiko hata Jamboforums ilikuwa inavuma kwa siasa

kule darhotwire mtu akileta siasa tu anaambiwa 'nenda jamboforums'
tuondolee siasa

ukiingia Jamboforums kulikuwa hakuna jukwaa la MMU bado

mtandao mwingine ulikuwa eastafrican.com kama sikosei...

ilipoanza kufa darhotwire ndo tukahamia huku wengine
na jukwaa la MMU huku likaanzishwa

Moja ya kitu nakumbuka ni jinsi 'wapwaz' walivyoilazimisha JF ianzishe jukwaa la chit chat
kwa tabia ya kuanzisha story hasa kwenye thread ya mtu MMU
Mkuu kwa ukongwe wako, huawahi kupata msuko suko wowote uliosababishwa na JF ??

nina memory nyingi sana JF....

it has been fun....a lot of fun.....na kujifunza mengi.....
 
Misuko suko ! kuna wakati mtandao ukaitwa wa kigaidi ilimradi tu kukatisha watu tamaa.

Nashangaa leo hii bado wanaiandama JF. Kwa kiongozi makini, JF ina akisi mitazamo ya jamii

Utasikia 'tusaidieni' kufichua maovu, nyuma ya pazia wamiliki wanalazimishwa kutoa habari kama inavyoonekana uzi wa mahakamani leo!!

Kwa wengi hili limekuwa 'semeo' kati ya jamii na serikali ziwe za mitaa hadi kuu

Wanaitamani JF na wamo kila asubuhi wanasoma kwanza, lakini hawataki maudhui ya JF!

Long live JF
 
Misuko suko ! kuna wakati mtandao ukaitwa wa kigaidi ilimradi tu kukatisha watu tamaa.

Nashangaa leo hii bado wanaiandama JF. Kwa kiongozi makini, JF ina akisi mitazamo ya jamii

Utasikia 'tusaidieni' kufichua maovu, nyuma ya pazia wamiliki wanalazimishwa kutoa habari kama inavyoonekana uzi wa mahakamani leo.

Long live JF


Hiyo habari imenistua sana
ni vizuri Max na uongozi wa JF
uwe unampa member taarifa iwapo polisi wanashinikiza atajwe
Invisible .... ili mtu ujue kuwa umewaudhi watu..tuishi kwa tahadhari
 
Nina miaka 9 JF niliingia kile kipindi inaitwa Jambo forums nilijiunga 2007 kpindi hicho wabeba box ndiyo tulikuwa tunatawala humu nilikuwa nakuja sikiliza mziki wa nyumbani .. baadhi ya vijiwe vyangu ilikuwa ni bongo5 Chat & dar hotwire ... baadhi ya memba nnao wakumbuka
Game Theory Steve Dii YournameisMINE DAR si LAMU Braza men Nyamayao Pundit na wengineo ...

kila la kheri JF!! Tupo tunawasoma gizani!
 
Hiyo habari imenistua sana
ni vizuri Max na uongozi wa JF
uwe unampa member taarifa iwapo polisi wanashinikiza atajwe
Invisible .... ili mtu ujue kuwa umewaudhi watu..tuishi kwa tahadhari
Tawire mkuu, hi ni jambo la muhimu sana. Max wapeni watu taarifa ikitokea kabla ya mabweP

Kinachosikitisha mbele wanasema saidieni kufichua maouvu, nyuma ya pazia wanavizia wanaowasaidia!
 
Tawire mkuu, hi ni jambo la muhimu sana. Max wapeni watu taarifa ikitokea kabla ya mabweP

Kinachosikitisha mbele wanasema saidieni kufichua maouvu, nyuma ya pazia wanavizia wanaowasaidia!


Kama Rais anatoka Geita
na mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani kutoka Geita anaweza kuuwawa
na Rais asiseme chochote
na wauwaji waendelee kutembea freely basi ujue tupo kwenye 'nyakati ngumu sana'
kina Max wajiandae kwa ujasiri....mkubwa huko mbele
 
nilijiunga Jamii forum nikiwa sina interests na siasa kabisa , sintosahau uchaguzi wa 2010 ! wapo walinichukia humu, tuligombana sana ... end of the day kukawa na maisha baada ya uchaguzi ...

mwalimu Gaijin na ndugu yangu katika imani @xpastor wamepotea sana...

RIP.. mpenzi wa islam .. jukwaa la dini limepwaya
RIP. regia mtema ..

Hongereni JF family na mods
 
Nilikuwa napita kama guest tu...
Aisee miaka 10 si mchezo,mi nilianza JF siku moja kuna kitu nilikuwa nagugo mtandaoni mwaka 2008 hiyo kikaja ila kupitia JF nilivyoendelea kufuatilia zaidi nikaona vitu vitamu zaidi ila miaka kama 3 hivi nikawa naingia kama Guest sababu sikuweza kujiunga ila tokea hapo nikawa nondo sana kwa mambo mbalimbali hasa yahusuyo siasa mpaka rafiki zangu wakawa wananishangaa,ila kufikia 2012 nikajiunga rasmi nikawa nakomenti mdogo mdogo...........yote kwa yote Long live JF na wakongwe wooote......na mafounder wake kina Max...
 
Mimi nilikuwa darhotwire....kule kulikuwa na jukwaa linaitwa 'mapenzi mahusiano na urafiki' 'MMU'

kipindi hiko hata Jamboforums ilikuwa inavuma kwa siasa

kule darhotwire mtu akileta siasa tu anaambiwa 'nenda jamboforums'
tuondolee siasa

ukiingia Jamboforums kulikuwa hakuna jukwaa la MMU bado

mtandao mwingine ulikuwa eastafrican.com kama sikosei...

ilipoanza kufa darhotwire ndo tukahamia huku wengine
na jukwaa la MMU huku likaanzishwa

Moja ya kitu nakumbuka ni jinsi 'wapwaz' walivyoilazimisha JF ianzishe jukwaa la chit chat
kwa tabia ya kuanzisha story hasa kwenye thread ya mtu MMU

nina memory nyingi sana JF....

it has been fun....a lot of fun.....na kujifunza mengi.....
Umenifurahisha kuhusu chimbuko la "Chit Chat".......
 
189 Reactions
Reply
Back
Top Bottom