Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,313
- 24,171
- Thread starter
- #61
Ukimpenda Halima kanye naye chai.Gwajima na mataga mtabaki midomo wazi mapema sana kabla ibada ya kwanza haijatoka 🤣
Kazi za umma kashindwa vibaya, waste of oppurtinties kuchagua tena mtu ambaye hawezi kushirikiana na serikali kutatua kero za wana Kawe.