rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Ni vema tukaelewa China itatawala Dunia miaka 10 ijayo na hakuna wa kuzuia hilo,Iwapo Marekani itafanikiwa kujitenga na Ulaya wakashindwa kufikia muhafaka juu ya bajeti mambo yanaweza kuwa mapema zaidi,Nchi iliyokuwa maskini kabisa miaka 30 iliyopita leo hii wanaongoza kuwa na uchumi imara,viwanda vingi visivyo na hesabu,investor kila pembe ya dunia.
Tuelewe uchumi wa China kwa sasa hivi umefika zaidi ya $2 trillion kulinganisha na tanzania ambayo imesimama kwenye $900million,,,,,,,,,,hakuna Biashara yoyote ile duniani ambayo haijakumbwa na uoga kuhusu China
Marekani walipotuonya kuhusu China ku recolonize Africa hawakukosea lakini na wao wamejaa uoga wa kuja kutawaliwa na China,,,,,kwa jinsi ninavyowajua Wachina watakuwa radhi kuangamiza baadhi ya mataifa duniani hasa waafrica ili wapate wanachokitaka
tunachokiona Tanzania ni cha mtoto kulinganisha na wanachokifanya mataifa mengine ya kiafrica kama Angola na Botswana,kusema kweli katika Africa ni Kaburu wa Africa Kusini pekee ameweza kuwa tishio kwa mchina items of investment
kazi tunayo hatuna pa kukimbilia zaidi ya kuamka usingizini na kujaribu kupunguza makali ya Mchini kwenye kutawala Dunia
Tuelewe uchumi wa China kwa sasa hivi umefika zaidi ya $2 trillion kulinganisha na tanzania ambayo imesimama kwenye $900million,,,,,,,,,,hakuna Biashara yoyote ile duniani ambayo haijakumbwa na uoga kuhusu China
Marekani walipotuonya kuhusu China ku recolonize Africa hawakukosea lakini na wao wamejaa uoga wa kuja kutawaliwa na China,,,,,kwa jinsi ninavyowajua Wachina watakuwa radhi kuangamiza baadhi ya mataifa duniani hasa waafrica ili wapate wanachokitaka
tunachokiona Tanzania ni cha mtoto kulinganisha na wanachokifanya mataifa mengine ya kiafrica kama Angola na Botswana,kusema kweli katika Africa ni Kaburu wa Africa Kusini pekee ameweza kuwa tishio kwa mchina items of investment
kazi tunayo hatuna pa kukimbilia zaidi ya kuamka usingizini na kujaribu kupunguza makali ya Mchini kwenye kutawala Dunia