Papaa pedeshee
JF-Expert Member
- Nov 7, 2021
- 234
- 336
- Thread starter
- #41
Kweli kabisa mkuu,umenena vema ipasavyo.Tatizo ni kwamba nchi imeoza. Kuna watu, haijalishi kitu kina msaada kiasi gani kwa jamii lakin wao wanatanguliza maslahi yao binafsi mbele! Dr. Masau alikuwa amenyooka, sasa kuna watu mtu wa namna hiyo ni adui mkubwa!