mi' ni supplier kwenye kampuni fulani, procurement officer wa pale ni bishosti mmoja, toka nianze kusuply huyo mdada amekuwa ananiletea zile za kidemdem ful txt, sometym cm hata ucku mnene nikimuuliza niaje anadai ananipa hi! juzi kati nikaona sio issue acha nimfungukie asijeniona kibisa, pigo alizoniletea eti anadai yy anamtu wake toka chuo na wamepanga kuoana, tatizo ananibania mi' kwa mademu wengine wa pale officn kwao kisa yy ndo mkuu wa dept, na mimi naogopa kupoteza tender yangu, nifanyeje?