Pancras Suday JF-Expert Member Jun 24, 2011 8,143 3,830 Jun 30, 2015 #3 Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaaah, wanawake ni kazi kweli
Wapoti JF-Expert Member Aug 28, 2013 2,824 1,095 Jun 30, 2015 #4 Tetemeko limepita bwana anaanguka kama kapigwa mtama!
MduduWashawasha JF-Expert Member Mar 5, 2008 1,653 601 Jun 30, 2015 #5 Wanawake wanapata sana taabu kwenye kudhirisha urembo wao
Red Scorpion JF-Expert Member Feb 1, 2012 5,736 4,252 Jun 30, 2015 #6 MduduWashawasha said: Wanawake wanapata sana taabu kwenye kudhirisha urembo wao Click to expand... Sana!!!!!!!!!!!!!!!!
MduduWashawasha said: Wanawake wanapata sana taabu kwenye kudhirisha urembo wao Click to expand... Sana!!!!!!!!!!!!!!!!
Hornet JF-Expert Member Apr 29, 2013 26,117 49,472 Jun 30, 2015 #10 Inaelekea kuna Huduma anasubiri kaona atumie akili ya ziada awahishiwe
charty JF-Expert Member Oct 28, 2013 7,460 5,975 Jul 1, 2015 #11 hahah huo mwereka si bure atakua alionja konyagizz