Lovebird
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 5,781
- 7,738
Ka mwanamuziki umeshindwa kutunga basi bora uache muziki uliokwisha tungwa ubaki na hadhi yake, mnazifanya nyimbo hizo kuchuja haraka na hatimaye kuharibu hadhi halisi
Hongera kwa wale wanaofanya kazi bila kunakili za wengine na kubadili vijinenoooo
***wimbo wa "hasira za nini eee mamaa wataka kuniua bureee...si wako...hasira za nini"
Hongera kwa wale wanaofanya kazi bila kunakili za wengine na kubadili vijinenoooo
***wimbo wa "hasira za nini eee mamaa wataka kuniua bureee...si wako...hasira za nini"