Iwensanto
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 1,173
- 1,092
Rejea kichwa cha habari hapo juu kwa sasa katika jiji la Dar Mhogo umekuwa ndiyo chakula kikuu katika maeneo mengi ya jiji.
Kuanzia asubuhi mchana na hata jioni na hii itakuwa inachangiwa pengine na ugumu wa maisha au kubadika mfumo wa maisha.
Tupe uzoefu wa ulaji mihogo na faida zake huko kwenu.
Kuanzia asubuhi mchana na hata jioni na hii itakuwa inachangiwa pengine na ugumu wa maisha au kubadika mfumo wa maisha.
Tupe uzoefu wa ulaji mihogo na faida zake huko kwenu.