sonaderm
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 618
- 1,816
Neema mhitimu wa shahada ya sheria kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam alipomaliza Chuo hakufanikiwa kupata ajira lakini ameona asikae bure tu nyumbani ameamua kuwa mfano wa vijana wenye uthubutu kabisa kuwa tofauti!
Kwenye shughuli kubwa zenye mikusanyiko huwa anafanya biashara ya kuuza mihogo ya kukaanga pamoja na kachumbari nzuri yenye viungo inavutia sana na mihogo yake ni mitamu haswaaaaa sana!
Source: Clouds Media
NB: Tunakoelekea ni kugumu na vijana inabidi kukaza mkanda..
Kwenye shughuli kubwa zenye mikusanyiko huwa anafanya biashara ya kuuza mihogo ya kukaanga pamoja na kachumbari nzuri yenye viungo inavutia sana na mihogo yake ni mitamu haswaaaaa sana!
Source: Clouds Media
NB: Tunakoelekea ni kugumu na vijana inabidi kukaza mkanda..