Hujui hata unataka niniUongozi wa mtu mwenye akili na uwezo wa kutosha, siyo warembua macho!
Najua sana! Not this weakling lady!Hujui hata unataka nini
Safi sanaMhitimu wa Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira Arusha, Alexanda Bakunguza, amefungua kesi Mahakama Kuu dhidi ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali akipinga elimu ya juu kugharamiwa na serikali kwa njia ya mikopo.
Hilo jina la pili tu lazima abambikiweHuyo jamaa atabambikiwa kesi ya Uhamiaji
Na ukitumza kwa mzazii kuna tozooBasic salary ya mtu unakuta ni 400k. Heslb wachukue 15%, Paye wakate 8%, NSSF akatwe 10%. Hapo hapo atoe kodi ya pango na chakula. Hiyo hiyo atume kwa wazazi kijijini na ada za serikali alipe. Gesi imepanda. Mafuta ya kupika yamepanda. Hii nchi tunaongozwa na viongozi “wajinga”