Mzee wa Gumzo
Senior Member
- Apr 21, 2008
- 197
- 5
Hii ni kweli na wala haina chenga.
Nilikuwa moshi jana tu na kuthibitisha.Kuna grocery moja maarufu maeneo ya shanty town karibu na hospitali ya KCMC ijulikanayo kama 'UP TOWN GROCERY'.
Ilianza kama tetesi kuwa grocery hiyo ni kituo cha madawa ya kulevya.Kisha nikamtafuta mwenyeji wa pale na mtu mzima na mnywaji wa hapo nikamuuliza akaniambia ni kweli tena akanitajia hadi wateja wakubwa wa madawa hayo kuwa ni wanafunzi wa INTERNATIONAL SCHOOL MOSHI,moja ya shule bora kabisa za kimataifa.
Nikamvizia mwanafunzi mmoja wa shule hiyo na kumbana kona nikijifanya teja nataka unga nibwie.Kiulaini akanielekeza kuwa yeye siyo muuzaji bali mtumiaji ila kama nataka kununua niende kwenye ile grocery kwa wahindi nitapata mara moja.
Hii siyo hadithi ni kweli.Nimeitoa kwenye jukwaa kusudi tuungane kummaliza huyu jamaa na wengine wote wanaofanana nae.
Nilikuwa moshi kwa muda mfupi tu na sikupata nafasi ya kushughulikia hili na ningali safarini kikazi.
Naombeni namba ya Lucas Ngoboko (kamanda kilimanjaro) au IGP Mwema.
Nilikuwa moshi jana tu na kuthibitisha.Kuna grocery moja maarufu maeneo ya shanty town karibu na hospitali ya KCMC ijulikanayo kama 'UP TOWN GROCERY'.
Ilianza kama tetesi kuwa grocery hiyo ni kituo cha madawa ya kulevya.Kisha nikamtafuta mwenyeji wa pale na mtu mzima na mnywaji wa hapo nikamuuliza akaniambia ni kweli tena akanitajia hadi wateja wakubwa wa madawa hayo kuwa ni wanafunzi wa INTERNATIONAL SCHOOL MOSHI,moja ya shule bora kabisa za kimataifa.
Nikamvizia mwanafunzi mmoja wa shule hiyo na kumbana kona nikijifanya teja nataka unga nibwie.Kiulaini akanielekeza kuwa yeye siyo muuzaji bali mtumiaji ila kama nataka kununua niende kwenye ile grocery kwa wahindi nitapata mara moja.
Hii siyo hadithi ni kweli.Nimeitoa kwenye jukwaa kusudi tuungane kummaliza huyu jamaa na wengine wote wanaofanana nae.
Nilikuwa moshi kwa muda mfupi tu na sikupata nafasi ya kushughulikia hili na ningali safarini kikazi.
Naombeni namba ya Lucas Ngoboko (kamanda kilimanjaro) au IGP Mwema.