Mhindi atolewa nishai!

Hakuna chenye mwanzo kisicho na mwisho kwa kweli zama za wahidi sasa zinatoweka taratiibu ndani ya afrika tena wale waliokuwa wachuuzi hivi sasa waafrika wamewabana mbavi kinomi, na ndiyo maana wengi kwa sasa wameamua kujiingiza ktk utapeli kwa kuwadanganya viongozi wetu washamba, ambao wengi wao kila wakimuona mtu mweupe wanadhani ni mzungu jamani waambieni wazungu huwa hawauzi maduka!!
 
Whatever you say. But I have already told you what violence against Indians will accomplish...zero! Those "lessons" will not be learned by any Indian store owner.

Basi mwambie huyo hayawani arudie tena huo upuzi alofanya!!!
Yataka moyo kuishi na hasidi aiseee!!!
 
Man, don't tell me you're not sick of hearing that IQ claptrap from Raj? I know I am....but I kinda miss beating the shit out of him, though......I had to find another pastime after he disappeared.

Nyani...kamata tanno ya nguvu,
I like your asnwer.
 
Reasons such as

1. The man putting items in his pocket

2. The owner believes the man has stolen from that store before

3. The man acts "suspicious"

The list goes on and on... Like I said who knows, I wasn't there and I definitely don't think we are getting the whole story from Ab-Titchaz.

Alooo naniii...none of that stuff you are mentioning up there took place.
Kama namna gani vipi basi si polisi wangekua wamemshika mshukiwa?
The issue here is racial profiling and those folks ni Nakuru have had enough of it.

Remember Kenya just went through a rough period of killing each other in the run-up to the last general election.The City of Nakuru, which lies in the Rift Valley, was in the thick of things.Therefore the populace of that area wanahamaki kibao, na mambo ya kipuzi kama haya ya racial profiling hawana time nayo.Expect to hear more of the like as time goes by.
 
Ni ukweli kwamba kasumba za wahindi wanazoziendeleza nchini mwetu ni zi udhalilishaji? Lakini Mungu ni muweza maana mpaka sasa sijaona kiboko ya muhindi kama muarabu, jamani pateni muda mupite middle east (kuwait, saudia, emirates) muone muhindi anavyokula kisago kwa waarabu. Kujidai kwao huko huko dar, nairobi etc akikanyaga tu ME kaumia!

Shukran babu..sikujua waarabu nd'o kiboko yao hawa maponjoro!
mmmhhhhh!!!!...afu sisi nd'o wanatuletea nyodo sio!
 
Kaka nataka kutoa ushuhuda wangu hapa.
Mimi nimepatwa na ubaguzi wa hawa "Dugu yetu Tanzania enye asili ya India" kama kibao lakini hii natoa hapa ni l;atest of them all.
Wiki iliyopita tulikua Ulay kwenye ziara ya biashara katika group yet alikuopo Mhindi mmoja sasa katika pitapita tukakutana na bonge ya Deal ya kupeleka Ufuta na Mawese huko.
kila mtu kwenye ile group akawa na mawazo yake kwamba ni lazima tuunnde some sort ya ushirika ili kila mtu afaidi ule mkataba.Yule bwana muhindi akanza kuteta na baadhi ya wenetu kwamba eti Serikali kwa sasa haitoi vibari vya kusafirisha hayo mazao nnje.
kwa bahati nzuri alikuwepo mtu wa serikali tena wa viwanda na biashara akasema si kweli labda kwamba yule mhindi anataka awaambie ndugu zake wa hindi wafanye ili biashara pekee yao.
Basi yule bwana aibu ika mjaa na sasa tumeunda ka-body ketu karatibiu ile shughuli ila hawa wenzetu hawana nia nzuri na sisi pamoja sisi tunawachukulia ni wenzetu

A very live example!!!
 
Nawakijua kwamba waafrika wana violence watahama nakwenda sehemu nyingine, sijui hapa nani anamkomoa nani.

Kitu ulichokua unanunua Nakuru inabidi upande basi kwenda nairobi kukinunua, na wale waafrika ambao hawana hata nauli ndio kwanza imekua double trouble.
Kama kupigana ndio suluhishi basi wapalestina na waisraeli wangeshapatana zamani.

Acha uoga Darwin,

We can do it also....Inaitwa enterprenuership.
Kusema eti hatuwezi ni mambo ya zamani hayo.Kuna vijana wa kiwetu
wamesoma na kuelimika katika nyenzo za kibiashara.Nakuomba kwa moyo
wa dhati, uhame kabisa katika hizo kasumba za kusema eti bila tabaka la
watu f'lani hatuwezi kupata biashara kutoka nchi jirani.
We can do it...Yes we can!!!
 
Mbona mnastereotype sasa. Sio Wahindi wote wenye maduka wanawafikiria waafrika wanakwenda kuiiba madukani mwao. Sisi iko damu damu bana!!!
 
Back
Top Bottom