Mhindi atolewa nishai!

mimi ndo kabisaa, akiingia kwenye anga zangu, siku hiyo hata mazoezi yangu ya sholin king fu siendi. huhaaa, hii haaaa za kumwaga....kuna siku magabacholi wote hawa wa kihindi na kiarabu watakuja wapata adabu hapa bongo pia....kama vile ilivyokuwa uganda.
 
Ni ukweli kwamba kasumba za wahindi wanazoziendeleza nchini mwetu ni zi udhalilishaji? Lakini Mungu ni muweza maana mpaka sasa sijaona kiboko ya muhindi kama muarabu, jamani pateni muda mupite middle east (kuwait, saudia, emirates) muone muhindi anavyokula kisago kwa waarabu. Kujidai kwao huko huko dar, nairobi etc akikanyaga tu ME kaumia!
 
Majira January 18, 2008:

“Urgently Required: Sales person male/female for a pharmacy at Shoppers Plaza. Should be: Form 1V/V educated. Fluent in English. Tanzanian of Asian Origin. Please contact 0754-673586.”


Wahindi ni wabaguzi. Mi nadhani mapungufu yao yamezidi!

(Aliye tunza ile picha ya hili tangazo mlangoni kwa Pharmacy ya Mhindi Shopper's Plaza tafadhali naomba abandike au anitumie.)



Kaka nataka kutoa ushuhuda wangu hapa.
Mimi nimepatwa na ubaguzi wa hawa "Dugu yetu Tanzania enye asili ya India" kama kibao lakini hii natoa hapa ni l;atest of them all.
Wiki iliyopita tulikua Ulay kwenye ziara ya biashara katika group yet alikuopo Mhindi mmoja sasa katika pitapita tukakutana na bonge ya Deal ya kupeleka Ufuta na Mawese huko.
kila mtu kwenye ile group akawa na mawazo yake kwamba ni lazima tuunnde some sort ya ushirika ili kila mtu afaidi ule mkataba.Yule bwana muhindi akanza kuteta na baadhi ya wenetu kwamba eti Serikali kwa sasa haitoi vibari vya kusafirisha hayo mazao nnje.
kwa bahati nzuri alikuwepo mtu wa serikali tena wa viwanda na biashara akasema si kweli labda kwamba yule mhindi anataka awaambie ndugu zake wa hindi wafanye ili biashara pekee yao.
Basi yule bwana aibu ika mjaa na sasa tumeunda ka-body ketu karatibiu ile shughuli ila hawa wenzetu hawana nia nzuri na sisi pamoja sisi tunawachukulia ni wenzetu
 
Kusema ukweli ni kwamba, kama alivyosema Manji S kumpiga mtu hakuta solve problem yoyote.
Hayo mambo yalifanyika Kenya, nataka kuwapa mfano mmoja wa hapa nyumbani,
Ni mara ngapi tumesoma habari kwamba kibaka amepigwa mpaka kafa?
Je kufanya hivyo ndio kutaacha vibaka wengine wasiibe? mbona kila wakati wanaiba na wanajua fika kwamba wakipatikana wanauwawa.

Kwa hao waswahili hapo ingekua kazi ndogo tu,
Duka liko Kenya, wanunuzi wakubwa asilimia kubwa ni wakenya tena wenye ngozi nyeusi.

Waswahili kuambizana tu nakusema usinunue vitu kwenye duka la mhindi ingetosha kabisa.
Jamaa asingeuza kitu mpaka akafilisika na angejua namna ya kumheshimu mteja mwafrika.
Sasa amekua na mambo mawili yakusema.
Waafrika wezi na niwatu wanaopenda violence.
 
Wahindi hasa hawa wajukuu wa wale waliokuja kujenga reli ni wabaguzi sana.Katika suala la yule mhindi aliyepewa mkong'oto ni kama somo ili ajue kuheshimu watu.
 
Wahindi hasa hawa wajukuu wa wale waliokuja kujenga reli ni wabaguzi sana.Katika suala la yule mhindi aliyepewa mkong'oto ni kama somo ili ajue kuheshimu watu.

Unafikiria kiurahisi!

Kwahio wahindi wawaogope weusi, wakiwaona weusi wanahofia kupigwa.
Matokeo= wahindi watahama, je wanaodhirika tena ni kina nani?
Waswahili walioletewa maduka jirani.
Itabidi sasa waswahili kwa hizo bidhaa wakazinunue Nairobi
Hapo ume solve problem?
Tuangalie pande mbili,
Mhindi kumhisi mweusi kuwa mwizi si vizuri na mweusi kumpiga mhindi kwasababu kahisiwa mwizi sio vizuri.

Mswahili angeshitaki kama anaona anaonewa, na mhindi kama anaona anamhisi mweusi ni mwizi angemshitaki. sheria ndio zinazoamua

Hebu angalia hii kuhusu mambo ya sisi waswahili kuona kwamba kumpiga mtu ndio suluhisho.

Mgoni ampigia kelele za wizi mwenye mke

2008-05-29 11:17:18
Na Romana Mallya

Mchinja nyama mkazi wa Vingunguti kwa Kombo, Bw. Sokoine Mtunda, ameuawa na wananchi wenye hasira baada ya mgoni wake kumpigia kelele za mwizi.

Mtunda anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 20 na 25, alikutwa na mauti hayo baada ya kumhisi mtu aliyefahamika kwa jina moja la Hussein kuwa anamwibia mke wake.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Ilala, Bw. Faustine Shilogile, alimtaja mwanamke anayedaiwa kusababisha kifo hicho kuwa ni Bi. Muta Mazengo (25).

Kamanda Shilogile, alisema inadaiwa kuwa, mtuhumiwa huyo kabla ya kufikia hatua hiyo, alimnunulia Bi. Muta, doti mbili za khanga.

Alisema tukio hilo lilitokea juzi usiku eneo la Vingunguti, jijini Dar es Salaam.

Kamanda Shilogile alisema Mtunda aliporudi nyumbani kwake, alimkuta mke wake akiwa na nguo hizo ambazo hazifahamu.

Alisema baada ya kumhoji, mke wake alikiri kuwa alipewa na mwanaume aliyemtaja kwa jina la Hussein.

Alisema Mtunda aliamua kuchukua hatua hiyo ya kumhoji kwa kuwa alijua mke wake hana uwezo wa kuzipata khanga kutokana na hali ya kifedha waliyonayo.

Alisema baada ya mahojiano hayo, aliamua kuongozana na mke wake hadi kwa Hussein na walipofika nyumbani kwake na kumuuliza juu ya tuhuma hizo, alikataa.

Hata hivyo, alisema baada kukataa, mtuhumiwa huyo aliamua kumpigia kelele za mwizi ambazo zilijaza wakazi wa eneo hilo na kuanza kumshambulia kwa silaha mbalimbali.

Alisema baada ya kuuawa, ndugu wa Mtunda walifika eneo hilo na kuanza kumshambulia Hussein kwa kipigo na kumsababishia majeraha mwilini.

Alisema kwa sasa mtuhumiwa huyo amelazwa chini ya uangalizi mkali hospitali ya Amana na kwamba upelelezi zaidi juu ya tukio hilo unaendelea.

Katika tukio lingine, mwili wa mwanaume ambaye hajafahamika jina lake anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 30 na 35, umekutwa kandokando mwa barabara ya Ubungo ukiwa na majeraha sehemu mbalimbali mwilini.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kinondoni Bw. Jamal Rwambow, alisema jana kuwa mwili huo ulionekana juzi asubuhi kwenye barabara ya Ubungo iendayo Msewe, jijini.

Kamanda Rwambow, alisema uchunguzi juu ya kifo cha mwanaume huyo bado unaendelea na kwamba kwa sasa mwili huo umehifadhiwa hospitali ya Mwananyamala.

* SOURCE: Nipashe
 
Unafikiria kiurahisi!

Kwahio wahindi wawaogope weusi, wakiwaona weusi wanahofia kupigwa.
Matokeo= wahindi watahama, je wanaodhirika tena ni kina nani?
Waswahili walioletewa maduka jirani.
Itabidi sasa waswahili kwa hizo bidhaa wakazinunue Nairobi
Hapo ume solve problem?
Tuangalie pande mbili,
Mhindi kumhisi mweusi kuwa mwizi si vizuri na mweusi kumpiga mhindi kwasababu kahisiwa mwizi sio vizuri.

Mswahili angeshitaki kama anaona anaonewa, na mhindi kama anaona anamhisi mweusi ni mwizi angemshitaki. sheria ndio zinazoamua

Hebu angalia hii kuhusu mambo ya sisi waswahili kuona kwamba kumpiga mtu ndio suluhisho.

Mgoni ampigia kelele za wizi mwenye mke

2008-05-29 11:17:18
Na Romana Mallya

Mchinja nyama mkazi wa Vingunguti kwa Kombo, Bw. Sokoine Mtunda, ameuawa na wananchi wenye hasira baada ya mgoni wake kumpigia kelele za mwizi.

Mtunda anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 20 na 25, alikutwa na mauti hayo baada ya kumhisi mtu aliyefahamika kwa jina moja la Hussein kuwa anamwibia mke wake.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Ilala, Bw. Faustine Shilogile, alimtaja mwanamke anayedaiwa kusababisha kifo hicho kuwa ni Bi. Muta Mazengo (25).

Kamanda Shilogile, alisema inadaiwa kuwa, mtuhumiwa huyo kabla ya kufikia hatua hiyo, alimnunulia Bi. Muta, doti mbili za khanga.

Alisema tukio hilo lilitokea juzi usiku eneo la Vingunguti, jijini Dar es Salaam.

Kamanda Shilogile alisema Mtunda aliporudi nyumbani kwake, alimkuta mke wake akiwa na nguo hizo ambazo hazifahamu.

Alisema baada ya kumhoji, mke wake alikiri kuwa alipewa na mwanaume aliyemtaja kwa jina la Hussein.

Alisema Mtunda aliamua kuchukua hatua hiyo ya kumhoji kwa kuwa alijua mke wake hana uwezo wa kuzipata khanga kutokana na hali ya kifedha waliyonayo.

Alisema baada ya mahojiano hayo, aliamua kuongozana na mke wake hadi kwa Hussein na walipofika nyumbani kwake na kumuuliza juu ya tuhuma hizo, alikataa.

Hata hivyo, alisema baada kukataa, mtuhumiwa huyo aliamua kumpigia kelele za mwizi ambazo zilijaza wakazi wa eneo hilo na kuanza kumshambulia kwa silaha mbalimbali.

Alisema baada ya kuuawa, ndugu wa Mtunda walifika eneo hilo na kuanza kumshambulia Hussein kwa kipigo na kumsababishia majeraha mwilini.

Alisema kwa sasa mtuhumiwa huyo amelazwa chini ya uangalizi mkali hospitali ya Amana na kwamba upelelezi zaidi juu ya tukio hilo unaendelea.

Katika tukio lingine, mwili wa mwanaume ambaye hajafahamika jina lake anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 30 na 35, umekutwa kandokando mwa barabara ya Ubungo ukiwa na majeraha sehemu mbalimbali mwilini.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kinondoni Bw. Jamal Rwambow, alisema jana kuwa mwili huo ulionekana juzi asubuhi kwenye barabara ya Ubungo iendayo Msewe, jijini.

Kamanda Rwambow, alisema uchunguzi juu ya kifo cha mwanaume huyo bado unaendelea na kwamba kwa sasa mwili huo umehifadhiwa hospitali ya Mwananyamala.

* SOURCE: Nipashe

Duh hii kweli mbaya sana!!!
 
Hawa wahindi ni watu waovu ndani ya nyoyo zao.Wakishikishwa adabu wanaweza wakawaheshimu Waafrika.Mimi nazungumzia generally takriban Wahindi 99% ni wabaguzi na si kwa Waafrika tu bali hata wao kwa wao.

Sasa kama mmoja alipata mkong'oto wengine watelimika na kujua kuwa dharau si kitu kizuri.Na hilo ni somo bwana.
 
Hawa wahindi ni watu waovu ndani ya nyoyo zao.Wakishikishwa adabu wanaweza wakawaheshimu Waafrika.Mimi nazungumzia generally takriban Wahindi 99% ni wabaguzi na si kwa Waafrika tu bali hata wao kwa wao.

Sasa kama mmoja alipata mkong'oto wengine watelimika na kujua kuwa dharau si kitu kizuri.Na hilo ni somo bwana.
Nawakijua kwamba waafrika wana violence watahama nakwenda sehemu nyingine, sijui hapa nani anamkomoa nani.

Kitu ulichokua unanunua Nakuru inabidi upande basi kwenda nairobi kukinunua, na wale waafrika ambao hawana hata nauli ndio kwanza imekua double trouble.
Kama kupigana ndio suluhishi basi wapalestina na waisraeli wangeshapatana zamani.
 
Yes respect is a two way street...our street has given you hospitality and accomodation.What has your side done?....nothing

Not quite. Indians have brought modernization, aid, goods and services to East African countries. Let's not forget medical treatment provided to many in India when it is not available in their home countries. Forget the gratitude or thanks you clearly owe, just a little respect and no violence would be appreciated by many Indians.

FYI, the Indian Store owner SUSPECTED the local of being a thief yet he was just a regular customer who had come to spend his money. So naturally he took offense at being profiled.Even after explaining to the Indian shopkeeper what he was about, the shopkeeper kept insisting he was a thief.Thats when hell broke loose.

Sasa, tell me how did this shopkeeper arrive at the conclusion that the local individual was a thief?...or is it that all locals are thieves as you would want us to believe?

I believe the store owner had a strong reason to suspect that the man was a thief. I mean why single him out of other locals? Why didn't he single you out? And why insist on it? I think there is more to the story than you are telling us.
 
The respect from Indian storeowners is long overdue...we are not demanding respect after whooping the shopkeeper.We had started demanding it way back when....and coz its not forthcoming then we resort to this.
Kisha hio hoja ya kusema our demands will never be met is not of our concern. Lessons will continue to be taught regardless maana we already know the inner character of the asian individual...he is oput ot despise other races!

Whatever you say. But I have already told you what violence against Indians will accomplish...zero! Those "lessons" will not be learned by any Indian store owner.
 
Not quite. Indians have brought modernization, aid, goods and services to East African countries. Let's not forget medical treatment provided to many in India when it is not available in their home countries. Forget the gratitude or thanks you clearly owe, just a little respect and no violence would be appreciated by many Indians.



I believe the store owner had a strong reason to suspect that the man was a thief. I mean why single him out of other locals? Why didn't he single you out? And why insist on it? I think there is more to the story than you are telling us.

Wee Manji we!!!! Strong reasons such as 1........., 2........, 3........, 4........
I did not know that Indians have the ability to determine who is about to commit crime. We're waiting to hear from you.
 
I disagree!

To suspect people just because of their skin color will not get us any closer to respecting each other, unless the offender is taught a lesson.



.

Now I am not even sure the skin color was ever an issue. If there were other Bantus in the store and the owner only suspected one, then perhaps there is a more to this story than Ab-Titchaz has led us to believe. Who knows.
 
Wee Manji we!!!! Strong reasons such as 1........., 2........, 3........, 4........
I did not know that Indians have the ability to determine who is about to commit crime. We're waiting to hear from you.

Reasons such as

1. The man putting items in his pocket

2. The owner believes the man has stolen from that store before

3. The man acts "suspicious"

The list goes on and on... Like I said who knows, I wasn't there and I definitely don't think we are getting the whole story from Ab-Titchaz.
 
Folks, you are all just arguing in circles with none other than self-proclaimed "Nigger Hater" Raj Patel. Trust me: you are all wasting your time and you can never win this because no amount of reason, evidence or logic will help in any debate with Banyan boy (unless of course you are only interested in showing off your English rhetorical skills).
 
Teh Teh Teh!!!!

Manji supporter acha ubishi wa kitoto!!! unawatetea wahindi si wabaguzi wakati S.Afrika wanapiga wabantu wenzetu??? eti wanakwiba kazi zao!!! Hawa wahindi wabaguzi sana, wangekuwa kama wabantu hasilani wasingebagua!!!!

Ubaguzi wa ntu uko moyoni si ktk ngozi yake!!!!
 
Not quite. Indians have brought modernization, aid, goods and services to East African countries. Let's not forget medical treatment provided to many in India when it is not available in their home countries. Forget the gratitude or thanks you clearly owe, just a little respect and no violence would be appreciated by many Indians.



I believe the store owner had a strong reason to suspect that the man was a thief. I mean why single him out of other locals? Why didn't he single you out? And why insist on it? I think there is more to the story than you are telling us.

Yaani we Manji supporter, hilo jina tu la huyo mtu linanitia kichefuchefu, hadi nataka kutapika..jamani acreeeee, holoooocccrrrrrrrrrrrrrrrr, ahahaweeeeeeeeeeeeeeeeekrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr.

Utasemaje Indians have brought modernisation in east africa? jamani, kweli tunakubali huyu mhindi atutukane hivihivi? hii aina ya manji na masapota wake ndo wana akili kama hizihizi. kusema kweli, anatutukana. kama hela wanazotumia ndo za maskendo ya rushwa na ufisadi uliosababisha ugomvi kati ya manji na Mengi kama mnakumbuka, wanachotusaidia ni nini?

Kuna siku ninyi wahindi watz, mtatembelea meno. angalieni mfano wa south africa, watu wakichoka huwa hawasikii kitu. kuna siku tukiwachoka, tutawatoa mkukumkuku huko kwenye magorofa ya kariakoo na upanga mnakojisaidia kwenye rambo na kuturushia sisi wapita njia chini, hadi mtashangaa. thanks. ushauri wa bure.
 
Duuu Kama Wao Hawatuonyeshi Utu Sisi Tuwafundishe Utu Si Kwa Kuwapiga Kama Tulivyo Ona Pichani
 
Not quite. Indians have brought modernization, aid, goods and services to East African countries. Let's not forget medical treatment provided to many in India when it is not available in their home countries. Forget the gratitude or thanks you clearly owe, just a little respect and no violence would be appreciated by many Indians.



I believe the store owner had a strong reason to suspect that the man was a thief. I mean why single him out of other locals? Why didn't he single you out? And why insist on it? I think there is more to the story than you are telling us.

Hey Raj, I know where you are trying to get to, so stop beating around the bush and get right to the point. You know we all love so much to hear that racialist IQ crap-talk of yours reminding us how inferior, worthless, dumb creatures Black people must be. It makes us all aspire to be like Banyans when we finally "grow up" and immigrate to India to live happily ever after in some wretched Bombay slum.

That said, I now wanna hear the role of race and IQ in all this ... for thats the only thing that really matters in any subject that has to do with race relations (like in this thread)
 
Man, don't tell me you're not sick of hearing that IQ claptrap from Raj? I know I am....but I kinda miss beating the shit out of him, though......I had to find another pastime after he disappeared.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom