Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 437
watu wakiwa kwenye misiba
watu wakiwa kwenye misiba
Unajua Mkwe wa Rais obama alibalisha kitu obama alipokwenda kutoa hotuba
View attachment 1259881View attachment 1259892View attachment 1259903View attachment 1259914View attachment 1259925View attachment 1259936
Rais Obama alikuwa busy na mkwe wa waziri mkuu wa Uingereza David Cameroon kuriko mke wake.Dakika za mwisho obama akashutuka na kumgeukia mke wake
Limbwata linafanya kazi aiseee, yaani Mama Michelle alivyonuna tu alikua anavuta mashetani ya Kiafrika, ghafla jamaaa akaondoka mwenyewe na yeye kawa ndio muongeaji. Safi Sana....just kidding dont take it too serious
Hahahaha!
Dah natamani na mimi ije siku nataminiwa na some intelligent powerful women. Yani niko turned on sana na intelligence kuliko hata wezere!
Yani wakati unakandamiza ile kitu na feel kama concurer kweli yani.
Mweke Condeleeza rice hapa na sijui rihanna pale na beba condeleeza.
With ALL DUE RESPECT!
Uko turned na INTELLIGENCE!!!!!!
mie mwenyewe ni powerful intelligent woman ujue
umeumia sana pole.naomba tutumie common sense kidogo kwa kujiliza haya: Hivi masuala ya obama na mkewe yanatuhusu nini ama yanakuhusu nini wewe mleta mada? Shughuli ama matatizo yao wanayajuwa wao wenyewe, hivyo tusipende kutumia watu mashuhuri kama vigezo vya raha na karaha za ndoa. Ni upuuzi mtupu tusipende kuiga kila tukionacho.
wE KASILIKA TU,pale watu wako kwenye msiba au.?Naomba tutumie common sense kidogo kwa kujiliza haya: Hivi masuala ya Obama na mkewe yanatuhusu nini ama yanakuhusu nini wewe mleta mada? Shughuli ama matatizo yao wanayajuwa wao wenyewe, hivyo tusipende kutumia watu mashuhuri kama vigezo vya raha na karaha za ndoa. Ni upuuzi mtupu tusipende kuiga kila tukionacho.
Duh...this was TOO MUCH! Pole sana Michelle.