Mhhhh!!! ni ugomvi au

Utingo

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
10,270
8,031
155480_10150320456125191_527845190_15982938_4146284_s.jpg
 
Mhhhhh!...... Labda Punda alikatiza kati ya miguu yake? Ama Twiga yuko peke yake? Mh! Sijui!:llama:
 
Kwa binadamu ni even worse kwani unasikia binadamu kaingilia kuku/mbwa nk Twiga ameona ajivingari na mwana punda mtoto wa punda.
 
Hapo ni ngumu kuelewa kilichotokea,kuna sababu nyingi za hali hiyo kutokea na zaidi inaweza kuwa ajali kuliko tunavyodhani
 
Back
Top Bottom