Elections 2010 Mheshmiwa Dr. Augustino Lyatonga Mrema ni mfano wa kuingwa!

MAFILILI

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
2,377
1,194
Wana JF naxchukua fursa hii kuwakumbusha uongozi wa uadilifu wa Dr. Lyatonga Mrema katika kamati ya serikali za mitaa kwa namna anavyotekeleza majukumu yakeb tofauti na watangulizi wake katika kamatii husika, Akiwemo Dr. Slaa ambaye katika kipindi chake hakuwa na uthubutu wa kuwakata mishahara watumishi wa local govt. Kwa haraka haraka inaonyesha Mheshmiwa Dr. Mrema amerudisha nidhamu kwa watumishi wa serikali za mitaa kuhusu kuingia mikataba.
 
Wana JF naxchukua fursa hii kuwakumbusha uongozi wa uadilifu wa Dr. Lyatonga Mrema katika kamati ya serikali za mitaa kwa namna anavyotekeleza majukumu yakeb tofauti na watangulizi wake katika kamatii husika, Akiwemo Dr. Slaa ambaye katika kipindi chake hakuwa na uthubutu wa kuwakata mishahara watumishi wa local govt. Kwa haraka haraka inaonyesha Mheshmiwa Dr. Mrema amerudisha nidhamu kwa watumishi wa serikali za mitaa kuhusu kuingia mikataba.

The gospel - according to Magogoni! they even awarded him a doctorate:)
 
(wewe MAFILILI) mi kwa mawazo yangu we unatakiwa kuwa BAN haraka sana mpk hv sana huna wazo lolote la ku2shirikisha. Pu*****u weee!!!! Mambo ya Mrema aliyepoteza dira unaleta humu. NENDA KWENYE FACEBOOK na bila shk utakutana na wenzio. Shenziiii sana!
 
Mkuu wangu,
Unakata mishahara ya viongozi wa Halmashauri wakati wewe mwenyewe unachukua mabillioni ya kodi za wananchi?..Unajua ni posho kiasi gani huyu jamaa anavuta kwa kutunga safari kila kukicha..Na kama hujui, makosa sii mishahara mikubwa tu bali matumizi mabaya ya fedha za serikali na hesabu kubwa ya wafanyakazi wasiokuwa na tija wala ufanisi wa kazi haya ndio matatizo makubwa la Halmashauri zetu.

Hizi Halmashauri hawategemei mishahara na hakika kwa kufanya hivyo ndio utazidi zaidi kwa sababu hawa unaowakata mishahara lazima watavuta fedha zilizokuwa allocated ktk ujenzi wa miradi, ili hali kuyawezesha maisha yao waliyozoea miaka yote.

Kupunguza mishahara ya wa tu sio solution wala sii jambo zuri ikiwa hakuna usimamiaji mzuri wa malipo ya utekelezaji wa miradi ya serikali...Zahanati au shule ilojengwa kwa millioni 2 itajaziwa lisiti za malipo ya millioni 10.. Tena basi tushukuru kama itajengwa na mwisho wa siku hakuna surplus wala anything worth the money ktk halmashauri zote - Lipi zuri la kujisifia?
 
Mnafiki mkubwa huyo hadi sasa hajafanya lolote ambalo waliomtangulia hawajakiafanya zaidi yeye kukimbilia kwenye vyombo vya habari.Kama haujui kwanza uliza usilikikie treni kwa mbele .
 
Mnafiki mkubwa huyo hadi sasa hajafanya lolote ambalo waliomtangulia hawajakiafanya zaidi yeye kukimbilia kwenye vyombo vya habari.Kama haujui kwanza uliza usilikimbilie treni kwa mbele .
 
Wana JF naxchukua fursa hii kuwakumbusha uongozi wa uadilifu wa Dr. Lyatonga Mrema katika kamati ya serikali za mitaa kwa namna anavyotekeleza majukumu yakeb tofauti na watangulizi wake katika kamatii husika, Akiwemo Dr. Slaa ambaye katika kipindi chake hakuwa na uthubutu wa kuwakata mishahara watumishi wa local govt. Kwa haraka haraka inaonyesha Mheshmiwa Dr. Mrema amerudisha nidhamu kwa watumishi wa serikali za mitaa kuhusu kuingia mikataba.

Nakubaliana na wewe kuwa ni mfano wa KUINGWA (japo sijui maana yake), ila kama una maana ya mfano wa kuigwa then a very BIG NO.
 
Binge halina mamlaka ya kumpandisha au kumkata mshahara mfanyakazi yeyote wa serikali
 
(wewe MAFILILI) mi kwa mawazo yangu we unatakiwa kuwa BAN haraka sana mpk hv sana huna wazo lolote la ku2shirikisha. Pu*****u weee!!!! Mambo ya Mrema aliyepoteza dira unaleta humu. NENDA KWENYE FACEBOOK na bila shk utakutana na wenzio. Shenziiii sana![/QUOTE]

Wewe akili yako ya KIJINGA, toa hoja siyo kukurupuka usingizi ukiwa uchi baada ya kusikia nje kuna mayowe, rudi ndani ukavae nguo ndipo uungane na sisi. Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!! Dr. Mrema kwa kipindi kifupi ameweza kuja na utaratibu ambao unawafanya wafanyakazi wa halmashauri warudi katika mfumo wa VALUE FOR MONEY
 
Wana JF naxchukua fursa hii kuwakumbusha uongozi wa uadilifu wa Dr. Lyatonga Mrema katika kamati ya serikali za mitaa kwa namna anavyotekeleza majukumu yakeb tofauti na watangulizi wake katika kamatii husika, Akiwemo Dr. Slaa ambaye katika kipindi chake hakuwa na uthubutu wa kuwakata mishahara watumishi wa local govt. Kwa haraka haraka inaonyesha Mheshmiwa Dr. Mrema amerudisha nidhamu kwa watumishi wa serikali za mitaa kuhusu kuingia mikataba.


umaarufu wa mrema (na wenzake kina cheyo, hamad rashid, maalim seif, lipumba) uliporomoka pale alipogundulika kuwa ni mmoja wa mamluki wa ccm waliojifanya wapinzani ili kuihadaa dunia na ulimwengu kuwa tanzania kuna demokrasia ya vama vingi.
 
yan dk hamfikii lyatonga hata nusu kunatofaut ya domo ns jszba na hoja ya historia ya utendaji ,pia pamoja na kuwa na ndoa na kuieshimu,aliesalit kiapo cha mungu kwetu sisis wanadamu atafanyege? fikiria mara 2 njoo ccm
 
Uvundo........:A S 103: Mrema ni mfano wa kuigwa kwa kuwakata mishahara wafanyakazi!!!!!!!!!!!1% out of 99%ya mabaya aliyofanya,wewe unasema kishabiki na kwavile ni mwana magamba mwenzio huoni wala husikii huyo huyo mrema aliyesambaratisha vyama vya siasa vilivyokuwa na mafanikio hapa nchini!!!!kujipendekeza na kutafuta sifa tuu,kwani hata wakikatwa mishahara then wewe unaona kamaliza kazi????mawazo finyu nenda kapige mswaki.
 
Wana JF naxchukua fursa hii kuwakumbusha uongozi wa uadilifu wa Dr. Lyatonga Mrema katika kamati ya serikali za mitaa kwa namna anavyotekeleza majukumu yakeb tofauti na watangulizi wake katika kamatii husika, Akiwemo Dr. Slaa ambaye katika kipindi chake hakuwa na uthubutu wa kuwakata mishahara watumishi wa local govt. Kwa haraka haraka inaonyesha Mheshmiwa Dr. Mrema amerudisha nidhamu kwa watumishi wa serikali za mitaa kuhusu kuingia mikataba.

Brain kama ya dovutwa


images
 
Mrema ni dk.juha kama kiongoz wake mkuu. Amekuwa kama asiyeelewa majukumu yake. Ikumbukwe wazi kuwa lyatonga aelewi majukumu yake,kwa sasa badala ya kuongoza kamati anajifanya Internal Auditor. Kwa kuwa ni mpiga kura wa rais basi anadhani anaweza kumburuza mtu awezavyo. Mf.hamna sheria ya kumkata mfanyakazi mshahara,yeye anaitoa wapi. Nakwambia siku ajichanganye aje kunikata mimi 15%atapambana na sheria. Kwanza mshahara wangu ni siri yangu na mwajiri wangu. Pia mrema akiamua kukata mshahara,inabidi akate na kodi,na PAYE lazima ipungue,sasa sarakasi zitakuja pale ntakapokuta PAYE iko pale pale,alaf nimuulize akikata mshahara ela anaipeleka a/c ipi na wapi? Je alishawahi kuiomba hazina kisheria ijenge a/c ya marejesho ya mshahara au anaenda kuifisadi? Je ikirudi inaenda kumlipa nani na kwa yield ipi? Mrema anachukulia mambo rahisi ila kwa elimu yake tutamwona poa tu. Jaman nchi ina utawala wa sheria bwn,mrema si sheria ila anapaswa afuate sheria za nchi,hatulindi ubadhirifu ila mrema ajifunzi kuwa na akili na hekima.
 
Wana JF naxchukua fursa hii kuwakumbusha uongozi wa uadilifu wa Dr. Lyatonga Mrema katika kamati ya serikali za mitaa kwa namna anavyotekeleza majukumu yakeb tofauti na watangulizi wake katika kamatii husika, Akiwemo Dr. Slaa ambaye katika kipindi chake hakuwa na uthubutu wa kuwakata mishahara watumishi wa local govt. Kwa haraka haraka inaonyesha Mheshmiwa Dr. Mrema amerudisha nidhamu kwa watumishi wa serikali za mitaa kuhusu kuingia mikataba.

Kamnunulie mbege kata moja basi kama unampongeza kweli
 
Mtu anakula/anapoteza milioni 200 halafu unasema suluhusho zuri ni kukata asilimia 15% ya mshahara wake ambao ni vilaki vichache? Hapo ndo huwa nashindwa kuelewa kama kuna utashi wa kutatua matatizo haya ya ubadhirifu. Ni viinimacho tu hivi. Wanaosifia wasifie tu ila mimi siwezi.
 
Pale mtu akifanya jambo la msingi na la maendeleo kwa taifa anastahili pongezi! Mrema amejitahidi sana kusimamia matumizi mazuri ya fedha za serikali za mitaa! Tatizo watu hampendi kuona Slaa anakosolewa
 
umaarufu wa mrema (na wenzake kina cheyo, hamad rashid, maalim seif, lipumba) uliporomoka pale alipogundulika kuwa ni mmoja wa mamluki wa ccm waliojifanya wapinzani ili kuihadaa dunia na ulimwengu kuwa tanzania kuna demokrasia ya vama vingi.

Je umaarufu wa Dr Slaa umetokana na nn? Siasa za majitaka au kuzomea ama maandamano ? Hana historia ya siasa ktk nchi hii ukilinganisha na hao wengine, kilichompa umaarufu ni bunge akiwa M/kiti wa kamati aliyepo Mrema na aliyemtengenezea umaarufu zaidi ni Spika Sitta !!! UNABISHA??? Kuporomoka kwa hao wengine si kwa sababu ya kugundulika ushiriki wao kwa ccm bali ni alama za nyakati! Angalia sana usiwe unalaumu holiscally!!! Nanai anaihadaa dunia kwa faida ya nani? Demeokrsaia ya vyama vingi ni mfumo kwa nyakati hizi na SItta aliusimamia ndiyo maana akchaguliwa Rais wa Commonwealth Spikas!!!!
TAKE NOTE!!!
 
Pale mtu akifanya jambo la msingi na la maendeleo kwa taifa anastahili pongezi! Mrema amejitahidi sana kusimamia matumizi mazuri ya fedha za serikali za mitaa! Tatizo watu hampendi kuona Slaa anakosolewa
:tonguez:BIG-UP!!! Ni busara na hekima kuu kana kwamba Mrema anaendeleza yale aliyoanazisha Dr Slaa kwa sababu ya kuguswa na Imani zao na umuhimu wa roho ya ubinadamu! Natamani sana kama Bunge ingewezekna aongezewe nguvu ili kuwabana wezi ktk Hmsahuri zetu pamoja na kurudisha fedha zetu hao ni mchwa wanakula hadi bati!! Nchi hii inahitaji watu kama akina Mh.Lyatonga,Sitta,Dr Slaa,Mwakyembe,Magufuli ambao ni committed na ambao ni honest to our beloved country!!!
I SALUTE LYATONGA AND OTHER COMMITED FELLOWS!!!!!:A S 103:
ALAMSIKI!!!!
 
Back
Top Bottom