Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Wanandoa nimeona hili sasa ni kansa ya jamii
hivi ni kwanini unaamua kumcheat mwenzio wakati mwenzio\
hana hata hilo wazo kama kuna tatizo mnashindwa kumalizana\
je kutoka nje ya mahusiano ni soln ya matatizo....hapana
jaribuu kujitunza hata kama uliwahi kufanya acha tafuta soln ya
matatizo yako na si kuongeza matatizo kwa kufikiri unapunguza matatizo
nawatakia mahusiano mema wana ndoa/waachumba n wote watarajiwa
XMASS NJEMA
hivi ni kwanini unaamua kumcheat mwenzio wakati mwenzio\
hana hata hilo wazo kama kuna tatizo mnashindwa kumalizana\
je kutoka nje ya mahusiano ni soln ya matatizo....hapana
jaribuu kujitunza hata kama uliwahi kufanya acha tafuta soln ya
matatizo yako na si kuongeza matatizo kwa kufikiri unapunguza matatizo
nawatakia mahusiano mema wana ndoa/waachumba n wote watarajiwa
XMASS NJEMA