labda kejeli ni kwa "mtu mzima kuambiwa aombe msamaha na akiri kosa" si unajua tamaduni kwamba mtu mzima haambiwi kaj**ba?
aidha inategemea barua iliandikwa kwa nani. yaani spika au mh. sita. sasa kama iliandikwa kwa spika na ikawa imefikishwa ofisi ya spika na kupokelewa na haikuwa imeandikwa "siri/confidential" itabidi tujiulize ni nani aliyeivujisha kwenye vyombo vya habari?
nakumbuka zitto alipoiweka barua hapa jf alisema nia ni kuwapa wanachama kile chote alichoandika badala ya wanatu kutegemea nusu habari za magazeti
Mkuu la kuongeza hapo sina, ukweli uko wazi barua ilisha sambaa magazetini ndo Zitto kuiweka hapa, sasa?