Sisi wagoma huna haja ya kufukuza kwani historia inaonyesha hatuchelewi kususa na kurudi CCM mfano: Dr Kabouru,Nsanzugwanko,Kiffu Gulam Husein na Kafulila anafuata, CDM watakuwa wehu wakifukuza mtu anayesubiri muda aondoke kwa gharama zake!
Ukitaka kuona chadema kitakavyokufa vibaya wamfukuze Zitto halafu kama hata wiki itapita