Mheshimiwa Zitto Kabwe aache siasa za kuchanganya wapiga kura.

Ungonellawa ukweli ZZK aliposaini petitin waziri mkuu aliondolewa? Kumbe hata sanaa kidogo huziengi?
 
Vitu ambavyo hujadiliwa sana mara nyingi huwa na pande nyingi sana za kuzielezea

Hta hivyo nikichukulia kuwa kauli yako ni kweli (kitu ambacho siamini) then kwa kweli jamaa ni mbishi na haelewi somo.

Nikiichukulia kuwa sio sahihi ndio pale pale tunaporudi kwenye post yangu ya kwanza kuwa anakuwa underestimated. Na huo ndio mtazamo wangu. Kuwa he knows exactly what he is doing na haya matokeo ya lawama, making headlines na mikanganyiko anaelewa kabisa nini anafanya na kwa nini...

Precisely, mtu awezi akawa anarudia matamshi yaleyale akijua watu watakuja na majibu yaleyale ya katiba aimruhusu na wala si muda wake.

Isipokuwa anachojuwa atapewa support ya wale wanaompenda, matusi kwa wasiompenda na kuwapa butwaa wale wanaoelewa why does he need to remind us of his ambitions all the time wakati anajua wazi katiba aitokurusu uchaguzi ujao.

He is well connected may be he knows some of the outcome ya hiyo katiba ijayo ndio sababu za kuanza uchokozi wake tena, either way dhamira yake ya uraisi inatia mashaka sana, especially hakijua reaction zitakazofuata. Ndipo hapo wengi hatuelewi why repeat the same talk all the time knowing the reaction.

Au kuna kitu anataka kusema kuhusu mfumo wa CDM na demokrasia ya ndani, only ZKK knows.
 
Sehemu yoyote ile unapokuwa kwenye chama cha siasa, na labda una lengo la kupanda kwenda kwenye uongozi au juu zaidi, ni lazima utaomba baraka za wanachama wenzako na wakiridhia basi utapanda jukwaani na utaimba nyimbo zako na watu wote watakuunga mkono.
 
Vitu ambavyo hujadiliwa sana mara nyingi huwa na pande nyingi sana za kuzielezea (in terms of schools of thoughts za makundi mbali mali); Inawezekana kauli yako ni kweli... Na pia inaweza kuwa sio kweli kutegemeana na mtazamo wa mwingine. Na hapo hapo kunaweza kuwa na mwingine na maelezo mengine kabisa...

Hta hivyo nikichukulia kuwa kauli yako ni kweli (kitu ambacho siamini) then kwa kweli jamaa ni mbishi na haelewi somo. Nikiichukulia kuwa sio sahihi ndio pale pale tunaporudi kwenye post yangu ya kwanza kuwa anakuwa underestimated. Na huo ndio mtazamo wangu. Kuwa he knows exactly what he is doing na haya matokeo ya lawama, making headlines na mikanganyiko anaelewa kabisa nini anafanya na kwa nini...

kama kweli anajua anachokifanya bac ana dhamira ya kubomoa chama chake na pia hana dhamira ya dhati ya kutaka urais, kwa sababu ukiangalia kwa makini maelezo yake yana utata, mfano zzk anasema anatakiwa kugombea urais inatakiwa ni yule aliyezaliwa baada ya uhuru, huu ni ubaguzi wa wazi, sentensi hii tu ccm wanaweza wakatumia kama mtaji! Pia zzk anasema hatagombea ubunge na kwamba kama chama hakitampitisha atakuwa mpiga debe wa mgombea urais wa chama chake, je mathalani cdm wakampitisha mtu aliyezaliwa kabla ya uhuru je yeye zzk ataendelea kuwa mpiga debe? Wakati ni tofauti na msimamo wake?
 
Sehemu yoyote ile unapokuwa kwenye chama cha siasa, na labda una lengo la kupanda kwenda kwenye uongozi au juu zaidi, ni lazima utaomba baraka za wanachama wenzako na wakiridhia basi utapanda jukwaani na utaimba nyimbo zako na watu wote watakuunga mkono.
Ndivyo ilivyo ridhaa lazima itokee chamani, na chama lazima kiwe na wa mfumo ushindani, pengine kajaribu ndani kama kuna mtu anataka kumtetea sababu zake na kaona mfumo unabana kwa ndani ndio sababu za kutafuta support ya outside the elites within the party.

Even that still begs the question of katiba amabyo aimruhusu, why anarudia haya mambo.
 
Mimi kama mfuatiliaji nimeangalia mwendo wa mwanasiasa huyu.

Sasa nionavyo kuhusu mheshimiwa Zitto ni kwamba ni mwanasiasa pekee ambae anaweza kusimamia kwenye ukweli na kukapatikana masuluhisho ambayo ni kwa faida ya wote.

Kutokana na hilo basi, ameweza kulichangamsha bunge la Tanzania ambalo lina baadhi ya wabunge ambao husinzia humo.

Lakini mheshimiwa Zitto ana mapungufu mawili:

Kwanza, ni kauli zake hukingana na haelewi anataka nini, na matokeo yake unakuwa unawagawa wanasiasa au wafuasi wake katika makundi na wasifahamu msimamo na malengo wako. Hii kwa kiingereza inasemwa "Polarizing", na ni hatari sana kwani hapo wale wafuasi wenye nia mbaya wanakuwa wanakuingia kwa urahisi- hapa namaanisha wafuasi wa CCM ana CHADEMA.

Pili, ni mtu ambae anapokuja na kauli kama hii ya kuhusu katiba anakuwa hajaitafakari kiundani. Huwezi ukasema wagombea wa uraisi wawe ni wale waliozaliwa baada ya uhuru. Hii kauli haiwezi kusemwa hata kule kwa wale mabingwa wa demokrasia. hapa ameshindwa kuonyesha uwezo wake wa kujenga hoja na akawasiliana vizuri na watu wengi jambo ambalo ni hatari.
 
Sehemu yoyote ile unapokuwa kwenye chama cha siasa, na labda una lengo la kupanda kwenda kwenye uongozi au juu zaidi, ni lazima utaomba baraka za wanachama wenzako na wakiridhia basi utapanda jukwaani na utaimba nyimbo zako na watu wote watakuunga mkono.

Nawakumbuka wakati ningali mtoto mdogo watu mashuhuri katika serikali ya Nyerere ambao majina yao yalikuwa makubwa wakiwa bado vijana kabisa. Watu hao ni akina Benjamin Mkapa ambaye aliwahi kuwa katibu wa Rais Nyerere licha ya kazi nyingine nyingi alizofanya akiwa pia mhariri wa Daily News. Piaus Msekwa ambaye alikuwa pia katibu wa Nyerere. Watu hawa walijitahidi kuwa na subira na kufikiria muda ukifika kama ni haki yao watafanikiwa kupata.

Wote wawili wamejaribu lakini aliyefanikiwa ni Mkapa. Ndicho ninachomtakia Zitto, wakati ni ukuta usilazimishe, subira ipo siku nafasi kama anafaa haitamtupa mkono, halini hii haraka haraka ya papo kwa papo ina walakini.
 
kama kweli anajua anachokifanya bac ana dhamira ya kubomoa chama chake na pia hana dhamira ya dhati ya kutaka urais, kwa sababu ukiangalia kwa makini maelezo yake yana utata, mfano zzk anasema anatakiwa kugombea urais inatakiwa ni yule aliyezaliwa baada ya uhuru, huu ni ubaguzi wa wazi, sentensi hii tu ccm wanaweza wakatumia kama mtaji! Pia zzk anasema hatagombea ubunge na kwamba kama chama hakitampitisha atakuwa mpiga debe wa mgombea urais wa chama chake, je mathalani cdm wakampitisha mtu aliyezaliwa kabla ya uhuru je yeye zzk ataendelea kuwa mpiga debe? Wakati ni tofauti na msimamo wake?

Hahaha, usipoangalia vizuri utashangaa baadaye kuona kichwani ni ubongo ni tifutifu kama kisma chama maji ambacho maji yake yamechanganyika na udongo, sasa unapochata hujui kama ndanio unachota viluwiluwi ambavyo ni watoto wa chura vinavyoogelea kisimani.

Anahitaji tiba ubongo utulie kama maji yakisima yanavyohitajika kutulia ili udongo utulie sakafuni ndiop maji maangavu yabaki juu ndopo unaweza kuona kila kitu vizuri ndani ya kisima na kusukumia kando viluilui ili kupata maji safi.
 
sikiliza..mtu yeyote anaruhusiwa kugombea...ila kwa muda muafaka..kipindi hiki chadema wanajenga chama na si mambo ya uraisi
 
Both ccm and cdm waache kufikiria urais saivi, hivi wanajua kuna baadhi ya sehemu ya nchi hii hawajawahi kuona nguzo ya umeme au bomba la maji?
 
wamekimbia kwenye ule uzi wa kauli ya mtei baada ya kuona wameshindwa kumchafua zito.
Kaja kuanzisha mada nyingine kutimiza malengo.

Maswali rahisi ya kujiuliza, ni kipengele kipi cha katiba ya cdm ambacho zito amekikiuka?

Mlimnyima asigombee uenyekiti, akakubali kwa maslahi ya chama, leo mnamnyima tena asigombee uraisi, demokrasia inayohubiriwa na cdm iko wapi?

Kama mtei anakipenda chama na hataki mpasuko utokee, kwa nini anapingana na zito kwenye media na sio kwenye vikao halali vya chama?

Mtei anafanya hivyo kwa maslahi ya nani?

Zito amesema ataomba idhini ya chama na asipo ruhusiwa atampigia kampeni mgombea atakae pitishwa na chama, huo ubinafsi hapo uko wapi?

Mbona mnamuhofia sana zito, kwanini msiache demokrasia ifanye kazi yake?
mwambieni huyo zitto na kimbelembele chake ahame cdm tuone kama ataendelea kuonekana katika nyanja ya siasa.chama ndo kinambeba huyu jamaa ingawa yeye anajiona mungu mtu.lazima aheshimu taratibu.aache kiherhere kama mkojo wa asbh.kamwe hataweza kuivuruga chadema kama anavyodhani.mnafiki mkubwa huyu
 
Ukitaka kuona chadema kitakavyokufa vibaya wamfukuze Zitto halafu kama hata wiki itapita
 
Sio vibaya na si ajabu mtu kueleza fikra zake na hisia zake! Lakini muda ma mazingira ni muhimu sana! Angekuwa ameliuza wazo hili kwa makada wenzake kwa utaratibu unaokubalika na wakati muafaka ingeingia akilini. Kitendo cha yeye (ZZK) kuuza wazo hili wa watu ambao hawahusiki kwa namna yoyote na nomination ya candidates kwenye chama chake tena kwenye mazingira na muda ambao sio muafaka, ni kutaka kuwatoa watu kwemye concentration ya mambo ya msingi (kujenga chama kwa sasa)! Hii inaweza kusababisha vurugu!
 
Zitto hana haja ya urais wala nini. Anafanya kazi aliyopewa na Usalama wa Taifa kuvuruga vyama vya upinzani. Zitto hajawahi kupigania maslahi ya nchi zaidi ya yake binafsi. Kwa tunaomjua, Zitto hana tofauti na akina Mrema, Seif, Mbatia, Kafulila, Cheyo, Kaboro na nyemelezi wengine wengi ambao watafanya lolote ili kupata tonge mdomoni. Hivyo, msihangaike na Zitto bali CCM ambao wamempandikiza hapo.

Another silly season for ZZK. Akikua ataacha.
 
nia ya zito 2mesha ielewa kwani ana2miaka na hao jama wa magamba mm napta wasiwasi,yy na shibuda 2waweke kwenye fungu gani huyo ni mfa mjai mashiko yake kisiasa yameanza kushuka na hako kamtanda ka hawa jamaa wa kigoma 2takimaliza kisiasa
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom