GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,455
- 108,581
"Namshukuru sana Rais aliponiamini na kuniteua kuwa Mkuu wa DSM, mpaka leo hii nakabidhi ofisi kwa RC mpya,...nitaamka hata saa tisa za usiku katika mapambano ya kumlinda Rais,..sio vizuri kumchezea Dkt. Magufuli mkahisi Makonda hatamtetea kwa kuwa hayuko kwenye kiti cha ukuu wa mkoa,..ingekuwa ni jeshini ningekuwa nina medani za kivita....ni askari mmoja aliyepo benchi la nyuma lakini mwenye uwezo mkubwa wa kupigana vita yoyote ile. Kwa hiyo Mh RC,.... Mambosasa na timu yenu mkihitaji uzoefu wangu katika mapambano ya kumlinda Dkt.John Pombe Magufuli, hata kama ni saa 9 usiku nitaamka...kwangu yeye ni zaidi ya cheo na ni baba".
Habari Star TV Tanzania
Kwa mbali sasa nami naanza Kuuona Moshi Mweupe kwa wale Wahusika Wakuu waliotuondolea Machoni Mwetu upesi akina Ben na hadi Azory pia.
Habari Star TV Tanzania
Kwa mbali sasa nami naanza Kuuona Moshi Mweupe kwa wale Wahusika Wakuu waliotuondolea Machoni Mwetu upesi akina Ben na hadi Azory pia.