Usikonde mambo yanakwenda vema si una mlengo wenyewe.
Achilia mbalia na tatizo la kitaswila,kiukweli maharusi walipendeza mnooo
Msanii wa kizazi kipya kutoka kundi la TMK Wanaume Family, Mh. Temba Jumamosi iliopita aliamua kuchukua uamuzi mzito kwa kuchukua jumla na kufunga nae ndoa katika kanisa la Azania Front jijini Dar. Picha kwa hisani ya Abdallah Mrisho
Damn mbona kama bibie mileage imekwenda?......yule anita mkali than huyu......Sijajua kazi ya msimamizi wa harusi baada ya harusi......yaani Banana Zoro baada ya hii harusi.....Hongera Tonya...Hata Matonya naye kafanya kweli,,,,,
Ama hakika walipendeza sana.Pichani toka shoto ni mpambe wa bwana harusi Banana Zorro,Bwana harusi Matonya na mkewe wakiwa wameweka pozi hai tebo.
Nyoshi el sadaat aliwahi kuulizwa swali hili akajibu " Lazima ijulikane kama ni ya dukani"Sasa mbona hawakutoa lebo kwenye suti?! .... halafu hili tatizo nimeliona kwa watu wengi Bongo; sijui wanaziacha lebo kwa makusudi au ndiyo kutoelewa!!
Hongera Sana Mh Temba!!Anafaa kupongezwa Amani Temba A.K.A Mheshimiwa Temba.....
Nampa five anajua kuchagua kitu kimetulia si kitoto babake.
Kwanini sasa ameamua kuoa?Anafaa kupongezwa Amani Temba A.K.A Mheshimiwa Temba.....
Nampa five anajua kuchagua kitu kimetulia si kitoto babake.