mcfm40
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,452
- 3,150
Ndugu Spika,
Kwa kuwa hakuna ugomvi kati ya Rwanda na Tanzania bali kuna ugomvi kati ya Kikwete na Kagame;
Na Kwa kuwa ugomvi huu umeanza kubadilishwa na kulazimishwa uwe ugomvi kati ya Tanzania na Rwanda;
Na kwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje ndio amekuwa mstari wa mbele wa kuchochea ugomvi huu kwa kuropoka ovyo badala ya kuutafutia utatuzi wa kidplomasia, badala yake anawashangilia wabunge wenzake wakati wakiiponda nchi jirani;
Na kwa kuwa watanzania hatutaki mgogoro huu uendelee na hatutaki kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine, yasije yakatupata yale ya Kenya na Alshabab;
Na kwa kuwa uongozi wa Kikwete ukimaliza muda wake huu mgogoro ungeisha rasmi kwa sababu kimsingi upo baina ya watu wawili zaidi na sio nchi;
Na kwa kuwa Membe anataka kugombea urais wa tanzania mwakani;
Na kwa kuwa ikitokea Membe akipata urais wa JMT huu mgogoro utaendelea kutokana na matamshi yake ambayo amekuwa akiyatoa kuhusu Rwanda;
Natoa hoja kwamba kwa maslahi ya kurejesha uhusiano mzuri na majirani zetu hawa na kwa usalama wa Taifa Ndugu MHESHIMIWA BERNAD KAMILIUS MEMBE ASIRUHUSIWE KABISA KUGOMBEA URAIS WA NCHII HII KWA SASA.
Mheshimiwa Spika Anne Makinda, Naomba kutoa hoja!
Kwa kuwa hakuna ugomvi kati ya Rwanda na Tanzania bali kuna ugomvi kati ya Kikwete na Kagame;
Na Kwa kuwa ugomvi huu umeanza kubadilishwa na kulazimishwa uwe ugomvi kati ya Tanzania na Rwanda;
Na kwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje ndio amekuwa mstari wa mbele wa kuchochea ugomvi huu kwa kuropoka ovyo badala ya kuutafutia utatuzi wa kidplomasia, badala yake anawashangilia wabunge wenzake wakati wakiiponda nchi jirani;
Na kwa kuwa watanzania hatutaki mgogoro huu uendelee na hatutaki kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine, yasije yakatupata yale ya Kenya na Alshabab;
Na kwa kuwa uongozi wa Kikwete ukimaliza muda wake huu mgogoro ungeisha rasmi kwa sababu kimsingi upo baina ya watu wawili zaidi na sio nchi;
Na kwa kuwa Membe anataka kugombea urais wa tanzania mwakani;
Na kwa kuwa ikitokea Membe akipata urais wa JMT huu mgogoro utaendelea kutokana na matamshi yake ambayo amekuwa akiyatoa kuhusu Rwanda;
Natoa hoja kwamba kwa maslahi ya kurejesha uhusiano mzuri na majirani zetu hawa na kwa usalama wa Taifa Ndugu MHESHIMIWA BERNAD KAMILIUS MEMBE ASIRUHUSIWE KABISA KUGOMBEA URAIS WA NCHII HII KWA SASA.
Mheshimiwa Spika Anne Makinda, Naomba kutoa hoja!