Hewa mkaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 742
- 377
Tumeshuhudia mzee Sitta akiwa ziarani huko Karagwe. Eti alisimikwa kuwa kiongozi wa Wanyambo. Hivi ni kweli au iliktwa comedy. Wazee wa kinyambo hasa sikuwaona ila tu wana siasa wa ki-CCM. Inaweza kuwa mbinu za kisiasa?
Maeneo ya pembezoni hawapati kuona viongozi mara kwa mara hivyo watu hukusanyika kwa wingi wanaposikia fulani kaja. Je CCM wameliona hili wapate kupigwa picha zenye kuonyesa umati mkubwa baada ya kuna wanakataliwa mjini?
Maeneo ya pembezoni hawapati kuona viongozi mara kwa mara hivyo watu hukusanyika kwa wingi wanaposikia fulani kaja. Je CCM wameliona hili wapate kupigwa picha zenye kuonyesa umati mkubwa baada ya kuna wanakataliwa mjini?