Mheshimiwa sana, mbona wakati watu wanajiuzulu na kusababisha chaguzi za marudio hukuwahi kuona umuhimu wa kukemea ili tuokoe fedha za walipa kodi?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,013
144,371
Mheshimiwa Baba,wakati watu wanajiuzulu ili kuunga mkono juhudi, na kusababisha tuingie kwenye chaguzi za marudio, wako watu wengi walipaza sauti kupinga vitendo vile kwasababu mbalimbali mojawapo ni kuingiza Taifa hasara ya mabilioni kutokana na chaguzi katika maeneo/majimbo yao kurudiwa ili kujaza nafasi zao.

Wakati wazalendo mbalimbali wakipinga chaguzi zile,wewe mwenyewe na mashabiki wa chama chako, hatukuwahi kuwasikia mkikemea watu kujiuzulu ili tuokoea fedha za walipa kodi bali tulijibiwa hiyo ndio gharama ya demokrasia.

Sasa Mheshimiwa kwa hali hiyo, leo unapotaka watu wasijitokeza kuku-challenge ili kuokoa gharama,ina maana leo ndio umeguswa na gharama za uchaguzi na huko nyuma hukuguswa na gharama hizo?

Mheshimiwa, nini hasa unachoamini na kusimamia katika hili au labda wamekunukuu vibaya?
 
Nimemshangaa sana. Anaogopa sana kupingwa huyu. Sijui kwa nini
Na woga wake wa kuogopa kupingwa ndo uliopelekea chama chake waprint fomu moja tu ya kuomba kuteuliwa.
Bila shaka aliwashinikiza viongozi wenzake hakuna yeyote wa kuchukua fomu.
 
Tukisema jamaa ni mnafiki hata hamtuelewi, sijui CCM mlitutolea wapi hili janga. Hajawahi kusimamia kitu kimoja hata siku moja. Muongo, manipulator, mbaguzi, ana roho mbaya, ana kisasi, ana double standars, mpenda masifa asiyodeserve, yaani sifa zote mbaya za kwake.
 
Wakati wazalendo mbalimbali wakipinga chaguzi zile,wewe mwenyewe na mashabiki wa chama chako, hatukuwahi kuwasikia mkikemea watu kujiuzulu ili tuokoea fedha za walipa kodi bali tulijibiwa hiyo ndio gharama ya demokrasia.
Hivi unaweza kukataza watu wasijiuzulu chadema?
 
Mheshimiwa Baba,wakati watu wanajiuzulu ili kuunga mkono juhudi, na kusababisha tuingie kwenye chaguzi za marudio, wako watu wengi walipaza sauti kupinga vitendo vile kwasababu mbalimbali mojawapo ni kuingiza Taifa hasara ya mabilioni kutokana na chaguzi katika maeneo/majimbo yao kurudiwa ili kujaza nafasi zao.

Wakati wazalendo mbalimbali wakipinga chaguzi zile,wewe mwenyewe na mashabiki wa chama chako, hatukuwahi kuwasikia mkikemea watu kujiuzulu ili tuokoea fedha za walipa kodi bali tulijibiwa hiyo ndio gharama ya demokrasia.

Sasa Mheshimiwa kwa hali hiyo, leo unapotaka watu wasijitokeza kuku-challenge ili kuokoa gharama,ina maana leo ndio umeguswa na gharama za uchaguzi na huko nyuma hukuguswa na gharama hizo?

Mheshimiwa, nini hasa unachoamini na kusimamia katika hili au labda wamekunukuu vibaya?
Upotolo sana Mnyegezi yule, anaendesha familia kwa Kiki. Mara amuige Hamorapa, Mara amuige Pierre Liquid, Sasa ameishiwa wa kumuiga, soon tutaona eidha anatem ea peku Kama Mrisho Mpoto, au anazuga kupigwa na Uchebe Kama Shilole
 
Waunga juhudi wametafuna Kodi zetu kumridhisha mtawala,Leo hawana thamani tena,wametumiwa wakatumika
 
Back
Top Bottom