Mheshimiwa Raisi nimekukubali kwa kitendo chako cha kupendekeza (kama haitakuwa kushinikiza) Hakimu aliyetekeleza wajibu wake "kwa mujibu wa " sheria kwa kumfunga mlawiti, kuwa apewe UJAJI, tena akiwa kesha staafu!.
Naomba pia uangalie walimu wanaofanya kazi katika mazingira magumu na kuwafunza watoto watoto waliokulia katika mazingira yasiyo rafiki kiusomi, lakini wakapambana hadi wakapata daraja la kwanza kwenye mitihani yao (Division 1).
Hawa nao tunapendekeza kwa spirit ile ile ya Hakimu Mstaafu, nao waongezewe vyeo na marupurupu yake sawia.
Hili pia liwahusu madaktari na Wauguzi walio handle cases za hatari na kuzipa ufumbuzi na wagonjwa wakapona nakadhalika.
Mheshimiwa Raisi tenda haki kwa wote tafadhali.
Naomba pia uangalie walimu wanaofanya kazi katika mazingira magumu na kuwafunza watoto watoto waliokulia katika mazingira yasiyo rafiki kiusomi, lakini wakapambana hadi wakapata daraja la kwanza kwenye mitihani yao (Division 1).
Hawa nao tunapendekeza kwa spirit ile ile ya Hakimu Mstaafu, nao waongezewe vyeo na marupurupu yake sawia.
Hili pia liwahusu madaktari na Wauguzi walio handle cases za hatari na kuzipa ufumbuzi na wagonjwa wakapona nakadhalika.
Mheshimiwa Raisi tenda haki kwa wote tafadhali.