fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,411
- 7,966
Hili wiki hii linakujaLeo Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ametoa tamko la kuruhusu Uagizaji wa Sukari kutoka Uganda nampa pongezi sana.
Mheshimiwa Rais ujue pia Cement huku kanda ya ziwa imefika bei ya shilingi 24,000 kwa mfuko mmoja wakati jirani zetu Kenya wanauza 12,000 kwa mfuko mmoja tungependa kuona serikali ikitupia jicho eneo hili ili watanzania wapate Cement kwa bei nafuu huku kanda ya ziwa. Si vizuri kuamua kuwalinda wenye viwanda vya Cement kwa gharama ya watanzania maskini.
Serikali iruhusu Cement kutoka Kenya na iondoe masharti magumu ya uagizaji wa Cement
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app