Mheshimiwa Rais Samia amejipambanua kimataifa kwa kuipa lugha ya Kiingereza umuhimu wake

Trust None

JF-Expert Member
Feb 12, 2018
1,260
4,415
Tunaipenda lugha yetu adhimu ya Kiswahili lakini hatuwezi kuipuuza lugha ya Kiingereza iliyotumika tangu ukoloni hadi 2015 ilipoanza kupoteza umaarufu.

Lugha zote ni muhimu and 'they perfom the same function'

Screenshot_20210328-103034.png

Screenshot_20210328-103141.png
 
Tunaipenda lugha yetu adhimu ya Kiswahili lakini hatuwezi kuipuuza lugha ya Kiingereza iliyotumika tangu ukoloni hadi 2015 ilipoanza kupoteza umaarufu.

Lugha zote ni muhimu and 'they perfom the same function'

View attachment 1736446
View attachment 1736447
Kingereza ni kizuri lakini kwa watanzania, umuhimu wake hauna utofauti na wajumbe wakati wa kura za maoni CCM!
Yaani kujigamba kujua kingereza, kulisababisha Lissu aambulie kura kiduchu kutoka kwa wananchi! Tanzania ukijitia kujua na kuongea hiyo lugha unapondwa! Sijui kwa nini!
 
Back
Top Bottom