My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,283
Mkuu weka nyama au weka mada maalumu juu ya hilo tukioWatu wamepotea mikumi wiki zinakatika.
Mkuu weka nyama au weka mada maalumu juu ya hilo tukioWatu wamepotea mikumi wiki zinakatika.
Magufuli mwenyewe anajua kuwa Hakuna cha mungu wala shetani zaidi ya hekaya tu! Ndiyo maana wakati nyie mnajikunyata kusali alaaniwe yeye anacheka tu! Halafu anamwambia Kamanda Muroto hebu watandike kama Mbwa koko hawa wapumbavu!!haya ndio matatizo ya kumtemea mtu ,mtegemeeni mungu , ukiomba kwa usahihi ,kila aneua na yeye atakufa, ndio hukumu ya mungu
Waongeze tu bidii ya kuua maana mafuturi alishawapa ruksa na kinga juu yake.Hawa polisi wamezidi kwa kweli